Kisa kazi, mchumba wangu amenisaliti

Kisa kazi, mchumba wangu amenisaliti

Poleni na majumukumu.

Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.

Binti huyu ni yeye ndiye aliyenitafuta na kuonesha kuvutiwa na mimi. Hakuwa mrembo, ila alionekana ni mwenye imani ya dini sana na mpole. Wakati huo mimi nilikuwa playboy sina muda wala sikuwa in a relationship.

Siku tuliyokutana, mwaka 2015 nilimtembelea rafiki yangu katika mji mwingine wa nchi hiyo ndipo rafiki yangu akanitambulisha kwake. Alionekana kunichangamkia, uso wake ulijaa tabasamu alipoongea nami. Akamuaomba rafiki yangu aniachie namba yake ili tuwe tunawasiliana. Nilifanya hivyo, siku nasafiri kurudi kwangu, nikamtext kumuaga alifurahi akasave namba yangu.

Baada ya kufika kwangu, siku kadhaa mbeleni akaanza kunitafuta, akawa anaipigia simu hadi usiku, analazimisha tuongee masaa mengi, mm sikuwa mtu wa kuongea na simu masaa mengi. Basi ikaenda hivyo, ikafika siku akaniomba tuonane. Alitaka kunitumia nauli ya ndege nisafiri tuonane. Kutokana na ratiba zangu haikuwezekana. Zikapita siku, wiki, akaniambia anakuja kwenye mji wetu.

Kipindi hiko, mimi sikuwa na mpango nae, maana niliona kama hatuendani kwa sababu mimi nilikuwa bishoo tu, na yeye alionekana mtu mwenye kujiheshimu na aliyeshika imani ya dini ya kiislamu. Rafiki zangu, wakawa wananishawishi kuwa huyu mwanamke anakutaka, amefunga safari kwa ajili yako, malizana nae. Ukimuacha arudi kwao hivihivi utakuwa umekosea. Basi ikabidi tutoke dinner na mambo mengine yakaendelea. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu.

Kusema ukweli wa Mungu sikuwahi kupendwa before, kwa namna alivyonipenda huyu mwanamke. Alijitoa sana kwangu. Kila mtu alifahamu ni namna gani alinipenda. Mwanzo sikuwa na hisia nae lakini kutokana na upendo alionionesha, nikaona huruma kumuumiza. Ikabidi niachane na michepuko yote niingie kwenye serious relationship na yeye.

Baadhi ya watu walipiga vita mahusiano yetu. Walikuwa wakimuambia kuwa mimi nilikuwa namchezea tu, hatuendani. Ila hatukujali tukaendelea na mapenzi. Akawa ananiambia nimuoe sababu maisha ni yale yale na yupo tayari kuishi maisha yoyote na mimi. Japo mimi masikini lakini hajanipendea pesa. Tufunge ndoa tuishi kihalali. Basi kutokana na mapenzi yake, ikabidi nibadili mipango yangu sababu sikuwa nimewaza kuoa nikiwa chuo. Nikawapa taarifa wazazi wangu, mwanzoni walipinga ila baadae wakakubali. Nikamtambulisha nyumbani. Mimi sikuwahi kwenda kwao, ila nilikuwa najulikana.

Tukaanza process za uchumba, nikatoa mahari. Alifurahi sana. Mapenzi yalikuwa motomoto. Kila kitu kilienda sawa tukapanga kukirudi likizo nyumbani tufunge ndoa. Ila bahati mbaya au nzuri, dunia ikakumbwa na janga la covid19, mipaka ya nchi mbalimbali ikafungwa, hatukuweza kurudi likizo hivyo ikashindikana kutimiza azma yetu.

Tumedumu kwnye mahusano kwa zaidi ya miaka mitano. Mwaka jana, yeye alimaliza masomo yake, tukaagana. Mimi nilikuwa nimebakisha mwaka mmoja. Akarudi kwao, tukawa tunawasiliana, mapenzi yaliendelea, japo maisha yalibadilika financially sababu familia ziliathirika na janga la uviko. Mapenzi yaliendelea hadi hapo alipopata mchongo wa kazi.

