Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa najiandaa kumtengeneza shem wako, hadi Bongo za fahamu zake zibadilishane muelekeo wa ufanyaji kazi.
Uwiiii Embu usifanye ivyo mdogo wangu...dhambi hiyo shauri yako
 
Ukiwa na watoto wakiume inabidi uwaombee Sana ndo Mana mama dangote ni mkali KWA mwanawe na hivi ni maarufu
Kwa hakika hakuna namna inabidi tu uwe mnaa kuokoa mwanao dhidi ya magume gume
 
Walijua limbwata vizuri weyeeeh dea? Acha tyuuh yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dooh kumbe ila hilo limbwata siyo zuri kabisa jamani afu ni dhambi, kweli mume apige kazi mwezi mzima ofisini salary yake uchukue wewe umpe 45k kweli😒😒 tuwaonee huruma watoto wa wanawake wenzetu jamani. Inabidi aombewe afunguliwe hivo vifungo vya muovu shetani.
 
Toa mfano wa hayo makabila vijana wajihami mapema
 
Kwa hakika hakuna namna inabidi tu uwe mnaa kuokoa mwanao dhidi ya magume gume
Dah mimi mwenyewe nikipata mwanangu apate gume gume nitatembeza kichapo heavy, kisa Cha kumlisha mauchafu mwenzako nini na malibwata mengi hugeuka sumu nakuua wanaume KABLA ya siku zao
 

Ila wokovu hauna siri mkuu mtu atafuatuka tu huko nyumbani [emoji23][emoji23][emoji23] simpatii picha maza hausi akisikia fayaaa!!!, achia!!, achia!!, achia!!!...ooh shaba-ba-ba!!, fayaaaa!!!!
 
Ila wokovu hauna siri mkuu mtu atafuatuka tu huko nyumbani [emoji23][emoji23][emoji23] simpatii picha maza hausi akisikia fayaaa!!!, achia!!, achia!!, achia!!!...ooh shaba-ba-ba!!, fayaaaa!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaah atawatimua wote tangu rafiki, mume na huyo mchungaji watasambaratika hapo na kuacha vumbi tyuuh lol
 
Tupe kinagaubaga baadhi ya maneno mmama aliyokua akiandika.
Ulipoangalia sura yake alikua akifanana Kama mnyamwezi?
 
Purely it's tea, asema hawajaonna kwa miaka mingi tangu wamalize shule, lakini victim anambambia mleta story, si unaona hata uvaaji wangu sio ule unaoufahamu.....chai
Tastes like Tea.

It's probably Tea.....

Oh My! It is Tea!!
 
Mpaka shahawa wanachukua ili waturoge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitaka Ni like then,nipite ...ila ushauli wako umenifanya vidole viandike neno.mkuu yaani umemaliza,Kama unaona umejitahidi kuvumilia kwa muda mrefu still no changes achana nae,kuishi huna amani ni Kama kuishi kuzimu.amani ktk ndoa ndo kila kitu,unakuta mtu umehaso vya kutosha ,kutafuta maisha,unafanikisha then mtu mwngine anakubadilishia hatima yako,makusudi kabisaaa.
 
Mkuu mtafute Mshana Jr ,ila ubebe konyagi kubwa within 3 days to 7 days jamaa yako atakua timamu
 
Yupo maabara tusubili majibu yaje.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…