Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

Kama ni kweli huyo jamaa anahitaji msaada wa haraka!anaweza akafa kwa depression anytime
 
Aliniambia huwa anafanya mapinduzi kichwani ila akifika tu home, hana tena nduvu bali ni kuwa muoga sana
Ushauri wa kumpeleka maombi ni mzuri ila sasa siku hizi hata hao wachungaji na wanaojiita watumishi ni wasanii pia. Kama hutojali kuna namna nyingine pia zakumtoa huko
 
Sikiliza ngoja nikusaidie bure Bila malipo .huyo rafikio kalishwa madawa ya kumlaza akili kiufupi Bila kutegua hilo ataendeshwa Sana.

Ngoja nikupe dawa ya kumtegua huyo nduguyo arudi kwenye Hali yake na akili zake za kawaida.

Fanya hivi ongea nae akikubali sawa au ambatana nae wewe.

Huyo rafiki yako achukue chakula ambacho kimepikwa na huyo mke wake .uwe ni ugali au wali na mboga yake .aende nao chooni akalize chini sahani ya ugali/wali na sahani ya mboga pembeni .amege matonge na kuchovya kwenye mboga na kula ,matonge hata matano tu yanatosha.

Aisee muda huo huo madawa yote na mazindiko aliyofanyiwa na mkewe Yana ishiwa nguvu na kusambaratika.

Ufumba na kufumbua Akili zake zinamrudia hapo hapo .uzezeta unaisha maana ameshavunja maagano yote ya kishirikina aliyofanyiwa.

Atakuwa mkali kwa mwanamke ,mke ataleta amri na dharau zake hajui jamaa alisha vunja mazindiko yake na akili iko sawa.mme ataanza kutoa kipigo cha mbwa koko.
Heshima itarudi mke atanyooka.fanya hivyo msaidie .ongea nae msihi au hata ambatana nae umsimamie afanye hivyo.

Maana wengi wanaolazwa akili na wake zao huwa wagumu kupokea ushauri .ukimshauri jambo anaona kama unataka kumkosanisha na mkewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha sana weyeeeeh, sio kila limbwata ni la kwenye chakula, watu wamesha develop kutoka huko, saiv limbwata n la kupaka mwilini na kunywa, tena sio huyo mwanaume n mwanamke, ni kali hatareeeeeeh.
Bila mtaalamu wa mambo ya limbwata hafunguki ng'ooooooh.
 
Duh hiyo ni ndoa ama mtu na dada yake mkubwa! Mwambie asimame kama mwanaume/kichwa cha familia/mwisho wa maamuzi mke akizingua amtwange hata makofi ,kumpa 45 naye anakubali tu mmh[emoji848]
Walijua limbwata vizuri weyeeeh dea? Acha tyuuh yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imeandikwa na mtume Paulo kwamba tuishi na wake zetu kwa AKILI.
 
Walijua limbwata vizuri weyeeeh dea? Acha tyuuh yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna libwata pale.....it seems jamaa hakupitia certain stages kwenye maisha yake ndiyo sasa inamghalimu.
 
Hamna libwata pale.....it seems jamaa hakupitia certain stages kwenye maisha yake ndiyo sasa inamghalimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani limbwata huwa linaaminiwa na watu wa nje? Haya mkampe ushauri huyo muhusika ili atoke kifungoni. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani limbwata huwa linaaminiwa na watu wa nje? Haya mkampe ushauri huyo muhusika ili atoke kifungoni. Lol
Hicho kifungo kajitakia mwenyewe!!
 
Jamaa kaingia mkenge tu, hiyo si ndoa....je mkewe ni Mchagga ama Mpare maana hizi ndo tabia zao.
Tusimlaumu sana huyu bwege.
Si ajabu hata wewe unayesoma mkeo/mumeo anachukuliwa na watu hapo mtaani hata watoto wadogo wanajua na wanakuona juha kwa unavyojipendekeza kwa huyo mwenza Malaya.
 
Nitajitahidi kwa uwezo wangu wote, pia nitafanya namna ili nimjue tu huyo mke wake maana nilionywesha kwa picha
Mkuu msaidue huyu mtu, lakini pia jipange kwa roho ya malipizi maana utakapomsaidia lazima wachawi watafute na nani aliyemsaidia mateka wao
 
Back
Top Bottom