Kisa cha RC Namfua na Watawa huko Kilimanjaro

Kisa cha RC Namfua na Watawa huko Kilimanjaro

Salaam wanahistoria!

Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa sababu ya utofauti mkubwa wa kielimu, umri na uzoefu wa maisha, nilikuwa msikilizaji zaidi huku nikimchokoa zaidi.

Alinieleza kuwa changamoto kubwa ya utawala wa Mwalimu, ilikuwa ni kulewa madaraka kwa wengi wa viongozi wake hasa MaRC na MaDC. Alinipa visa vichache, kigeni kwangu kilikuwa cha RC wa Kilimanjaro, aliyeitwa Namfua. Kuwa;

Serikali ya mkoa wa Kilimanjaro na Chama viliamua kuwa jengo lilokuwa la Watawa huko Kilimanjaro, lichukuliwe na kufanya shughuli za serikali. Walipouliza, wao wataenda wapi na wanachukua kwa utaratibu gani; jibu lilikuwa ni kuwa serikali na chama imeamua—enzi hizo, zilikuwa ni za chama kushika hatamu(Party Supremacy), RC pia alikuwa ni Katibu wa Chama wa Mkoa. Kisha kupewa siku 21 wawe wamehama.

Watawa wale, walimlilia Padre wao, aliyewapa majibu kuwa yeye hana cha kufanya, bali wafunge na kuomba. Kabla ya muda wa siku 21 kufika, RC Namfua, alipata safari ya kikazi nje ya nchi, maagizo yake ilikuwa akirudi, watawa wale wawe wameondoka (maana siku hizo 21 zitaisha akiwa nje ya nchi).

Aliporudi safari yake, baada ya kufika tu Airport, swali lake la kwanza likawa 'Watawa wameshahama?' Jibu alipewa kuwa bado wapo.

View attachment 2570345
Basi, Namfua akaagiza Defender mbili (101 enzi hizo) za askari, wenye silaha, ziongozane naye na kuanza safari kuwafuata watawa wale. Kabla hajaenda hata ofisini kwake, moja kwa moja kutoka Airport, bila hata Protocol ya kuongozana na DC, na kuwatanguliza Askari mbele, msafara ulielekea kwa watawa wale.

Wakiwa njiani, alikatiza mbuzi, dereva katika harakati za kumkwepa; alifunga breki za ghafla, RC ambaye hakuwa amefunga mkanda, alichomokea kwenye windscreen, na maisha yake yakaishia pale. Msafara ukageuza, na kuwa msafara wa msiba.

Kisa hiki, na cha Dr Kleruu, vyaelezwa kuwa ndio vilichangia walau kuwafanya viongozi wa Nyerere kuwa na ustaarabu kwa wananchi.

Cc: Mohamed Said JokaKuu Sky Eclat Pascal Mayalla Red Giant
Ningependa kupata maoni ya Ustadhi Mohamed Said kuhusiana na kisa hiki.
 
Ngongo,
Unajua fika kuwa mimi nimeacha kujadiliana na wewe muda mrefu na sababu ni kuwa unanitukana.
Hapana sijwahi kukutukana hata mara moja,lakini ninapoona unataka kuligawa taifa letu tukufu kwa misingi ya dini tena kwa hoja dhaifu lazima nikujibu wakati mwingine kwa hasira.

Kupitia bandiko hili utaona wazi Serekali ya Julius Nyerere haikujali misingi ya utawala bora,kubwa zaidi hata dhehebu lake la Catholic lilichanwa chanwa kupisha ukuu wa chama chake.

Zile hoja zako eti Waislam walionewa hazina mashiko kwasababu kuu mbili.
Mosi,hakuna dini iliyopata hasara kubwa kama wakristo enzi za mchonga waliporwa Hospital zao nyingi,waliporwa Shule zao nyingi,waliporwa taasisi zao nyingi.
 
Salaam wanahistoria!

Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa sababu ya utofauti mkubwa wa kielimu, umri na uzoefu wa maisha, nilikuwa msikilizaji zaidi huku nikimchokoa zaidi.

Alinieleza kuwa changamoto kubwa ya utawala wa Mwalimu, ilikuwa ni kulewa madaraka kwa wengi wa viongozi wake hasa MaRC na MaDC. Alinipa visa vichache, kigeni kwangu kilikuwa cha RC wa Kilimanjaro, aliyeitwa Namfua. Kuwa;

Serikali ya mkoa wa Kilimanjaro na Chama viliamua kuwa jengo lilokuwa la Watawa huko Kilimanjaro, lichukuliwe na kufanya shughuli za serikali. Walipouliza, wao wataenda wapi na wanachukua kwa utaratibu gani; jibu lilikuwa ni kuwa serikali na chama imeamua—enzi hizo, zilikuwa ni za chama kushika hatamu(Party Supremacy), RC pia alikuwa ni Katibu wa Chama wa Mkoa. Kisha kupewa siku 21 wawe wamehama.

Watawa wale, walimlilia Padre wao, aliyewapa majibu kuwa yeye hana cha kufanya, bali wafunge na kuomba. Kabla ya muda wa siku 21 kufika, RC Namfua, alipata safari ya kikazi nje ya nchi, maagizo yake ilikuwa akirudi, watawa wale wawe wameondoka (maana siku hizo 21 zitaisha akiwa nje ya nchi).

Aliporudi safari yake, baada ya kufika tu Airport, swali lake la kwanza likawa 'Watawa wameshahama?' Jibu alipewa kuwa bado wapo.

View attachment 2570345
Basi, Namfua akaagiza Defender mbili (101 enzi hizo) za askari, wenye silaha, ziongozane naye na kuanza safari kuwafuata watawa wale. Kabla hajaenda hata ofisini kwake, moja kwa moja kutoka Airport, bila hata Protocol ya kuongozana na DC, na kuwatanguliza Askari mbele, msafara ulielekea kwa watawa wale.

