cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23] mom bhana lol, huyo babuuuh ana utani San, eti kasema atanipa BMW.Utampa nini eti mjukuu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] mom bhana lol, huyo babuuuh ana utani San, eti kasema atanipa BMW.Utampa nini eti mjukuu wako
All people(except kids), hatupendi kuzeheka, especially nyie wanawakeUzee ni baraka sana aisee, na ni kwa neema tu ya Mungu tumeweza kufikia uzee Wengi wamekufa wakiwa bado vijana wadogo kabisa, sisi tuliofika huku tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu. Sasa kumcheka mtu kwa sababu ana umri mkubwa ni upungufu wa akili, kwa sababu wengi wetu tunaomba na kutamani tuendelee kuwa hai, ikimaanisha tunatamani tuishi hadi tuwe vikongwe, so as long as mtu anaendelea kuishi uzee utamkuta tu.
Ukiwa interested na mtu mfuate tu PM, muulize umri wake, tumianeni na picha then ndiyo muanze kufikiria na mengine. Sio hadi vikongwe eti tutumie ID na avatars za wazee jamani, msitunyime raha tafadhali
Hahahah!Nilishakimbia wanawake wawili, yule wa mwsho nilikutana nae sehem bahat nzur nilikua nimevaa nguo zimefanana na wahudumu wa pale kwa mbali nikamkimbia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na ambao hatujaolewa na ni vibibi, huwa nachomekewa sana hio,jamanii eeh wadada wa humu ndio hao hao wa huko mtaani,familia na koo zenu,sidhani kama kwenu wameolewa wote,kabla hujaanza kuandika upupu wako,fikiria kwanza kwenu hali ikoje....kwanza 40 is a new 20! lol
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] chai ya moto hiiNilijua ni pisi kali baada ya kuona avatar yake nikaingia pm mambo yakaenda poa tuka date tukutane 77 hotel pale Arusha.
Niliwahi kufika mapema hapo hotel ili nimuone mpenzi wangu atakapokuwa anaingia jinsi alinyo kimwondoko mapozi nk.
Sitasahau siku hiyo baada ya kujikuta nipo na shangazi yangu na sio pisi kali niliyemtarajia yaani kumbe nilikuwa nachat pm na dada yake baba yangu mzazi,dadeki nilifuta kila kitu nikafungua acc mpya hata shangazi alifuta acc yake na sijui anatumia jina gani ila najua tunaye hapa JF
Yaani tangu siku hiyo nikawa naiheshimu JF na namheshimu kila member
Tupo wa 40 na zaidi. Kwani haturuhusiwi kuwepo humu?niliwahi kumpata mmoja alikuwa mkubwa sio chini ya 40 Single mother nadhani akisoma comment yangu atakumbuka
mnaruhusiwa tena mje kwa wingi[emoji3][emoji3]Tupo wa 40 na zaidi. Kwani haturuhusiwi kuwepo humu?
Sawa mkuu, tupo na tutaendelea kuwepo.mnaruhusiwa tena mje kwa wingi[emoji3][emoji3]
Fungua pm kuna ka ujumbe nimekapenyezaa[emoji13]Tena kikongwe hasa,