Kisa hiki kina funzo kubwa sana hasa jinsi waafrika tunavyowaza

Kisa hiki kina funzo kubwa sana hasa jinsi waafrika tunavyowaza

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Kuna mambo ambayo tunayafanya sisi Ngozi nyeusi yanatatiza sana hadi unabaki na maswali hivi hili limefanywa na binadamu mwenye akili sawasawa kweli?

Kuna visa kadhaa wa kadhaa ambavyo nimewahi kusoma sehemu tofauti tofauti na vingine kuvisikia kwa watu hasa haw wahamasishaji. Moja kisa hii kina elezea uhalisia wa akili zetu hasa sisi wa Tz.

KISA CHENYEWE NI HIKI HAPA.

Wazungu walipanda gorofa hadi floo ya mwisho kabisa juu kisha wakaanza kusifia namna jengo lile zuri lilivyojengwa.Walimsifia injinia wa jengo lile na hawakuishia hapo tu wakampongeza na mmiliki wa jengo lile
kisha wakaulizana kwa maksio hili jengo laweza kugharimu $ ngapi? Kila mmoja alitoa tathimini zake kisha wakashuka na kuendelea na mambo yao.

Basi waafrica (Tanzania ) wakapanda jengo lile lile hadi floo ya mwisho walipokuwa wazungu.Baada ya kutazama chini mmoja wapo akasema kumamae majamaa ya hela hatari.Yule mwingine akadakia na kumuuliza mwenzie ...
Ukiambiwa upewe milioni 100 ujirushe hadi chini utakubali?

Basi leo hapa hapa jukwaani kuna uzi una mbeza Rais wa Burknafaso Ibrahim traore akiwa na putin wanasalimiana .Ule uzi hauna maelezo sana
Unazungumzia kwanini alipokuwa na putin hakuwa na zile bastola yake kama anavyoonekana akiwa hapa Africa.
(siyo title halisi nimesahau )

Ule uzi michango yake kutoka kwa wadau inashangaza sana .....wengi wamesema huyu dogo ni mjinga sana,poor africa,anajiona sana kama kamaliza,huyu dogo tusubiri mwisho wake, na mengine mengi.

Maswali ya kujiuliza mjinga anaweza kumpindua rais na kuungwa mkono na jeshi?

Mjinga anaweza kufanya yale anayofanya huyu anayeitwa dogo?
Huyu wa kuitwa mjinga anaweza kupunguza mishahara ya watumishi kwa weredi namna ile?

Wewe mwenye akili umeifanyia nini nchi yako hadi sasa?

Nini tujifunze kwako wewe mwenye akili?
 
images (6).jpeg
mwamba huyo
 
Kuna mambo ambayo tunayafanya sisi Ngozi nyeusi yanatatiza sana hadi unabaki na maswali hivi hili limefanywa na binadamu mwenye akili sawasawa kweli?

Kuna visa kadhaa wa kadhaa ambavyo nimewahi kusoma sehemu tofauti tofauti na vingine kuvisikia kwa watu hasa haw wahamasishaji. Moja kisa hii kina elezea uhalisia wa akili zetu hasa sisi wa Tz.

KISA CHENYEWE NI HIKI HAPA.

Wazungu walipanda gorofa hadi floo ya mwisho kabisa juu kisha wakaanza kusifia namna jengo lile zuri lilivyojengwa.Walimsifia injinia wa jengo lile na hawakuishia hapo tu wakampongeza na mmiliki wa jengo lile
kisha wakaulizana kwa maksio hili jengo laweza kugharimu $ ngapi? Kila mmoja alitoa tathimini zake kisha wakashuka na kuendelea na mambo yao.


Basi waafrica (Tanzania ) wakapanda jengo lile lile hadi floo ya mwisho walipokuwa wazungu.Baada ya kutazama chini mmoja wapo akasema kumamae majamaa ya hela hatari.Yule mwingine akadakia na kumuuliza mwenzie ...
Ukiambiwa upewe milioni 100 ujirushe hadi chini utakubali?

Basi leo hapa hapa jukwaani kuna uzi una mbeza Rais wa Burknafaso Ibrahim traore akiwa na putin wanasalimiana .Ule uzi hauna maelezo sana
Unazungumzia kwanini alipokuwa na putin hakuwa na zile bastola yake kama anavyoonekana akiwa hapa Africa.
(siyo title halisi nimesahau )

Ule uzi michango yake kutoka kwa wadau inashangaza sana .....wengi wamesema huyu dogo ni mjinga sana,poor africa,anajiona sana kama kamaliza,huyu dogo tusubiri mwisho wake, na mengine mengi.

Maswali ya kujiuliza mjinga anaweza kumpindua rais na kuungwa mkono na jeshi?

Mjinga anaweza kufanya yale anayofanya huyu anayeitwa dogo?
Huyu wa kuitwa mjinga anaweza kupunguza mishahara ya watumishi kwa weredi namna ile?

Wewe mwenye akili umeifanyia nini nchi yako hadi sasa?

