Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ukweli mchungu lady jaydee ana uchungu sana angalia hata majibu yake anaropoka tu ...Ana kiburi sana huyo mdada mara ajione ana pesa mara hivi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa pembeni jay dee hakuwahi kumuacha Ray c ,jay dee han hit sema ni mtu ambaye kapta sapot nzuri kwa wasanii wa kiume kaimba nyimbo kibao na Mwana Fa ,professor j na wengine kibao.Kwenye kipaji, Jide kamuacha mbali sana Ray C
Tokea ametoka miaka ya 2000 Jide kaachia hit songs back to back mpaka leo hii, lakini Ray C nina hakika turudi hata 10 years nyuma niambie katoa hit song gani ndani ya huo muda hakika hutaiona. . .
Hivyo Jide ndio Malkia
Tukija kwenye hii tweet, Ray C ana kiherehere tu ina maana hafatilii kinachoendelea kiasi kutojua kuwa ile tweet Jide alimjibu chuma??
Al in all, Jide 95% Ray C 5%
You're entitled to your own opinion bro but pls be frank, she's not relevant a long time ago.
Kwa kizazi cha sasa katoa hit gani Ray C? Wote old school kwa sasa ni wa enzi zetu tu.
Kuna ile Ngoma ya ray c inaitwa NATAKA KUWA NAWE MILELE alooo ni balaa kipindi hicho...Nachokumbuka ni kwamba kila ijumaa nilikuwa naondoka shuleni mapema kwa ruhusa ya kwenda kusali ila kiukweli nilikuwa naishia salon moja mtaani jamaa alikuwa na deck ya cd(ya kwanza pale wilayani) na alikuwa na cd ililuwa na ngoma kadhaa za Ray C. Ki ukweli Ray C nilizipenda nyimba zake sana ila pia nilimpenda yeye kama yeye, lile jicho halikuwa la kawaida kwa kipindi kile kwa umri nilio kuwa nao. Mpaka leo jicho kubwa la mviringo ni kigezo kikubwa sana kwangu ukitaka nikuhonge hadi hela ya mwisho mfukoni. Ray C aliniteka sana japo Jide nae alikuwa na ngoma zake nzuri hasa alizoshirikishwa
Kibaya kwako kwa wenzio dhahabutuongee yote ila jay dee mbaya jamani, huyu sidindishi hata kwa utani.
Huyo kwenye avatar kafanana sana na Mama watoto wangu, au ndio wewe na fake ID umetumia AI?Nakazia...
Binafsi wote nawapenda...Wote wana mziki mzuri....
Ila Jide habari nyingine.
Kuna watu wavumilivu sanaKibaya kwako kwa wenzio dhahabu
Kakaa na mumewe miaka 15 kabla.ya hawajaachana
Kuna watu wa ajabu sana, kuna machizi wanabakwa sembuse huyo mzima ila kwangu hata anipe na hela sipigi.Kibaya kwako kwa wenzio dhahabu
Kakaa na mumewe miaka 15 kabla.ya hawajaachana