Kuna siku alienda kugonga geti kwenye kampuni fulani, akaacha cv zake, akakutana na kijana mmoja muajiriwa wa hapo ambaye aliahidi kumsaidia kupata kazi. Alifurahi sana alinishirikisha vyote. Siku zikapita yule jamaa akamuambia arekebishe CV yake, akaniambia, mimi nikarekebisha kila kitu huku nikiwa na furaha japo nilikuwa na doubt. Sababu najua hakuna favour ya bure tu Dunia ya sasa. Nilimuonya mchumba wangu, nikamuambia awe makini. Ajaribu kuplay smart apate mchongo. Alinielewa basi michakato ya yeye kupata kazi ikaendelea.

Akaitwa kwenye interview, akapita na akapata kazi. Kipindi chote hiko alikuwa akinishirikisha kila kitu hadi conversations zake na huyo jamaa. Alimsifia kuwa ni mtu wa dini, na ni mwema sana. Baada ya muda kupita, akaanza kubadilika kuwa msiri. Akawa hainishirikishi tena mambo ya kazi. Akapunguza muda wa kunitafuta, nikimtafuta anasema yupo busy. Nikahisi kuna kitu kiaendelea baina yao. Nikawa kila nikimuuliza huwa anamtetea huyo mshkaji ma kusema ni mtu mwenye roho nzuri na amesaidia wengi. Basi tukawa tunagombana mara kwa mara, tunashuluhisha, anadai kazi zinabana, na mm sitaki kumuelewa. Ieleweke ameanza kazi miezi mitatu kabla ya mimi kurudi.

Basi kuna siku nikambana, akakiri kuwa alikuwa ananificha ni kwamba alikuwa alikuwa akikopwa hela na huyo jamaa ila hakunishirikisha, mara walikutana sehemu hakunishirikisha ila hakuna linaloendelea baina yao zaidi ya kazi. Basi mm nikasema ngoja nirudi maana hazijabaki siku nyingi.

Mungu si Asumani, nimerudi nyumbani salama, amekuja kunipokea airport. Mambo yakaenda fresh. Baada ya siku mbili nikiwa nae, naona texts zikiingia anaficha simu. Nikagundua anajaribu kunificha kitu. Baadae nachukua simu yake kusoma text, nakuta amefuta texts zote. Kumuuliza anababaika. Nikambana aniambie ukweli, nikamuambia akiniambia ukweli nitamsamehe na tutaendelea na mapenzi yetu.

Hapo ndo akakiri kuwa alianzisha mahusiano na yule jamaa, wakafanya hadi mambo yao bila kinga hata, na akapata na ujauzito ikabidi autoe. Kuumuliza why amenifanyia hivyi vyote after all we have been thru. Anasema eti jamaa alikuwa anatumia force, anamtishia kuwa atamuharibia kwa bosi na atakosa kazi. Hivyo hakuwa na jinsi.

Inavyoonekana ni kwamba jamaa alifanikiwa kumteka na kucontrol akili yake, so akawa anamtumia. Akakiri kuwa jamaa alimpiga hadi picha ya uchi akawa anamtishia ataisambaza kazini kote. Kiukweli niliishiwa nguvu, sikutegemea kama angeweza kufanya yote hayo. Kutokana na kunipenda sana, na kuwa mtu wa imani, ilipelekea mm kumuamini sana hapo kabla. Japo moja ya udhaifu wake aliokuwa nao muda mrefu ni kuamini watu kirahisi na huruma iliyopitiliza. Yani hata kuibiwa kwake ilikuwa rahisi sana.
Sijui hata nifanye nini kwa sasa.

Cha kushangaza after yote hayo, bado ananililia nimsamehe tuendelee na process za ndoa yetu. Anadai yupo tayari kuacha kazi. Mimi nimemuambia bora aniache, ili ibaki kuwa siri, nisimuharibie status yake Ila bado anasumbua. Amelia njiani na kupiga goti barabarani kiasi cha kuzua mshangao kwa wapita njia eti anaomba nimsamehe.

