Kisa cha Polisi mkoa wa Geita kinasikitisha

Kisa cha Polisi mkoa wa Geita kinasikitisha

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
1,198
Reaction score
2,562
Nasikitika kusema tumefika pabaya sana kwamba sasa chama kipo juu ya vyombo vya dola (CCM ni bora kuliko TISS, Polisi na majeshi yote)

Kwambaa mwenyekiti, katibu wa chama anaamua nani afanye nini na kwa wakati gani. Inauma sana.

Jeshi la polisi mkoa wa Geita lipo kwenye masikitiko makubwa kazi haziendi, wana maumivu, wanakuchukia mwenyekiti, wanatamani hata kugoma kwa ulichowafanyia.

Mwenyekiti Umekurupuka (kwa simu uliyopigiwa na musukuma) ila isingekuwa wao leo tulikuwa tumezika zaidi ya watu 20 kwa siasa chafu na chafu sana kutoka CCM.

Magufuli Polisi Geita ilikupenda umeinyong'onyeza kupita maelezo wanalia kwa kukosa mtetezi baba yao umewageuka bila kutaka kujua lolote kwa uongo ulioambwa na mnafiki Msukuma. Natamani niueleze ukweli wa mipango ya CCM iliyokuwa ni lazima damu imwagike na Jeshi ja Polisi wakasimama kati.

Inauma sana. Jitafakari mheshimiwa Mwenyekiti na SIR.$O. majibu ya hili utayaona kwa mbunge wako KANYASU.

KILA LAKHERI RPC na OCD GEITA wananchi watawakumbuka na wanaujua ukweli wote.

NAWASILISHA.

KUJUA KILICHOTOKEA SOMA

Kisa cha Polisi mkoa wa Geita kinasikitisha
 
Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
 
Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Ungebadilisha kwanza Jina na picha yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe mnaipenda CCM

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Hayo maneno tuu ushajulikana wewe si CCM. Kama ccm hama chama nafasi yako pale LUmumba itapatikana mtu mwengine
 
Maandishi yako yanaujumbe mzito sana mkuu ..probably kunafukuta jikoni, leo nimemsikia siro akiongea ni kama vile yupo kwenye mtanzuko na hajui nini afanye, lakini kunahuyu mtu anaitwa kigogo amedokeza jambo moja juu ya mzee kumtupia lawama igp kushindwa kutumia nguvu yake katika kutekeleza majukumu yake. Yawezekana walitaka kuwe na zile za mkutano haupo kwa sababu za kiintelijensia usalama ni mdogo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Maandishi yako yanaujumbe mzito sana mkuu ..probably kunafukuta jikoni, leo nimemsikia siro akiongea ni kama vile yupo kwenye mtanzuko na hajui nini afanye, lakini kunahuyu mtu anaitwa kigogo amedokeza jambo moja juu ya mzee kumtupia lawama igp kushindwa kutumia nguvu yake katika kutekeleza majukumu yake. Yawezekana walitaka kuwe na zile za mkutano haupo kwa sababu za kiintelijensia usalama ni mdogo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mimi si mfuasi wa kigogo na sina imani na maandiko yake... Ila kiukweli POLISI na watumishi kwa ujumla hawako sawa
 
Sasa unasubiri Kura kutoka kwa hao watu then unawafanyia ubaya unategemea nini? Alafu kumbukeni watu wameoleana na wengine ni ndugu unaweza ukawa unatoa amri kumbe unayemtuma akaharibu anakushangaa yaani unamtu mtu akamuumize ndugu yake au mkwe au rafiki ndo maana tunaambiwa Siri niyamtu binafsi ingekuwa nirahisi kutumia watu wengine hakuna mtu angebaki na adui so tufikirie kabla ya kutoa amri au kutenda kwa kupitia mtu mwingine maana sisi ni ndugu.
 
Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Waambie na familia,jirani,rafiki wakuunge mkono.
 
Mapolisi saaa hivi hawasililizi mtu ambaye wanajua hatashinda. Waacheni watende kazi zao kwa mujibu wa sheria na katiba na weledi wa kazi zo.

Kila la kheri polisi Nchini.

Kamanda Siro tunakuombea Mungu akujalie hekima kazi zako uzitende bila.kumwonea mtu wala kumpendelea mtu. Atakaye lete fujo mshughulikie.
 
Geita watachagua ccm kwa kishido huko ndio nyumbani
Umeshawahi kuwaza kwann TAL anadeal na kanda ya ziwa kwa sasa?

Majibu.

M/kiti alijua ni kwao akawapendelea sana sasa jamaa anachokifanya anajenga chuki ya m/kiti na mahomeboy wake.

Mpaka sasa ukweli ni kwamba anaichukia kanda ya ziwa na ni ukweli usiopingika kwamba atashinda miaka mingine 5. Subiri nyongo atakayoimwaga kanda ya ziwa hamtaamini. Sahauni maendeleo KUSINI jiandaeni kupokea kila aina ya sifa kutoka kwa m/kiti
 
Mapolisi saaa hivi hawasililizi mtu ambaye wanajua hatashinda. Waacheni watende kazi zao kwa mujibu wa sheria na katiba na weledi wa kazi zo.

Kila la kheri polisi Nchini.

Kamanda Siro tunakuombea Mungu akujalie hekima kazi zako uzitende bila.kumwonea mtu wala kumpendelea mtu. Atakaye lete fujo mshughulikie.
Tatizo la watanzania hamueleweki CHADEMA mataanza kumsifia SIROO SASA.
 
Back
Top Bottom