Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Fantastic
 
Ni kweli ni vikongwe jamani mkitufata mjue mnakutana na bibi zenu pisi kali mkazifate insta uko au facebook kwenu

[emoji23][emoji23][emoji23]vibibi wenye vitambi vyetu hatuna stress[emoji23][emoji23][emoji23]
Jf ilikuwa zamani bana full ma connections sio siku hizi kuna vitoto vya chuo lazima watuone mabibi

Kuna kipindi lilizuka kundi la wadada sijui wa insta humu waliona pagumu siku hizi siwaoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

[emoji23][emoji23][emoji23]wanataka tuweke avatar za kibibi kweli?
Huu mwili ni makazi tu ndani yetu tunajiona kama vile tupo sweet 16 ati
 
😉😉 🚶‍♂️ 🚶‍♂️🤣🤣
 
Hahahahah watuache kabisa na uzee wetu na vitambi vyetu
 
Ifike mahala sasa ghetto langu niliite kwa mkapa
Ili hawa wabibi wakiingia wasitoke salama
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…