Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

🤣🤣🤣
Mkuu ukajua unakutana kitu kama mobeto flan hivi,ila jf watu wanajua kufake maisha 🤣
 
Hakuna anayependa uzee, basi tu inabidi tukubaliane nao coz asili inatuamuru, la hakuna anayetaka kuvuka 45. Huyo aliyeandika kazaliwa 80 namuelewa sana tu, japo inabidi akubaliane na asili.
 
Hatari sana mkuu,nikifanikiwa kuuza nyumba yetu ya urithi ya k'koo kwa pesa tunayoitaka,itabidi unipm namba ya huyo mtoto kitu konzi na yeye ajidai hata na iphone 12 max pro ya gb 516 mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sawa mkuu
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah lol
 
Mimi kuna Mkuu mmoja humu anaitwa Beef lasagna huwa namkubali tu ule upendo wa agape, nampendea tu hili jina yaani kila nikitamka hili jina kuna ka'smile flan hivi nakapata. Haijalishi umri wake utakavyokua ila imetokea tu kumkubali.
 
Na Kweli ni wabibi,.

Tena mtupe shikamoo nyingi.

Ila unaanzaje kujicomfedisha kwa tujitu tunaandika xawa my wangu,?

Nawaza huenda hao ndo masuger sukari (mammy).
Xaxa xi ndio my wang [emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…