Kila mtu anafahamu kuhusu mahusiano yetu. Nashindwa jinsi gani ni-deal na hii situation. Cha kushanganza yote hayo yametokea within 3 months only. Naombeni ushauri wenu wakuu. Do you think this woman deserves forgiveness? What about familia yake, niwaambie kilichotoea wanirudishie mahari yangu au nifanyeje? Asanteni.
Tafuta kazi kwanza mkuu au unayo
 
Kiufupi sana huyo mwanamke ni "easy to get". Sio aina ya mwanamke ambaye unaweza kudumu nae kwenye shida na raha. Sasahivi anatumia excuse ya kuacha kazi ili umuoe kwasababu ya risk ya kuaibika iliyoko mbele yake. Ukimuoa tabia aliyoonesha within 3 months inaweza kuwa kubwa mara kumi zaidi.


SUMU HAIONJWI MKUU.
Well said!!
 
Poleni na majumukumu.

Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.

Binti huyu ni yeye ndiye aliyenitafuta na kuonesha kuvutiwa na mimi. Hakuwa mrembo, ila alionekana ni mwenye imani ya dini sana na mpole. Wakati huo mimi nilikuwa playboy sina muda wala sikuwa in a relationship.

Siku tuliyokutana, mwaka 2015 nilimtembelea rafiki yangu katika mji mwingine wa nchi hiyo ndipo rafiki yangu akanitambulisha kwake. Alionekana kunichangamkia, uso wake ulijaa tabasamu alipoongea nami. Akamuaomba rafiki yangu aniachie namba yake ili tuwe tunawasiliana. Nilifanya hivyo, siku nasafiri kurudi kwangu, nikamtext kumuaga alifurahi akasave namba yangu.

Baada ya kufika kwangu, siku kadhaa mbeleni akaanza kunitafuta, akawa anaipigia simu hadi usiku, analazimisha tuongee masaa mengi, mm sikuwa mtu wa kuongea na simu masaa mengi. Basi ikaenda hivyo, ikafika siku akaniomba tuonane. Alitaka kunitumia nauli ya ndege nisafiri tuonane. Kutokana na ratiba zangu haikuwezekana. Zikapita siku, wiki, akaniambia anakuja kwenye mji wetu.

Kipindi hiko, mimi sikuwa na mpango nae, maana niliona kama hatuendani kwa sababu mimi nilikuwa bishoo tu, na yeye alionekana mtu mwenye kujiheshimu na aliyeshika imani ya dini ya kiislamu. Rafiki zangu, wakawa wananishawishi kuwa huyu mwanamke anakutaka, amefunga safari kwa ajili yako, malizana nae. Ukimuacha arudi kwao hivihivi utakuwa umekosea. Basi ikabidi tutoke dinner na mambo mengine yakaendelea. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu.

Kusema ukweli wa Mungu sikuwahi kupendwa before, kwa namna alivyonipenda huyu mwanamke. Alijitoa sana kwangu. Kila mtu alifahamu ni namna gani alinipenda. Mwanzo sikuwa na hisia nae lakini kutokana na upendo alionionesha, nikaona huruma kumuumiza. Ikabidi niachane na michepuko yote niingie kwenye serious relationship na yeye.

Baadhi ya watu walipiga vita mahusiano yetu. Walikuwa wakimuambia kuwa mimi nilikuwa namchezea tu, hatuendani. Ila hatukujali tukaendelea na mapenzi. Akawa ananiambia nimuoe sababu maisha ni yale yale na yupo tayari kuishi maisha yoyote na mimi. Japo mimi masikini lakini hajanipendea pesa. Tufunge ndoa tuishi kihalali. Basi kutokana na mapenzi yake, ikabidi nibadili mipango yangu sababu sikuwa nimewaza kuoa nikiwa chuo. Nikawapa taarifa wazazi wangu, mwanzoni walipinga ila baadae wakakubali. Nikamtambulisha nyumbani. Mimi sikuwahi kwenda kwao, ila nilikuwa najulikana.

