Kisa kazi, mchumba wangu amenisaliti

Usipende kuendekeza mizaha na mwanamke yoyote ndani ya mahusiano anapoanza kuonyesha kukuletea elements za kuwa na mazoea na mwanaume mwingine hata kama atasema ni urafiki au biashara. Ukicheka na nyani utavuna mabua.
Jamaa una akili sana na umefunga uzi kabisa
 
Poleni na majumukumu.

Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
Kama yupo tayari kuacha kazi sababu umejua, kwanini hakuacha kazi wakati ule. Alisaliti ili abaki na kazi sasa anataka kuacha kazi abaki na mahusiano, piga chini, wala usidai mahari, hiyo hajui mini anataka.
 
Usipende kuendekeza mizaha na mwanamke yoyote ndani ya mahusiano anapoanza kuonyesha kukuletea elements za kuwa na mazoea na mwanaume mwingine hata kama atasema ni urafiki au biashara. Ukicheka na nyani utavuna mabua.
Mule mule braza. Hamna urafiki wa mwanaumee na mwanamke bwana watajshja kugegedana tuu.
 
Dogo sikia mwanamke moyo wake tunahitaji baunza pembeni yake, hivyo ww kkuwa mbali ilikuwa sababu, huyu Bibi usimwache kaa anayee umtengeneze utakuwa mke bomba, mke akiwa vacuum lazima hilo lijamaa lilitumia hiyo chance
Na mimba aliyotoa!!!,labda katoa na kizazi je??,msimdanganye mwenzenu pigaa chini malaya huyo...
 
My nigga, you played the right card. She a hoe. Mwanamke anaye jielewa asingeweza kufanya yote hayo kisa kazi.
 
Naomba namba yake mkuu nimpe kazi nyingine, hayo mambo bila hela ni sawa na kazi ya kuchimba choo
 
Aiseee , sasa kwao na kwenu ilikuwaje mkuu, maaana walikuwa wanajua mpo wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…