Kisa cha Mwarabu muuza madawa ya kulevya Kariakoo: Ilikuwa balaa na faida

Kisa cha Mwarabu muuza madawa ya kulevya Kariakoo: Ilikuwa balaa na faida

Wala usiendelee chai yako ishakuwa chungu, unajua dola laki 3 ni karibu milioni mia saba? (700,000,000/=) unajua hicho kitu?

Dola laki 3 ulitia kwenye socks? Socks zako zina ukubwa gani mwenzetu mtoto wa muambata wa kijeshi?
Bunda za usd elfu 10 zinakuwa kama 30,afu unaziweka kwenye soksi sio..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usiendelee chai yako ishakuwa chungu, unajua dola laki 3 ni karibu milioni mia saba? (700,000,000/=) unajua hicho kitu?

Dola laki 3 ulitia kwenye socks? Socks zako zina ukubwa gani mwenzetu mtoto wa muambata wa kijeshi?

Kwakweli afadhali sikuendelea kuisoma hii chai yake, niliishia tu pale alipoanza na maneno.. Naendelea. ☹️☹️[emoji53]
 
Anza kwanza pati wani.....Mimi sikuwepo kipindi unagawa chai...na mihogo ya amsini amsini..sasa usihendelee mbele ludi nyuma tuanzie kwenye kichwa kabla ya kufika mkiani.
 
Unaona kila mtu mtoto mwenzako humu ndani sio?
Nitakupelekq shule Leo ,maana uliukimbia umande

USSR
Screenshot_20200101-210032.jpeg
Screenshot_20200101-205958.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii chai nilijua itatuunguza baadae. Mkate na bia.

Hapa CCM ikishinda unasikia na huyu katunukiwa ukuu wa wilaya au mkoa. Bure kabisa ng'ombe ya Magufuli hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usiendelee chai yako ishakuwa chungu, unajua dola laki 3 ni karibu milioni mia saba? (700,000,000/=) unajua hicho kitu?

Dola laki 3 ulitia kwenye socks? Socks zako zina ukubwa gani mwenzetu mtoto wa muambata wa kijeshi?
wachaga wapo makini zaidi ya mwivii mwenyewe 😅😅😅
 
Back
Top Bottom