Tukaanza process za uchumba, nikatoa mahari. Alifurahi sana. Mapenzi yalikuwa motomoto. Kila kitu kilienda sawa tukapanga kukirudi likizo nyumbani tufunge ndoa. Ila bahati mbaya au nzuri, dunia ikakumbwa na janga la covid19, mipaka ya nchi mbalimbali ikafungwa, hatukuweza kurudi likizo hivyo ikashindikana kutimiza azma yetu.

Tumedumu kwnye mahusano kwa zaidi ya miaka mitano. Mwaka jana, yeye alimaliza masomo yake, tukaagana. Mimi nilikuwa nimebakisha mwaka mmoja. Akarudi kwao, tukawa tunawasiliana, mapenzi yaliendelea, japo maisha yalibadilika financially sababu familia ziliathirika na janga la uviko. Mapenzi yaliendelea hadi hapo alipopata mchongo wa kazi.

Kuna siku alienda kugonga geti kwenye kampuni fulani, akaacha cv zake, akakutana na kijana mmoja muajiriwa wa hapo ambaye aliahidi kumsaidia kupata kazi. Alifurahi sana alinishirikisha vyote. Siku zikapita yule jamaa akamuambia arekebishe CV yake, akaniambia, mimi nikarekebisha kila kitu huku nikiwa na furaha japo nilikuwa na doubt. Sababu najua hakuna favour ya bure tu Dunia ya sasa. Nilimuonya mchumba wangu, nikamuambia awe makini. Ajaribu kuplay smart apate mchongo. Alinielewa basi michakato ya yeye kupata kazi ikaendelea.

Akaitwa kwenye interview, akapita na akapata kazi. Kipindi chote hiko alikuwa akinishirikisha kila kitu hadi conversations zake na huyo jamaa. Alimsifia kuwa ni mtu wa dini, na ni mwema sana. Baada ya muda kupita, akaanza kubadilika kuwa msiri. Akawa hainishirikishi tena mambo ya kazi. Akapunguza muda wa kunitafuta, nikimtafuta anasema yupo busy. Nikahisi kuna kitu kiaendelea baina yao. Nikawa kila nikimuuliza huwa anamtetea huyo mshkaji ma kusema ni mtu mwenye roho nzuri na amesaidia wengi. Basi tukawa tunagombana mara kwa mara, tunashuluhisha, anadai kazi zinabana, na mm sitaki kumuelewa. Ieleweke ameanza kazi miezi mitatu kabla ya mimi kurudi.

Basi kuna siku nikambana, akakiri kuwa alikuwa ananificha ni kwamba alikuwa alikuwa akikopwa hela na huyo jamaa ila hakunishirikisha, mara walikutana sehemu hakunishirikisha ila hakuna linaloendelea baina yao zaidi ya kazi. Basi mm nikasema ngoja nirudi maana hazijabaki siku nyingi.

Mungu si Asumani, nimerudi nyumbani salama, amekuja kunipokea airport. Mambo yakaenda fresh. Baada ya siku mbili nikiwa nae, naona texts zikiingia anaficha simu. Nikagundua anajaribu kunificha kitu. Baadae nachukua simu yake kusoma text, nakuta amefuta texts zote. Kumuuliza anababaika. Nikambana aniambie ukweli, nikamuambia akiniambia ukweli nitamsamehe na tutaendelea na mapenzi yetu.

Hapo ndo akakiri kuwa alianzisha mahusiano na yule jamaa, wakafanya hadi mambo yao bila kinga hata, na akapata na ujauzito ikabidi autoe. Kuumuliza why amenifanyia hivyi vyote after all we have been thru. Anasema eti jamaa alikuwa anatumia force, anamtishia kuwa atamuharibia kwa bosi na atakosa kazi. Hivyo hakuwa na jinsi.

Inavyoonekana ni kwamba jamaa alifanikiwa kumteka na kucontrol akili yake, so akawa anamtumia. Akakiri kuwa jamaa alimpiga hadi picha ya uchi akawa anamtishia ataisambaza kazini kote. Kiukweli niliishiwa nguvu, sikutegemea kama angeweza kufanya yote hayo. Kutokana na kunipenda sana, na kuwa mtu wa imani, ilipelekea mm kumuamini sana hapo kabla. Japo moja ya udhaifu wake aliokuwa nao muda mrefu ni kuamini watu kirahisi na huruma iliyopitiliza. Yani hata kuibiwa kwake ilikuwa rahisi sana.
Sijui hata nifanye nini kwa sasa.

