Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
- #21
Isijekuwa Tangazo la wapigaji
Waganga wa siku wanaoa wateja. Hata msitamani kuwafahamu aiseee.Jina la mganga na namba yake tafadhali ili pia nikajaribu bahati yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isijekuwa Tangazo la wapigaji
Waganga wa siku wanaoa wateja. Hata msitamani kuwafahamu aiseee.Jina la mganga na namba yake tafadhali ili pia nikajaribu bahati yangu
Isijekuwa Tangazo la wapigaji
Waganga wa siku wanaoa wateja. Hata msitamani kuwafahamu aiseee.Jina la mganga na namba yake tafadhali ili pia nikajaribu bahati yangu
Isijekuwa Tangazo la wapigaji
Waganga wa siku wanaoa wateja. Hata msitamani kuwafahamu aiseee.Jina la mganga na namba yake tafadhali ili pia nikajaribu bahati yangu
Mkuu huwa sio kukuu tena kijana wala bata Gegedu anakuwa bosheni tuu ya mwili ila kukuu na anatamrishwa ale punje wanazotaka waoBata Gegedu hairuhusiwi kumpeleka maana nina uhakika atameza punje zote
Mtoe coca..Nielekeze kwa mganga mi nitawatoa wanajf kafara [emoji23][emoji23][emoji23]
Mali hizo huwa hazidumu na wakati mwingine huwa zinaenda na mrithi wake mmoja mmoja na km familia haitaweza kushituka wote watakwisha. Hilo ni agano la shetani na mtaka mali ambapo agano hilo hudumu hata baada ya mhusika kufariki.Mali zitakuwepo
😆😆😆Hayo ndiyo maisha sasa. Huo utajiri hata mimi nauhitaji, miaka mitatu ni mingi sana kwa kula bata.
Sema sipati koneksheni, inaishia kuwa hadithi tu.
Hahaaa asili ya miungu haipo hivyo mkuu. Ibilisi sio mjinga hivyo, ukiingia kwenye naye huwezi chomoa kirahisi hivyo kwani pia hutakuwa na kumbukumbu hiyo.Kwani haifai kula bata miaka miwili alafu niwe nakesha madhabuhuni nikiomba na kusali kuvunja hizo nguvu ili maisha yaendelee hata kama ntafilisika nikama kukonda kwa simba hawezi lingana na paka kuna masalia yatabaki kwa nguvu za maombi