Wakiwa njiani, alikatiza mbuzi, dereva katika harakati za kumkwepa; alifunga breki za ghafla, RC ambaye hakuwa amefunga mkanda, alichomokea kwenye windscreen, na maisha yake yakaishia pale. Msafara ukageuza, na kuwa msafara wa msiba.

Kisa hiki, na cha Dr Kleruu, vyaelezwa kuwa ndio vilichangia walau kuwafanya viongozi wa Nyerere kuwa na ustaarabu kwa wananchi.

Cc: Mohamed Said JokaKuu Sky Eclat Pascal Mayalla Red Giant
Kilio cha Watawa kwa kufunga na kuomba kilitoa majibu. Huyu Namfua ndiye mwenye jina ulipewa Uwanja wa Soka pale Singida; kwa sasa unaitwa Liti Stadium.
 
Albadiri ilipigwa pale tanga baada ya shekhe kuibiwa nazi shambani.hadi punda aliebeba aliaga dunia.sikumbuki jina la yule sheikh lakini ilitokea balaa kubwa sana kwa wakati ule.mashekhe wale wa zamani ndio waliweza kuisoma albadiri na kuleta matokea papo hapo.wa sasa hivi nao vibaka sana wakipiga albadiri itaanza na wao ndo iende kwa wengine
Bwana bwana ilikua Pangani Tanga hiyo hadi aliyeona tu wakiiba akanyamaza ilimtafuna,baada ya kile kisa wale wazee waliitwa na wazee wenzao wakaapishwa wasije kurudia tena kufanya vile,
Hadi tairi za kokoteni zilibust.
 
Salaam wanahistoria!

Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa sababu ya utofauti mkubwa wa kielimu, umri na uzoefu wa maisha, nilikuwa msikilizaji zaidi huku nikimchokoa zaidi.

Alinieleza kuwa changamoto kubwa ya utawala wa Mwalimu, ilikuwa ni kulewa madaraka kwa wengi wa viongozi wake hasa MaRC na MaDC. Alinipa visa vichache, kigeni kwangu kilikuwa cha RC wa Kilimanjaro, aliyeitwa Namfua. Kuwa;

Serikali ya mkoa wa Kilimanjaro na Chama viliamua kuwa jengo lilokuwa la Watawa huko Kilimanjaro, lichukuliwe na kufanya shughuli za serikali. Walipouliza, wao wataenda wapi na wanachukua kwa utaratibu gani; jibu lilikuwa ni kuwa serikali na chama imeamua—enzi hizo, zilikuwa ni za chama kushika hatamu(Party Supremacy), RC pia alikuwa ni Katibu wa Chama wa Mkoa. Kisha kupewa siku 21 wawe wamehama.

Watawa wale, walimlilia Padre wao, aliyewapa majibu kuwa yeye hana cha kufanya, bali wafunge na kuomba. Kabla ya muda wa siku 21 kufika, RC Namfua, alipata safari ya kikazi nje ya nchi, maagizo yake ilikuwa akirudi, watawa wale wawe wameondoka (maana siku hizo 21 zitaisha akiwa nje ya nchi).

Aliporudi safari yake, baada ya kufika tu Airport, swali lake la kwanza likawa 'Watawa wameshahama?' Jibu alipewa kuwa bado wapo.

View attachment 2570345
Basi, Namfua akaagiza Defender mbili (101 enzi hizo) za askari, wenye silaha, ziongozane naye na kuanza safari kuwafuata watawa wale. Kabla hajaenda hata ofisini kwake, moja kwa moja kutoka Airport, bila hata Protocol ya kuongozana na DC, na kuwatanguliza Askari mbele, msafara ulielekea kwa watawa wale.

Wakiwa njiani, alikatiza mbuzi, dereva katika harakati za kumkwepa; alifunga breki za ghafla, RC ambaye hakuwa amefunga mkanda, alichomokea kwenye windscreen, na maisha yake yakaishia pale. Msafara ukageuza, na kuwa msafara wa msiba.

Kisa hiki, na cha Dr Kleruu, vyaelezwa kuwa ndio vilichangia walau kuwafanya viongozi wa Nyerere kuwa na ustaarabu kwa wananchi.

Cc: Mohamed Said JokaKuu Sky Eclat Pascal Mayalla Red Giant
NAMFUA KUSHA KWA JEURI YAKE ...
 
Albadiri ilipigwa pale tanga baada ya shekhe kuibiwa nazi shambani.hadi punda aliebeba aliaga dunia.sikumbuki jina la yule sheikh lakini ilitokea balaa kubwa sana kwa wakati ule.mashekhe wale wa zamani ndio waliweza kuisoma albadiri na kuleta matokea papo hapo.wa sasa hivi nao vibaka sana wakipiga albadiri itaanza na wao ndo iende kwa wengine
Wa sasa hivi masheikh ni janja janja, unakuta kijana anajiita sheikh na elimu kweli anayo ila mshenzi, sheikh anabeti kisirisiri, sheikh anamla mtu ndogo ama anazini na jiran wa mtu, sheikh mshirikina unategemea mtu huyu dua zake kupokelewa na kujibiwa?

Inabidi uwe mnyoofu ili dua zako ziwe nyepesi kujibiwa.
 
Hebu tufuatilie mikoa gani operesheni vijiji ilifanyika Kwa ustadi mkubwa/komaliwa,sisi wadini tuna hisia zetu
Kuna ndugu yangu alikoswa na mshale....mpaka leo kakoma mambo y sirkali cum siasha
 
Back
Top Bottom