Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Kisa hiki nilihadhithiwa na Marehemu Babu yangu ambaye kabla ya uhuru Nyerere akishukia Nyumba yake Shanti town.Duh!. Kisa hiki ndio nakisikia leo!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisa hiki nilihadhithiwa na Marehemu Babu yangu ambaye kabla ya uhuru Nyerere akishukia Nyumba yake Shanti town.Duh!. Kisa hiki ndio nakisikia leo!.
P
Ningependa kupata maoni ya Ustadhi Mohamed Said kuhusiana na kisa hiki.Salaam wanahistoria!
Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa sababu ya utofauti mkubwa wa kielimu, umri na uzoefu wa maisha, nilikuwa msikilizaji zaidi huku nikimchokoa zaidi.
Alinieleza kuwa changamoto kubwa ya utawala wa Mwalimu, ilikuwa ni kulewa madaraka kwa wengi wa viongozi wake hasa MaRC na MaDC. Alinipa visa vichache, kigeni kwangu kilikuwa cha RC wa Kilimanjaro, aliyeitwa Namfua. Kuwa;
Serikali ya mkoa wa Kilimanjaro na Chama viliamua kuwa jengo lilokuwa la Watawa huko Kilimanjaro, lichukuliwe na kufanya shughuli za serikali. Walipouliza, wao wataenda wapi na wanachukua kwa utaratibu gani; jibu lilikuwa ni kuwa serikali na chama imeamua—enzi hizo, zilikuwa ni za chama kushika hatamu(Party Supremacy), RC pia alikuwa ni Katibu wa Chama wa Mkoa. Kisha kupewa siku 21 wawe wamehama.
Watawa wale, walimlilia Padre wao, aliyewapa majibu kuwa yeye hana cha kufanya, bali wafunge na kuomba. Kabla ya muda wa siku 21 kufika, RC Namfua, alipata safari ya kikazi nje ya nchi, maagizo yake ilikuwa akirudi, watawa wale wawe wameondoka (maana siku hizo 21 zitaisha akiwa nje ya nchi).
Aliporudi safari yake, baada ya kufika tu Airport, swali lake la kwanza likawa 'Watawa wameshahama?' Jibu alipewa kuwa bado wapo.
View attachment 2570345
Basi, Namfua akaagiza Defender mbili (101 enzi hizo) za askari, wenye silaha, ziongozane naye na kuanza safari kuwafuata watawa wale. Kabla hajaenda hata ofisini kwake, moja kwa moja kutoka Airport, bila hata Protocol ya kuongozana na DC, na kuwatanguliza Askari mbele, msafara ulielekea kwa watawa wale.
Wakiwa njiani, alikatiza mbuzi, dereva katika harakati za kumkwepa; alifunga breki za ghafla, RC ambaye hakuwa amefunga mkanda, alichomokea kwenye windscreen, na maisha yake yakaishia pale. Msafara ukageuza, na kuwa msafara wa msiba.
Kisa hiki, na cha Dr Kleruu, vyaelezwa kuwa ndio vilichangia walau kuwafanya viongozi wa Nyerere kuwa na ustaarabu kwa wananchi.
Cc: Mohamed Said JokaKuu Sky Eclat Pascal Mayalla Red Giant
Ngongo,Ningependa kupata maoni ya Ustadhi Mohamed Said kuhusiana na kisa hiki.
Hapana sijwahi kukutukana hata mara moja,lakini ninapoona unataka kuligawa taifa letu tukufu kwa misingi ya dini tena kwa hoja dhaifu lazima nikujibu wakati mwingine kwa hasira.Ngongo,
Unajua fika kuwa mimi nimeacha kujadiliana na wewe muda mrefu na sababu ni kuwa unanitukana.
Hizi fix jmn....[emoji23][emoji23]....daaahNovena yenye kujibu maombi ya papo kwa papo ni Novena ya Mt. Rita wa Kashia.
Hii usiiombe ukiwa huna uhakika na ufanyacho.
