cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Tena huyu katumia la kupaka mwilini na kunywa, sio la kwenye chakula.Acha kabisa watu na vipaji vyao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena huyu katumia la kupaka mwilini na kunywa, sio la kwenye chakula.Acha kabisa watu na vipaji vyao
Ndio linakuwa lipo hivyoTena huyu katumia la kupaka mwilini na kunywa, sio la kwenye chakula.
Acha kabisaaaah kwetu kuna kila aina ya mambwata, mwanaume anamuonesha mkewe kila kitu, had mshahara wote anapanga bajeti mke.Ndio linakuwa lipo hivyo
Ndiyo maombi au apelekwe kwa kalembwani,?Maombi tena? Wee cc hauko serious sasa.
Hilo ndo lenyewe yaan kalembwani lazima atie baraka zake hapo.Ndiyo maombi au apelekwe kwa kalembwani,?
Mkuu I know a pastor ambaye ana neema ya kufungua vifungo vya namna zote kama hutojali nikuwekee Namba zake hapa utamtaftaKuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.
(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)
Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.
Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.
Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.
Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.
Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.
Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.
Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.
Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''
Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.
Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?
Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.
Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.
Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.
Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.
Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.
Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.
Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.
Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.
Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.
Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.
Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.
Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.
Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.
Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
😀😀 Mdogo wangu..Mungu ni zaidi ya kalembwani ujueHilo ndo lenyewe yaan kalembwani lazima atie baraka zake hapo.
Mkuu ufahamu Hana wala hawezi kuamua lolote,so ili awe na maamuz yake cha kwanza ni lazima afunguliwe kwanzaAACHANE NAE HUYO MWANAMKE MCHAWI... HAPO HAKUNA KUPELEKANA NA MCH SHEHE WALA WAZAZ...
Sikiliza ngoja nikusaidie bure Bila malipo .huyo rafikio kalishwa madawa ya kumlaza akili kiufupi Bila kutegua hilo ataendeshwa Sana.Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.
(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)
Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.
Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.
Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.
Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.
Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.
Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.
Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.
Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''
Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.
Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?
Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.
Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.
Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.
Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.
Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.
Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.
Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.
Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.
Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.
Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.
Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.
Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.
Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.
Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
Hicho chakula sharti mpaka kiwe kilichopikwa na mkewe. Asitumie chakula ambacho mkewe hakukipikaSikiliza ngoja nikusaidie bure Bila malipo .huyo rafikio kalishwa madawa ya kumlaza akili kiufupi Bila kutegua hilo ataendeshwa Sana.
Ngoja nikupe dawa ya kumtegua huyo nduguyo arudi kwenye Hali yake na akili zake za kawaida.
Fanya hivi ongea nae akikubali sawa au ambatana nae wewe.
Huyo rafiki yako achukue chakula ambacho kimepikwa na huyo mke wake .uwe ni ugali au wali na mboga yake .aende nao chooni akalize chini sahani ya ugali/wali na sahani ya mboga pembeni .amege matonge na kuchovya kwenye mboga na kula ,matonge hata matano tu yanatosha.
Aisee muda huo huo madawa yote na mazindiko aliyofanyiwa na mkewe Yana ishiwa nguvu na kusambaratika.
Ufumba na kufumbua Akili zake zinamrudia hapo hapo .uzezeta unaisha maana ameshavunja maagano yote ya kishirikina aliyofanyiwa.
Atakuwa mkali kwa mwanamke ,mke ataleta amri na dharau zake hajui jamaa alisha vunja mazindiko yake na akili iko sawa.mme ataanza kutoa kipigo cha mbwa koko.
Heshima itarudi mke atanyooka.fanya hivyo msaidie .ongea nae msihi au hata ambatana nae umsimamie afanye hivyo.
Maana wengi wanaolazwa akili na wake zao huwa wagumu kupokea ushauri .ukimshauri jambo anaona kama unataka kumkosanisha na mkewe
Kalogwa huyoo mtoe kifungoniKuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.
(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)
Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.
Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.
Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.
Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.
Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.
Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.
Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.
Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''
Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.
Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?
Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.
Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.
Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.
Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.
Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.
Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.
Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.
Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.
Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.
Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.
Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.
Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.
Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.
Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
We we wanawake wanataka kuitawala Dunia na ndiyo dalili za mwishoNakumbuka kuna siku nilikuwa kwenye daladala nimesimama pembeni yangu kulikuwa na mwanamke wa makamo tu alikuwa anatype msg nikakuta macho yangu yanaangalia ghafla tu alichokuwa anatype ni balaaa.
