Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Nimepitwa aiseee. Ila kusema kweli ile couple haikua inaendana basi tuuuu nlikua naona kama Aish kapotea njia. Kwahiyo mrembo Aishwarya kakimbia gubu la mama mkwe.

Movie ya khabhi khush, Amitabh ndio alikua hampendi mkwewe kny real life imekua viceversa lol
Abhishek miongoni mwa mastaa wasiokubalika na wengi.

Anabebwa na jina la baba yake.

Couple yao hata mimi sikuwahi kuipenda, nguvu ya Amitha imetumika sana .
 
Ila jide alikuwa anawaza mbele sana
Nasikiliza wimbo wake wa wanaume kama mabinti aliimba yeye papi kocha na mwana fa
Yaani content kawaimba machawa wa leo
Wakati huu wimbo nadhani ni wa miaka 10 iliyopita
 
Unaonekana Bado mtoto Kuna wengine wanasikiliza Melody tu kwa Hilo jide is the best anajua kuimba haboi ...Ray c she is talented lakini hawezi toboa kwa mziki wa siku hizi
Unaongea nn yaani sentence mbili hazina uhusiano....Kila mtu ana chaguo lake dogo acha porojo.

Ray c ni mtoto wa mjini ,wa bush ndio mnashabikia jay dee kaulize kwa wakubwa wako.
 
Unaongea nn yaani sentence mbili hazina uhusiano....Kila mtu ana chaguo lake dogo acha porojo.

Ray c ni mtoto wa mjini ,wa bush ndio mnashabikia jay dee kaulize kwa wakubwa wako.
Kwani ukikaa mjini ukifa hauozi? Au ukikaa mjini una kipi Cha ziada ?umeongezewa kiungo gani Cha ziada?
Mtoto wa mjini anajielewa hawezi kujiingiza kifala kwenye starehe zinazoua carreer Kama kula ngada
Watoto wa mjini ni Kama akina dully n.k.
Mtu katoka Iringa huko kaja mjini Kama akina siye tu halafu anajiita mtoto wa mjini
 
Unaongea nn yaani sentence mbili hazina uhusiano....Kila mtu ana chaguo lake dogo acha porojo.

Ray c ni mtoto wa mjini ,wa bush ndio mnashabikia jay dee kaulize kwa wakubwa wako.
Acha utoto bhasi,
Siwakubali wote jide na huyo kiuno bila mfupa.
Kwa anayeujua muziki huwezi kumcompare jide na ray c
Lijide lipo juu sana.
 
Kwani ukikaa mjini ukifa hauozi? Au ukikaa mjini una kipi Cha ziada ?umeongezewa kiungo gani Cha ziada?
Mtoto wa mjini anajielewa hawezi kujiingiza kifala kwenye starehe zinazoua carreer Kama kula ngada
Watoto wa mjini ni Kama akina dully n.k.
Mtu katoka Iringa huko kaja mjini Kama akina siye tu halafu anajiita mtoto wa mjini
Nadhani umeelewa !?
 
Q Chief alianza kupotezwa na Ruge kipindi hicho wameenda kufanya show kama sikosei Mwanza ilikuwa.

Wasanii wamefanya show ,Ruge akasema kuhusu pesa yao ya show wasubiri hatowalipa siku hiyo, Chila akaona sio kweli akamzaba kibao Ruge ,basi baada ya hapo Ruge akamfungia vioo mazima Chila na huo ukawa mwanzo wa Chila kupotea kwenye gemu.
Alimzaba kabisa? Dah Chillah 😂
 
Back
Top Bottom