Sky Eclat uko sahihi
Kilio cha Watawa kwa kufunga na kuomba kilitoa majibu. Huyu Namfua ndiye mwenye jina ulipewa Uwanja wa Soka pale Singida; kwa sasa unaitwa Liti Stadium.Salaam wanahistoria!
Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa sababu ya utofauti mkubwa wa kielimu, umri na uzoefu wa maisha, nilikuwa msikilizaji zaidi huku nikimchokoa zaidi.
Alinieleza kuwa changamoto kubwa ya utawala wa Mwalimu, ilikuwa ni kulewa madaraka kwa wengi wa viongozi wake hasa MaRC na MaDC. Alinipa visa vichache, kigeni kwangu kilikuwa cha RC wa Kilimanjaro, aliyeitwa Namfua. Kuwa;
Serikali ya mkoa wa Kilimanjaro na Chama viliamua kuwa jengo lilokuwa la Watawa huko Kilimanjaro, lichukuliwe na kufanya shughuli za serikali. Walipouliza, wao wataenda wapi na wanachukua kwa utaratibu gani; jibu lilikuwa ni kuwa serikali na chama imeamua—enzi hizo, zilikuwa ni za chama kushika hatamu(Party Supremacy), RC pia alikuwa ni Katibu wa Chama wa Mkoa. Kisha kupewa siku 21 wawe wamehama.
Watawa wale, walimlilia Padre wao, aliyewapa majibu kuwa yeye hana cha kufanya, bali wafunge na kuomba. Kabla ya muda wa siku 21 kufika, RC Namfua, alipata safari ya kikazi nje ya nchi, maagizo yake ilikuwa akirudi, watawa wale wawe wameondoka (maana siku hizo 21 zitaisha akiwa nje ya nchi).
Aliporudi safari yake, baada ya kufika tu Airport, swali lake la kwanza likawa 'Watawa wameshahama?' Jibu alipewa kuwa bado wapo.
View attachment 2570345
Basi, Namfua akaagiza Defender mbili (101 enzi hizo) za askari, wenye silaha, ziongozane naye na kuanza safari kuwafuata watawa wale. Kabla hajaenda hata ofisini kwake, moja kwa moja kutoka Airport, bila hata Protocol ya kuongozana na DC, na kuwatanguliza Askari mbele, msafara ulielekea kwa watawa wale.
Wakiwa njiani, alikatiza mbuzi, dereva katika harakati za kumkwepa; alifunga breki za ghafla, RC ambaye hakuwa amefunga mkanda, alichomokea kwenye windscreen, na maisha yake yakaishia pale. Msafara ukageuza, na kuwa msafara wa msiba.
Kisa hiki, na cha Dr Kleruu, vyaelezwa kuwa ndio vilichangia walau kuwafanya viongozi wa Nyerere kuwa na ustaarabu kwa wananchi.
Cc: Mohamed Said JokaKuu Sky Eclat Pascal Mayalla Red Giant
Bwana bwana ilikua Pangani Tanga hiyo hadi aliyeona tu wakiiba akanyamaza ilimtafuna,baada ya kile kisa wale wazee waliitwa na wazee wenzao wakaapishwa wasije kurudia tena kufanya vile,Albadiri ilipigwa pale tanga baada ya shekhe kuibiwa nazi shambani.hadi punda aliebeba aliaga dunia.sikumbuki jina la yule sheikh lakini ilitokea balaa kubwa sana kwa wakati ule.mashekhe wale wa zamani ndio waliweza kuisoma albadiri na kuleta matokea papo hapo.wa sasa hivi nao vibaka sana wakipiga albadiri itaanza na wao ndo iende kwa wengine
NAMFUA KUSHA KWA JEURI YAKE ...Salaam wanahistoria!
Leo nilikuwa mahala fulani napiga soga na kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki. Soga zetu ziligusa maeneo mengi hasa Historia ya Tanzania wakati wa utawala wa Mwalimu. Kwa sababu ya utofauti mkubwa wa kielimu, umri na uzoefu wa maisha, nilikuwa msikilizaji zaidi huku nikimchokoa zaidi.
