Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #201
VvMzee Said kuna watu wengi ktk TAA ambao nimewasoma kwa mara kwanza ktk bandiko lako.
Kitabu chako hicho kinaitwaje na kinapatikana wapi? Nadhani nikikipata nitaongeza elimu na ufahamu wangu kuhysu historia ya Tanganyika.
Vv
Kitabu kinapatikana Tanzania Publishing House (TPH) Samora Avenue: