Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PM ndo wapi huko? Mbna sipajui mie.Fungua pm kuna ka ujumbe nimekapenyezaa[emoji13]
Tobaaaaaaaah wee babuuh, na haya unayajua? Wallah hakuna uzee hapa. [emoji3][emoji3][emoji3]Sugar sukari mjukuu na asali juu na halua[emoji39][emoji39][emoji39]
..teeh, Becky bwana!na ambao hatujaolewa na ni vibibi, huwa nachomekewa sana hio,jamanii eeh wadada wa humu ndio hao hao wa huko mtaani,familia na koo zenu,sidhani kama kwenu wameolewa wote,kabla hujaanza kuandika upupu wako,fikiria kwanza kwenu hali ikoje....kwanza 40 is a new 20! lol
..wazee tunanyanyapaliwa sana!Tupo wa 40 na zaidi. Kwani haturuhusiwi kuwepo humu?
Ni huzuni kwa kweli..wazee tunanyanyapaliwa sana!
Sio issue coz hata wao watazeeka, yaani ni au mtu afe mapema au azeeke. Sijui wao wamechagua nini...Ni huzuni kwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa nin babuuh wee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babuuh baki hapa unakimbilia wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Nilijua ni pisi kali baada ya kuona avatar yake nikaingia pm mambo yakaenda poa tuka date tukutane 77 hotel pale Arusha.
Niliwahi kufika mapema hapo hotel ili nimuone mpenzi wangu atakapokuwa anaingia jinsi alinyo kimwondoko mapozi nk.
Sitasahau siku hiyo baada ya kujikuta nipo na shangazi yangu na sio pisi kali niliyemtarajia yaani kumbe nilikuwa nachat pm na dada yake baba yangu mzazi,dadeki nilifuta kila kitu nikafungua acc mpya hata shangazi alifuta acc yake na sijui anatumia jina gani ila najua tunaye hapa JF
Yaani tangu siku hiyo nikawa naiheshimu JF na namheshimu kila member
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]