Duuuhhh!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi naona baada tu ya Hawa kumwaribia Adam pale Bustanini Mungu angemrudishia tu Adam Ubavu wake aendelee kuwa na Wanyama maana huyu kiumbe(ke) bado anasumbua..
Nasema uongo ndugu zangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi naona baada tu ya Hawa kumwaribia Adam pale Bustanini Mungu angemrudishia tu Adam Ubavu wake aendelee kuwa na Wanyama maana huyu kiumbe(ke) bado anasumbua..
Nasema uongo ndugu zangu?
Liwe la kupaka la kunywa linafagiwa fasta KidyaMsitu unapajua unapasikia ? Kukusaidia uchawi was kulishwa au kunywa ndio huwa active sana .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wew unaachekesha sana, limbwata limetoka new version, kupaka mwilin na kunywa lol.
Hakna lolote labda huyo sio mtaalamu wa limbwata, ndo linaloweza kupipuliwa, ila kwa mtalamu wa limbwata akitengeneza hata watu watembee wapi halichuji wala kuyeyukaa kamweeeeh.Liwe la kupaka la kunywa linafagiwa fasta KidyaMsitu unapajua unapasikia ? Kukusaidia uchawi was kulishwa au kunywa ndio huwa active sana .
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Kama huamini unajidanganya
Haya mambo yapoo tena sana
Huyo kalishwa limbwata
Kuna mama mtaani kwetu mpika chapati maarufu siku asubuhi wakati tunasubiri atoe chapati mumewe alikuwa amekaa pembeni
Huyo baba siku zote huwa namuona amekaa kibalazani kwake anasalimia watu tu
Huyu mama akamfokea aingie ndani au akatafute shughuli ya kufanya
Akatuambia wanangu msije mkampa mwanaume limbwata utamuathiri akili pia ona huyu wangu nilimpa anipende awahi kurudi nyumbani matokeo amezubaa mpaka amekua mzigo,kazi hana wala hajiangaishi
Nikajifunza kumbe limbwata ni mzigo badae [emoji848]
Usioe MchagaUshauri wangu Ni huu
1. Oa rafiki yako
2. Oa kutoka the same background
3. Oa mtu wa kwenu
4. Mkeo asikuzidi kipato
5. Epuka kuoa makabila usiyojua Mila na desturi zao. Wachaga wananielewa kwa hili
Anasali wp?Ni wapi huko? Na hakuna madhara yoyote atapata, ila nimepanga kumpeleka kwenye maombi ingawa ukimwingizia habari za kuombewa hapendi anasema anaimani sasa na kanisani kwake.
Kuna mke wa baba yangu wa kwanza alikuwa mshirikina balaa hadi alikuwa anataka kuangamiza ukoo, alifukuzwa na wazee wa ukoo. Mpaka sasa ana miaka zaidi ya 80 anaishi mwenyewe, hata watoto wake wamemshindwaKuna dingi mkubwa (sasa marehemu) mkewe alimsumbuaga kichiz na alikuwa hawez kufanya maamuzi yoyote ndani ya nyumba ...hali ilipozidi mashangazi wakaingilia kati wakaandika talaka wao na wakahakikisha yule mother anaondoka pale
Haya mambo yapo, baba yangu alifanywa zezeta na mke mkubwa. Alipostaafu hatukuwahi kuona hela yake. Alikuwa ni mtu wa kukaa ndani tu hana sauti yoyote kwa mke wake. Alikaa akawa kama ndondocha. Wee acha tu ,ni shidaPole yake, ila namuona kama mjinga ingawa kuna ndugu yangu nae alifanywa hivyo na mke wake alipostaafu kazi mke akala na kiinua mgongo na akaachana na ndugu yangu, nakushauri unsaidie huyo boss wako atoke kwenye huo mnyororo akicheza atakufa maskini hapo hana mke
Tatizo wanaacha wanawake wa maana kwa sababu ambazo hazina msingi. Mimi niliolewa na ndoa yetu alikuwa nzuri tu miaka 2 ya mwanzo. Jamaa kapata mchepuko mmama fulani hivi akahamia huko kabisa na akashawishiwa akauza gari yangu. Nikaona isiwe tabu nikaita wazazi wa pande mbili nikaenda kuomba talaka mahakamani . Alivyo mjinga akapangisha nyumba akachukua kodi ya mwaka wakaenda kutumbua hela na mchepuko . Baada ya miezi 6 tu hela ya gari na ya nyumba ikakata. Alifukuzwa na mchepuko akawa analala kwa washikaji. Sasa hivi yupo tu ni dalali kachoka balaa. Tamaa wakati mwingine zinaponza pande zoteIla na nyie wanaumee muwe mnajituliza akili zenu pindi inapofika muda wa kuchaguaa mke wa kuoaaa shida mnamihemkoooo mwishoe mnabak na majuto ya milele
Mungu anipe uzimaa mm mpk vijana wangu waoee na Mungu awasaidie wapate mke wa kufanana na mimi mama yao,,,nisomeshe vijana wangu atokee mwanamke mmoja abebe mshahara wake wote ntamkataa matiti yakeee,pumbavuuu
Yani ukakubali mmama akuvunjie ndoa yako?Tatizo wanaacha wanawake wa maana kwa sababu ambazo hazina msingi. Mimi niliolewa na ndoa yetu alikuwa nzuri tu miaka 2 ya mwanzo. Jamaa kapata mchepuko mmama fulani hivi akahamia huko kabisa na akashawishiwa akauza gari yangu. Nikaona isiwe tabu nikaita wazazi wa pande mbili nikaenda kuomba talaka mahakamani . Alivyo mjinga akapangisha nyumba akachukua kodi ya mwaka wakaenda kutumbua hela na mchepuko . Baada ya miezi 6 tu hela ya gari na ya nyumba ikakata. Alifukuzwa na mchepuko akawa analala kwa washikaji. Sasa hivi yupo tu ni dalali kachoka balaa. Tamaa wakati mwingine zinaponza pande zote
[emoji28][emoji28][emoji28]Kwamba akila ananuswa, harufu ya chakula inabaki kwani amekuwa jiko?
wewe je hali yako ikoje madam?Tatizo wanaacha wanawake wa maana kwa sababu ambazo hazina msingi. Mimi niliolewa na ndoa yetu alikuwa nzuri tu miaka 2 ya mwanzo. Jamaa kapata mchepuko mmama fulani hivi akahamia huko kabisa na akashawishiwa akauza gari yangu. Nikaona isiwe tabu nikaita wazazi wa pande mbili nikaenda kuomba talaka mahakamani . Alivyo mjinga akapangisha nyumba akachukua kodi ya mwaka wakaenda kutumbua hela na mchepuko . Baada ya miezi 6 tu hela ya gari na ya nyumba ikakata. Alifukuzwa na mchepuko akawa analala kwa washikaji. Sasa hivi yupo tu ni dalali kachoka balaa. Tamaa wakati mwingine zinaponza pande zote