double R
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,399
- 2,541
Ni ndefu ya kusikitisha. Nahisi aliyemuua mke wake ndiye aliyemuua na yeye. Tena ni huyo aliyemuua na dada wa mke wake.Inaonekana alikuwa atakuwa na mahusiano na wale wafungwa walioleta ushuhuda kwamba Gordon alikiri. Na kama aliwahi kufungwa humo jela alikuwa anajua namna ya kuingia humo kinyemela. Na inawezekana akiwa jela Gordon alijua hilo na akajitahidi ili atoke amshughulikie. Sasa alipoona balaa hilo akamua kuwahi kabla hajatoka.