Ile msg ilikuwa anamuomba mwenzie jnsi gani atamweka mkononi huyo kibopa aliekuwa nae ndo nikaamin kumbe haya mambo yapo kweli.
[emoji23][emoji23] unasema ukweli ndugu yangu awa watu wanatuzaa tuu lakini Wana kasoro nyingi mnoooMi naona baada tu ya Hawa kumwaribia Adam pale Bustanini Mungu angemrudishia tu Adam Ubavu wake aendelee kuwa na Wanyama maana huyu kiumbe(ke) bado anasumbua..
Nasema uongo ndugu zangu?
Sio kweli mkuu, ukabila aliuua MwalimuKuoa mtu wa kwenu ni heshima kubwa kwa jamii yako.
Wahaya ndoa zao hazivunjiki mara nyingi sababu wanajitahidi kufata huu utamaduni hata wakiwa mbali na mkoa wao wa kagera...bado wanasaka wahaya wenzao kwenye swala la ndoa
Sawa Ila usiende mbali sana. Kwa mfano ukiwa mpare unaweza kuoa msambaa au mrombo. Sio mpare unaenda kuoa mmakonde au muha ambao Mila na desturi ziko Kama jua na mwezi.Hapa kwenye kabila nakataa
Dah acha kutuchafua wapare.....mama na dada zetu hawapo hivyo kabisaJamaa kaingia mkenge tu, hiyo si ndoa....je mkewe ni Mchagga ama Mpare maana hizi ndo tabia zao.
Kweli duniani kuna elimu nyingi sana, nitamshawishi ili afanye hivyo. Maana anakili kabisa kuwa akili anakuwa nayo ila ni uwoga tu wa kumuogopa huyo mwanamke kama simbaSikiliza ngoja nikusaidie bure Bila malipo .huyo rafikio kalishwa madawa ya kumlaza akili kiufupi Bila kutegua hilo ataendeshwa Sana.
Ngoja nikupe dawa ya kumtegua huyo nduguyo arudi kwenye Hali yake na akili zake za kawaida.
Fanya hivi ongea nae akikubali sawa au ambatana nae wewe.
Huyo rafiki yako achukue chakula ambacho kimepikwa na huyo mke wake .uwe ni ugali au wali na mboga yake .aende nao chooni akalize chini sahani ya ugali/wali na sahani ya mboga pembeni .amege matonge na kuchovya kwenye mboga na kula ,matonge hata matano tu yanatosha.
Aisee muda huo huo madawa yote na mazindiko aliyofanyiwa na mkewe Yana ishiwa nguvu na kusambaratika.
Ufumba na kufumbua Akili zake zinamrudia hapo hapo .uzezeta unaisha maana ameshavunja maagano yote ya kishirikina aliyofanyiwa.
Atakuwa mkali kwa mwanamke ,mke ataleta amri na dharau zake hajui jamaa alisha vunja mazindiko yake na akili iko sawa.mme ataanza kutoa kipigo cha mbwa koko.
Heshima itarudi mke atanyooka.fanya hivyo msaidie .ongea nae msihi au hata ambatana nae umsimamie afanye hivyo.
Maana wengi wanaolazwa akili na wake zao huwa wagumu kupokea ushauri .ukimshauri jambo anaona kama unataka kumkosanisha na mkewe
[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]hakuna kitu huwa ninapenda Kama kuangalia wanaochat kwenye daladala. Kuna vitu vy ajabu Sana, mmoja anakwambia "Niko na kaka siwezi kuchati baby" lakini ukiangalia kwa making Kama hakuna ukaka pale. Ila duniani wezi ni wengi sanaNakumbuka kuna siku nilikuwa kwenye daladala nimesimama pembeni yangu kulikuwa na mwanamke wa makamo tu alikuwa anatype msg nikakuta macho yangu yanaangalia ghafla tu alichokuwa anatype ni balaaa.
Ile msg ilikuwa anamuomba mwenzie jnsi gani atamweka mkononi huyo kibopa aliekuwa nae ndo nikaamin kumbe haya mambo yapo kweli.