Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mwehu lol.
 
Na Kweli ni wabibi,.

Tena mtupe shikamoo nyingi.

Ila unaanzaje kujicomfedisha kwa tujitu tunaandika xawa my wangu,?

Nawaza huenda hao ndo masuger sukari (mammy).
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ameeeeen
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaaah lol.
 
Nilishakimbia wanawake wawili, yule wa mwsho nilikutana nae sehem bahat nzur nilikua nimevaa nguo zimefanana na wahudumu wa pale kwa mbali nikamkimbia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazee tuende wapi sasa? Msitunyanyase bhana lol.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mom bhanaah ol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…