Alinieleza kuwa changamoto kubwa ya utawala wa Mwalimu, ilikuwa ni kulewa madaraka kwa wengi wa viongozi wake hasa MaRC na MaDC. Alinipa visa vichache, kigeni kwangu kilikuwa cha RC wa Kilimanjaro, aliyeitwa Namfua. Kuwa;
Serikali ya mkoa wa Kilimanjaro na Chama viliamua kuwa jengo lilokuwa la Watawa huko Kilimanjaro, lichukuliwe na kufanya shughuli za serikali. Walipouliza, wao wataenda wapi na wanachukua kwa utaratibu gani; jibu lilikuwa ni kuwa serikali na chama imeamua—enzi hizo, zilikuwa ni za chama kushika hatamu(Party Supremacy), RC pia alikuwa ni Katibu wa Chama wa Mkoa. Kisha kupewa siku 21 wawe wamehama.
Watawa wale, walimlilia Padre wao, aliyewapa majibu kuwa yeye hana cha kufanya, bali wafunge na kuomba. Kabla ya muda wa siku 21 kufika, RC Namfua, alipata safari ya kikazi nje ya nchi, maagizo yake ilikuwa akirudi, watawa wale wawe wameondoka (maana siku hizo 21 zitaisha akiwa nje ya nchi).
Aliporudi safari yake, baada ya kufika tu Airport, swali lake la kwanza likawa 'Watawa wameshahama?' Jibu alipewa kuwa bado wapo.
View attachment 2570345
Basi, Namfua akaagiza Defender mbili (101 enzi hizo) za askari, wenye silaha, ziongozane naye na kuanza safari kuwafuata watawa wale. Kabla hajaenda hata ofisini kwake, moja kwa moja kutoka Airport, bila hata Protocol ya kuongozana na DC, na kuwatanguliza Askari mbele, msafara ulielekea kwa watawa wale.
Wakiwa njiani, alikatiza mbuzi, dereva katika harakati za kumkwepa; alifunga breki za ghafla, RC ambaye hakuwa amefunga mkanda, alichomokea kwenye windscreen, na maisha yake yakaishia pale. Msafara ukageuza, na kuwa msafara wa msiba.
Kisa hiki, na cha Dr Kleruu, vyaelezwa kuwa ndio vilichangia walau kuwafanya viongozi wa Nyerere kuwa na ustaarabu kwa wananchi.
Cc: Mohamed Said JokaKuu Sky Eclat Pascal Mayalla Red Giant
Wa sasa hivi masheikh ni janja janja, unakuta kijana anajiita sheikh na elimu kweli anayo ila mshenzi, sheikh anabeti kisirisiri, sheikh anamla mtu ndogo ama anazini na jiran wa mtu, sheikh mshirikina unategemea mtu huyu dua zake kupokelewa na kujibiwa?Albadiri ilipigwa pale tanga baada ya shekhe kuibiwa nazi shambani.hadi punda aliebeba aliaga dunia.sikumbuki jina la yule sheikh lakini ilitokea balaa kubwa sana kwa wakati ule.mashekhe wale wa zamani ndio waliweza kuisoma albadiri na kuleta matokea papo hapo.wa sasa hivi nao vibaka sana wakipiga albadiri itaanza na wao ndo iende kwa wengine
Ni kweli mkuu,,,,,,,nyumbani walikuwa wanamuita baba Amani haikuishia hapo tu......mkewe nae alipata uchiziDuh!. Kisa hiki ndio nakisikia leo!.
P
Kuna ndugu yangu alikoswa na mshale....mpaka leo kakoma mambo y sirkali cum siashaHebu tufuatilie mikoa gani operesheni vijiji ilifanyika Kwa ustadi mkubwa/komaliwa,sisi wadini tuna hisia zetu