Kisa cha Rich Mavoko na ushauri wa kuuza Ruby

Kisa cha Rich Mavoko na ushauri wa kuuza Ruby

2
Robidinyo, Mavoko anasainiwa WCB alikuwa tayari keshapotea mpaka ikafika kipindi amesainiwa kwenye rebo ya king kaka huko kenya, mpaka WCB inamsaini mavoko alikuwa kimya kimziki kwa zaidi ya miaka miwili

Nnachoona umemzungumzia mavoko wa kipindi cha Sharobaro records na sio WCB
Huyo hamzungumzii mavoko wa sharobaro record bali yule wa C9 record...😂..mi namchora tu huyo Robidinyo watu wanamzungumzia mavoko ambaye alishafulia kabla hajabebwa na wcb, yeye analeta stori za mavoko wakati anashine...inaonekana haijui vizuri historia ya muziki wa mavoko huyu...inabidi afanye utafiti wake tena.
 
Mkuu vp anko wako aliyekuingiza King kwenye biashara ya Rubi anasemaje ?
 
Huyo mtoto hamalizi miaka miwili ijayo kama ameruhusiwa kutoka sawa ili akiishiwa arudi sina uelewa hapo.

Mambo ya siasa na mziki mbalimbali jamaa watamtumiaaa na hatopata show. Wakipata tu mambo yao utamuona chali.
wcb kwa mavoko wamepatia sababu mvivu ..ila kwa Kondeboy 60% wamezikosa na pengo halitazibwa ngoooo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana! Sina guts za kugonga X wa Mshkaji achilia demu wa Mshkaji. Sa ukiskia kuna watu wachawi, mmoja ni huyo Mshkaji wako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki siku zote unahitaji ujanja ujanja tu hamna kitu kipya utakitoa ww ambacho wengine hawajatoa au kuelekeana ata kidogo.

Mavoko nilikuwa nazikubali ngoma zake ila kipindi cha 2011 or 12 ndo alikuwa motoo, badae alipotea kama faru john.

Kosa moja gori moja ila point 3, kakosea kutoka wcb kaa wanapo penda wengi kuliko panapo chukiwa na watu wengi maana hata ukitoa utumbo wa nyimbo watazipenda ivo ivo kishabiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom