Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Kaa pembeni jay dee hakuwahi kumuacha Ray c ,jay dee han hit sema ni mtu ambaye kapta sapot nzuri kwa wasanii wa kiume kaimba nyimbo kibao na Mwana Fa ,professor j na wengine kibao.

Ray c jeshi la mtu mmoja wewe ,ngoma zake zimehit jay dee kazi kutafuna maneno.

Enzi hizo wazee wa viuno alikuwa Ray c na best wa Marlaw huyo jay dee wako kazi kuimba kama mwanaume
 
You're entitled to your own opinion bro but pls be frank, she's not relevant a long time ago.

Nilimaanisha ile sassy & sexy image na lifestyle ya Ray C ipo more relevant na kizazi cha sasa kuliko Lady jay dee ambaye yake ipo more matured.

Sikuongelea level of fame cause it's obvious amekuwa inactive for too long na hii ni Bongo sio hollywood
 
Kwa kizazi cha sasa katoa hit gani Ray C? Wote old school kwa sasa ni wa enzi zetu tu.

Nimesema "Lifestyle au image". Sijaongelea hitz

Ukifuatilia chochote wanachokivaa au lifestyle ya hawa socilites au waimbaji wa sasa. Ray C alishakifanya au bado anakifanya vizuri zaidi.

Kwa hiyo inampa edge kwa kizazi cha sasa tofauti na jide ambaye anaonekana irrelevant kwa kizazi cha sasa nje ya muziki
 
Kuna ile Ngoma ya ray c inaitwa NATAKA KUWA NAWE MILELE alooo ni balaa kipindi hicho...
 
Jide ana kisirani sana, anajiona star mkubwa sana na kiburi ila pia stress zinamsumbua.

Kuna siku nilikuwa airport kwenye yale madirisha ya kukata ticket na kuulizia ratiba za ndege,nikashangaa mtu ananigusa begi eti kaka naomba nipishe nina haraka,nikamwambia ungewahi kabla yangu subiri huko, basi akaanza kufoka pale, ana kisirani sana nadhani ndo maana hana hata marafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…