Kisa cha Mwarabu muuza madawa ya kulevya Kariakoo: Ilikuwa balaa na faida

Kisa cha Mwarabu muuza madawa ya kulevya Kariakoo: Ilikuwa balaa na faida

Na we USSR si ndo juzi ulisema kuwa ulisoma Patrice Lumumba University kipindi cha Boris Yeltsin, tena kuna member akasema hakuna mtu atokaye pale mweupe hivi kama wewe. Au aliyedai hivo ni nani
 
Wabongo na mapenzi ya riwaya wameshaweka kitufe cha NOTIFICATION
 
Wala usiendelee chai yako ishakuwa chungu, unajua dola laki 3 ni karibu milioni mia saba? (700,000,000/=) unajua hicho kitu?

Dola laki 3 ulitia kwenye socks? Socks zako zina ukubwa gani mwenzetu mtoto wa muambata wa kijeshi?
Dolla za nchi gani au wewe ndio kilaza wa karne hii mpya sikusema USD tumia akili

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom