Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Kuna mtu hapo chini kakuwekea,bado hauioni?Wengine hizi dislikes hata hatuzioni yaan.
Tunashangaa tyuuh hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu hapo chini kakuwekea,bado hauioni?Wengine hizi dislikes hata hatuzioni yaan.
Tunashangaa tyuuh hapa.
💯Binafsi hata sijali kabisa.Yaani ukidislike kwa mfano unanipunguzia nini sasa?
Hapa hapa au kule!?Ndugu yangy twende ukanioe odds 5 kwanza nibeti😂
Mimi ume ni dislike kwenye uzi wa Jf usiku wa manane..Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎View attachment 2626231
Nakupunguzia hilo smileBinafsi hata sijali kabisa.Yaani ukidislike kwa mfano unanipunguzia nini sasa?
Na ajue ya huku hayafutiki 🤣🤣Huyu mtoto
Kakiwa kakubwa katajuta, katajihisi kakosefu sana kwa upuuzi anaofanya Sasa hivi, technology haifutiki.
Utauona huu upuuzi wako humu ukiwa mkubwa na hap ndip utaona madhara yake kiakili.
Huna huo uwezo kuelewa utaupata baadae. Wenzako wanahangaika Facebook huk kufut maujinga yao miaka hiyo
Hata siioni mie, au kwa kuwa natumia App??Kuna mtu hapo chini kakuwekea,bado hauioni?
Au una plans na baba zao sio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na ajue ya huku hayafutiki 🤣🤣
Kakimaliza kusoma kaje kuweka tangazo la ajira. Watu wakafukulie makaburi
Ataiona jf ya moto.
Sijawahi tumia app,so siwezi jua.Kila nikiwa JF huwa ninaingia kwa website.Hata siioni mie, au kwa kuwa natumia App??
Oooh hapo sawa, sie wa App hata picha tyuuh mtihani kufungukaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijawahi tumia app,so siwezi jua.Kila nikiwa JF huwa ninaingia kwa website.