Kisa cha RC Namfua na Watawa huko Kilimanjaro

Katika Soma soma yangu, nilipata kuona mahala andiko hili limenukuliwa; [emoji116]

Mushi, A. Sangale, “The Problems of Starting Ujamaa Villages in Kilimanjaro District".

Ni utafiti kutoka UDSM, bahati mbaya nimepekenyua sana mtandaoni sijabahatika kuupata.
 
Ninakumbuka zamani kuna mwizi aliiba vikombe vya madhabahuni akijiua ni dhahabu, ni kweli vile vya zamani vilikua ni pure gold. Padre alisali novena na kuomba misa. Jamaa aligeuka chizi na kusema mpaka sehemu alipoviuza.
Novena yenye kujibu maombi ya papo kwa papo ni Novena ya Mt. Rita wa Kashia.
Hii usiiombe ukiwa huna uhakika na ufanyacho.
Sky Eclat uko sahihi
 
Albadiri ni shirki tu wala usiwatetee hao masheikh kisa unawajua iyo ni ushirikina tu

Kma ukibisha niletee ushahidi kua Mtume katuamrisha tufanye ivo
Siyo shirk masheikh wanafanya sana. Tena sana tu sasa hapo unataka kusema nini. Acha hizo. Albadil ni kuyaomba majin yakafanye kazi flani ya kumuadhibu mtu mkorofi
 
Hii ya Dr Kleruu ni kweli tupu.
Namkumbuka mke wake na watoto walikuwa wakiishi pale Shanty Town.
Mama ni kama akili haikuwa sawa kwa miaka mingi!
 
Enzi za mwalimu kulikuwa na mambo ya kiwaki sana. Operesheni vijiji, azimio la Arusha, chama kushika hatamu na mambo mengine ya hovyo mno
 
Duh!...
 
Watu mmekubuhu kwa uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…