Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

Samahani mkuu nisaidie katika hili limewahi kunitokea mimi mwenyewe iko hivi;... Siku moja nilitoka kazini nikafika ndani nikapika, nikala nikacheki taarifa ya habari then nikazima TV, nikaingia chumbani nikalala by saa nane hivi nikastuka baada ya kusikia TV imewashwa niliamka ile nakaribia sebuleni nikaona paka sikujua idadi yao kwa haraka lakn walikuwa kama 15 hivi nikajiuliza hawa paka wameingiaje ndani na madirisha yana nyavu,... basi nikaamua kuwatisha lkn hata hawastuki, ... basi nikarudi chumbani kufika tu chumbani walianza kulia kwa sauti kubwa sana kama dakika tano hivi,... baada ya hapo kukawa kimya na ile TV Ikawa imezimwa. nilipoenda kuangalia tena sikuwakuata je kisayansi hii inaweza kuwa imesababishwa na nini kumbuka hapo nilikuwa naishi peke yangu na baada ya pale sikulala tena hadi kunakucha,... isipokuwa asubuhi jamaa wa chumba cha jirani alizungumzia kuhusu zile kelele za paka kwa usiku ule pls naomba unisaidie hili lilisababishwa na nini.
Short and clear hao ni wachawi sema na wewe ulitakiwa upige maombi
 
sijaona jambo gumu analopitia,kashindwa kutumia nafasi yake kama mwanaume aseh kama kalogwa vile...
 
Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.

(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)

Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.

Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.

Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.

Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.

Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.

Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.

Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.

Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''

Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.

Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?

Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.

Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.

Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.

Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.

Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.

Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.

Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.

Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.

Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.

Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.

Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.

Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.

Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.

Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
Tulishawaambia WASIOE..

Sasa tutawasaidia vipi?

#YNWA
 
Mshahara wa jamaa 3M
Kakuzidi 500K
Ok, wewe ni 2.5M...
.sio mbaya......
Waalimu mnaona wenzenu?
 
Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.

(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)

Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.

Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.

Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.

Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.

Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.

Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.

Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.

Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''

Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.

Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?

Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.

Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.

Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.

Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.

Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.

Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.

Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.

Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.

Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.

Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.

Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.

Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.

Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.

Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
Mama wa nyumbani, anaupata aje mshahara wa mume wake?
Ile ujasiri anaoupata akiwa nje ya nyumba, autumie kuhakikisha anabadili akaunti ya benki na kuuelekeza mshahara wake huko, na kwa ujasiri huo huo, ahakikishe siku moja harudi nyumbani.
 
Braza last week salary imesoma 2.5M..aiseee.
 
Hii stori design kama unajiongelea wewe mwenyewe... Funguka mzee usaidiwe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Michepuko ni hatar lakin huyu dawa ya haraka haraka ya kumsaidia ni kupata mchepuko halaf umkamate kisawa...yan atengeneze competitor ila thaman yake ipande.
 
Kaka nakuomba umpeleke kwny maombi huyo rafik yako,kwa maelezo yako huyo kaka kafungwa na nguvu za giza,mpeleke kkkt kijitonyama atafunguliwa vifungo vyote alivyofungwa na mkewe
 
Taja kabila la huyo mwanamke kwanza ili mabaharia wasije anguka kwenye ilo kabila
kizembe
Itoshe kusema kwamba ingia kwenye mahusiano ya mapenzi au ndoa na mtu ambae mna values zinazofanana au kushahabihiana.
 
Ila na nyie wanaumee muwe mnajituliza akili zenu pindi inapofika muda wa kuchaguaa mke wa kuoaaa shida mnamihemkoooo mwishoe mnabak na majuto ya milele

Mungu anipe uzimaa mm mpk vijana wangu waoee na Mungu awasaidie wapate mke wa kufanana na mimi mama yao,,,nisomeshe vijana wangu atokee mwanamke mmoja abebe mshahara wake wote ntamkataa matiti yakeee,pumbavuuu
Utajua bhas mama

Ndo ivyo ata akila mghawani ananuswa mikono.

Jamaa anaonekana bahiri kumbe anahela ya nauli tu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kuoa mtu wa kwenu ni heshima kubwa kwa jamii yako.

Wahaya ndoa zao hazivunjiki mara nyingi sababu wanajitahidi kufata huu utamaduni hata wakiwa mbali na mkoa wao wa kagera...bado wanasaka wahaya wenzao kwenye swala la ndoa
Ni kweli wahaya ndoa zao hazivunjiki ovyo kwa sababu tabia za michepuko ipo pande zoote kwa mume na mke woote wanacheza ligi za ndani na nje kwa kasi ya 4G. Wewe mwanaume kama huna roho ngumu usije ukaoa mwanamke wa kihaya ambae hana hofu na MUNGU aisee wahaya shikamoo japo sio woote wenye ile tabia sijui waliumbwaje watani zangu wahaya
 
Duh hiyo ni ndoa ama mtu na dada yake mkubwa! Mwambie asimame kama mwanaume/kichwa cha familia/mwisho wa maamuzi mke akizingua amtwange hata makofi ,kumpa 45 naye anakubali tu mmh🤔
 
Back
Top Bottom