Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Unawajua wanawake from mbeyaHuyo mwanamke hajakutana na chizi mimi. Mwambieni ana bahati sana kutoolewa na Soldier
Mkuu haya mambo yasome huku huku lakini usione ndugu yako au jamaa ako akifanyiwa ndio utagundua wanawake wana nguvuKweli Mkuu Ila jaribu kumsaidia
Mimi ni kisiki cha mpingoUnawajua wanawake from mbeya
Ushauri wa kumpeleka maombi ni mzuri ila sasa siku hizi hata hao wachungaji na wanaojiita watumishi ni wasanii pia. Kama hutojali kuna namna nyingine pia zakumtoa hukoAliniambia huwa anafanya mapinduzi kichwani ila akifika tu home, hana tena nduvu bali ni kuwa muoga sana
Vijijini wapokalembwani yupo mpaka leo?
Thubutuuuh walijua limbwata vizuri weyeeeh, oooh acha kabisaa yaan cc[emoji3][emoji3] Mdogo wangu..Mungu ni zaidi ya kalembwani ujue
😀😀 Sawa mdogo wangu.Thubutuuuh walijua limbwata vizuri weyeeeh, oooh acha kabisaa yaan cc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha sana weyeeeeh, sio kila limbwata ni la kwenye chakula, watu wamesha develop kutoka huko, saiv limbwata n la kupaka mwilini na kunywa, tena sio huyo mwanaume n mwanamke, ni kali hatareeeeeeh.Sikiliza ngoja nikusaidie bure Bila malipo .huyo rafikio kalishwa madawa ya kumlaza akili kiufupi Bila kutegua hilo ataendeshwa Sana.
Ngoja nikupe dawa ya kumtegua huyo nduguyo arudi kwenye Hali yake na akili zake za kawaida.
Fanya hivi ongea nae akikubali sawa au ambatana nae wewe.
Huyo rafiki yako achukue chakula ambacho kimepikwa na huyo mke wake .uwe ni ugali au wali na mboga yake .aende nao chooni akalize chini sahani ya ugali/wali na sahani ya mboga pembeni .amege matonge na kuchovya kwenye mboga na kula ,matonge hata matano tu yanatosha.
Aisee muda huo huo madawa yote na mazindiko aliyofanyiwa na mkewe Yana ishiwa nguvu na kusambaratika.
Ufumba na kufumbua Akili zake zinamrudia hapo hapo .uzezeta unaisha maana ameshavunja maagano yote ya kishirikina aliyofanyiwa.
Atakuwa mkali kwa mwanamke ,mke ataleta amri na dharau zake hajui jamaa alisha vunja mazindiko yake na akili iko sawa.mme ataanza kutoa kipigo cha mbwa koko.
Heshima itarudi mke atanyooka.fanya hivyo msaidie .ongea nae msihi au hata ambatana nae umsimamie afanye hivyo.
Maana wengi wanaolazwa akili na wake zao huwa wagumu kupokea ushauri .ukimshauri jambo anaona kama unataka kumkosanisha na mkewe
Walijua limbwata vizuri weyeeeh dea? Acha tyuuh yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh hiyo ni ndoa ama mtu na dada yake mkubwa! Mwambie asimame kama mwanaume/kichwa cha familia/mwisho wa maamuzi mke akizingua amtwange hata makofi ,kumpa 45 naye anakubali tu mmh[emoji848]
Vipi wee hutak kumkaanga shem? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] Sawa mdogo wangu.
Hamna libwata pale.....it seems jamaa hakupitia certain stages kwenye maisha yake ndiyo sasa inamghalimu.Walijua limbwata vizuri weyeeeh dea? Acha tyuuh yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani limbwata huwa linaaminiwa na watu wa nje? Haya mkampe ushauri huyo muhusika ili atoke kifungoni. LolHamna libwata pale.....it seems jamaa hakupitia certain stages kwenye maisha yake ndiyo sasa inamghalimu.
Hicho kifungo kajitakia mwenyewe!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani limbwata huwa linaaminiwa na watu wa nje? Haya mkampe ushauri huyo muhusika ili atoke kifungoni. Lol
Tusimlaumu sana huyu bwege.Jamaa kaingia mkenge tu, hiyo si ndoa....je mkewe ni Mchagga ama Mpare maana hizi ndo tabia zao.
Mkuu msaidue huyu mtu, lakini pia jipange kwa roho ya malipizi maana utakapomsaidia lazima wachawi watafute na nani aliyemsaidia mateka waoNitajitahidi kwa uwezo wangu wote, pia nitafanya namna ili nimjue tu huyo mke wake maana nilionywesha kwa picha
Usifuate wingi, Tafuta ukweli. na ukweli ni mgumu sana.We Acha porojo zako , yaani watu wote wawe wajinga hapa Wanaoamini uchawi !! Ww ndio Naomi au mjanja
Chukua Konyagi moja nitalipa.Yawezekana ni ujinga tu wala uchawi haujahusika.
Mwambie achepuke akili yake itafunguka.