Ni ndefu ya kusikitisha. Nahisi aliyemuua mke wake ndiye aliyemuua na yeye. Tena ni huyo aliyemuua na dada wa mke wake.Inaonekana alikuwa atakuwa na mahusiano na wale wafungwa walioleta ushuhuda kwamba Gordon alikiri. Na kama aliwahi kufungwa humo jela alikuwa anajua namna ya kuingia humo kinyemela. Na inawezekana akiwa jela Gordon alijua hilo na akajitahidi ili atoke amshughulikie. Sasa alipoona balaa hilo akamua kuwahi kabla hajatoka.
Marhaba mwanangu, ndio nimetoa POP jana na kutokana na kutype hii stori jana usiku, mkono wangu umevimba mbaya, lakini nimeanza kuuchua na Fastrum
Imagine uchunguzi ungefanywa na geshi retu ra porishi!!!
Hahahahaaa,
:A S embarassed:
Hukuyafanyia kazi yale mawaidha ya Mlevi Babu ee! Pole sn
Haha haha aaaaaaaa.. Haya babu nimekusomaa, tusije kuchakachua huu uzi wako wenye mashiko kwa Wanandoa, hasa katika kujaribu kuhakikisha hawaishi kwa vinyongo ambavyo vinaweza kusababisha wao kuishi maisha ya kuviziana viziana. By the way ... natumaini uanaendelea kufuatilia ili siku moja uje utupe habari waligundua nani muuaji.
copy & past
Ni sawa LIZAPIA hii ni copy and paste lakini mtoa mada alotuwekea tuone na tujue yaliyojiri ndo maana tunapata muda wa kuichambua,