Nini tujifunze kwako wewe mwenye akili?
Mkuu umefanya vizuri kuja na Uzi huu na zaidi kulisemea swala la huyo shujaa wa Burkina Faso, nikuhakikishie, watanzania wengi ni viumbe wa ajabu sana, ni wajinga bila kujali wameenda shule ama hawakwenda, baadhi ktk mada hiyo wameenda mbali na kumshambulia hayati magufuli wakimfananisha na huyo rais...
Sasa basi, kumbe watanzania wanapenda viongozi wanaodalalia rasirimali zao huku wao wakibaki wanaishi kama kuku wa kienyeji...
Tabia halisi ya watanzania wengi ni hizi, wivu, uchawi, roho mbaya, kutopenda mafanikio ya wengine, waongo na zingine mbaya kama hizo...BAHATI MBY KWAO NI KWAMBA, VIONGOZI WA KALIBA YA MAGUFULI NA TRAORE NDIO WALIOPENDWA ZAIDI NA WANANCHI NA AINA YAO YA UONGOZI ILIKUBALIKA MNO NA RAIA WALIO WENGI.
 
Mkuu umefanya vizuri kuja na Uzi huu na zaidi kulisemea swala la huyo shujaa wa Burkina Faso, nikuhakikishie, watanzania wengi ni viumbe wa ajabu sana, ni wajinga bila kujali wameenda shule ama hawakwenda, baadhi ktk mada hiyo wameenda mbali na kumshambulia hayati magufuli wakimfananisha na huyo rais...
Sasa basi, kumbe watanzania wanapenda viongozi wanaodalalia rasirimali zao huku wao wakibaki wanaishi kama kuku wa kienyeji...
Tabia halisi ya watanzania wengi ni hizi, wivu, uchawi, roho mbaya, kutopenda mafanikio ya wengine, waongo na zingine mbaya kama hizo...BAHATI MBY KWAO NI KWAMBA, VIONGOZI WA KALIBA YA MAGUFULI NA TRAORE NDIO WALIOPENDWA ZAIDI NA WANANCHI NA AINA YAO YA UONGOZI ILIKUBALIKA MNO NA RAIA WALIO WENGI.
Hii unajiuliza hadi unachoka kabisaa kwamba kwanini lakini watu wawe na fikra hasi za kipumbavu namna hii.

Huyo jamaa kwa kifupi tu kajitoa sadaka kwa ajiri ya nchi yake katimua mabeberu,kanunua trakta na kuzigawa bure na mengine mengi.

Huku kwetu mama mjamzito anaambiwa akajifungulie nyumbani kisa kakoswa 50k ya kununua vifaa.
Muda huohuo kuna magoli yana nunuliwa mamilioni rais anachangia makanisa ya watapeli mamia ya mamilioni tunaona sawa tu.

Kama sisi sio wajinga basi sisi ndo wapumbavu wa kutupwa kabisa hapa duniani kwa fikra hizi
 
Kuna wachache miongoni mwetu tunamshambulia kwa namna alivyoingia madarakani (kupindua serikali) lakini hatutaki kuona matokeo ya maamuzi yake! Ninaamini idea za utawala za Traore amechukua kwa Magufuli ila sisi kazi yetu kuasisi mambo na kutofikisha mwisho.

Itafikia kipindi huyu jamaa aki survive kitambo kirefu na kubadilisha hali ya maisha ya watu wake, sisi Watz tutajiona wajinga wa mwisho duniani kwa kutomuunga mkono Magufuli.
 
Kuna wachache miongoni mwetu tunamshambulia kwa namna alivyoingia madarakani (kupindua serikali) lakini hatutaki kuona matokeo ya maamuzi yake! Ninaamini idea za utawala za Traore amechukua kwa Magufuli ila sisi kazi yetu kuasisi mambo na kutofikisha mwisho.

Itafikia kipindi huyu jamaa aki survive kitambo kirefu na kubadilisha hali ya maisha ya watu wake, sisi Watz tutajiona wajinga wa mwisho duniani kwa kutomuunga mkono Magufuli.
Ndio uhalisia
 
Kuna wachache miongoni mwetu tunamshambulia kwa namna alivyoingia madarakani (kupindua serikali) lakini hatutaki kuona matokeo ya maamuzi yake! Ninaamini idea za utawala za Traore amechukua kwa Magufuli ila sisi kazi yetu kuasisi mambo na kutofikisha mwisho.

Itafikia kipindi huyu jamaa aki survive kitambo kirefu na kubadilisha hali ya maisha ya watu wake, sisi Watz tutajiona wajinga wa mwisho duniani kwa kutomuunga mkono Magufuli.
Uzalendo ni pamoja na kutokaa kimya pale unapoona rasirimali za nchi zinatapanywa na kunufaisha wachache ilhali maskini wasio na uwezo wanaambiwa walete elfu 50 ndio wajifungue, kitendo cha TRAORE kuamua kutumia njia ya kuwafurusha kijeshi mafisadi ndio ulikiwa uamuzi sahihi ktk mazingira ambayo box la kura haliheshimiwi...na wanajeshi waliomuunga mkono kufikia azma hiyo ni wazalendo, hivyo basi jeshi la bukinabe ni jeshi la kizalendo Kwa kujitoa kupigania maslahi ya wananchi na sio watawala wachache.
 
Waza tu tumeua jiwe wenyewe tuongozwe na mama tutashindwaje kusupport marekani kumuua gadafi na kumnanga Capt. Ibrahim Traoré
 
Hii nayo ya kuwakweza wazungu tupunguze,hata kama wametuzidi kwenye mambo mengi ila still pia Kuna wazungu wanaofanya mambo ya ajabu ajabu sana
 
Back
Top Bottom