Cha kushangaza after yote hayo, bado ananililia nimsamehe tuendelee na process za ndoa yetu. Anadai yupo tayari kuacha kazi. Mimi nimemuambia bora aniache, ili ibaki kuwa siri, nisimuharibie status yake Ila bado anasumbua. Amelia njiani na kupiga goti barabarani kiasi cha kuzua mshangao kwa wapita njia eti anaomba nimsamehe.

Kila mtu anafahamu kuhusu mahusiano yetu. Nashindwa jinsi gani ni-deal na hii situation. Cha kushanganza yote hayo yametokea within 3 months only. Naombeni ushauri wenu wakuu. Do you think this woman deserves forgiveness? What about familia yake, niwaambie kilichotoea wanirudishie mahari yangu au nifanyeje? Asanteni.
Pole sana mkuu, skiliza mwanangu!!. Achana na mawazo ya watu humu kwamba muache muache muache,wengine haohao wamesha vurugwa sana nu na wapendwa wao na wamesamehe.

Stend still mwanangu piga piga kifua then samehe muendeleze ndotozenu.
Hawa wanao kuambia muache hawatakusaidia kutafuta mwingine umpendae kama huyo maana mbaka umekuja kulalamika humu then yupo moyoni mwako.

Bila shaka hata wewe umepiga ndondo za kutosha tu, kama ni mara ya kwanza samehe muendelee mbele.

Kumbuka watu hujifunza kutokana na makosa.
 
Kwanza mahusiano yenu yalianza kwa kukutongoza wewe,je una uhakika gani kama yeye ndo alijilengesha kwa huyo mshikaji ili apate kazi?
 
karma hajawahi acha kulipa kiporo yule wa mwanzo uliemuacha unafikiri ilikua vyema kiasi icho,uyo uamuzi ni wako pengine na marinda keshatatuliwa zamaniii we fanya uamuzi wako binafsi kama utaendelea nae uyo si muislamu utaoa na wengine watatu Inshaalah kupunguza machungu.
 
Maamuzi magumu yanahitajika aisee
 
Yaan Mtu Hujamkamata, ila mwenyewe anajielezea ??SMS umekuta kafuta , alikoswa cha kudanganya?? Kwann asingekudanganya , kisha akaacha kazi, kisha akaenda mshitaki Jama Polisi kimyakimya kuweka ulinzi wa Picha??

Achana naye, Muache kwa sababu HANA AKILI.

Hana akili hata kidogo ndio maana AMEKIRI KILA KITU.

Et mpaka akanipa mimba , tukaitoa?. Et akanipiga picha za Uchi ?.

KWASASA, MACHOZI YAKE NI KUHAKIKISHA UNAMWONDOLEA AIBU. KUPITIA NDOA ,WAKAT AMBAPO UTAKUA UMERUHUSU MAHARI YAKO ISIRUDI NA NDOA IFUNGWE.

MUACHE, HATA MAHAKAMANI, MWIZI MTUHUMIWA AKIRI KOSA ON THE SPOT, INAMRAHISISHIA JUDGE KUMPIGA NYUNDO ZA MAAAAAANA !!

Demu wako Hana akili Kabisaaa !!.
Una wanawake Wana tofautia wanawake wanaotokea dunia ya Corona kudanganya siyo tamaduni zao, uongo ni Tamaduni na desturi kwa baadhi ya jamii ususani wa Tanzania uongo kwao ni sehem ya ibada
 
Poleni na majumukumu.

Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.

Binti huyu ni yeye ndiye aliyenitafuta na kuonesha kuvutiwa na mimi. Hakuwa mrembo, ila alionekana ni mwenye imani ya dini sana na mpole. Wakati huo mimi nilikuwa playboy sina muda wala sikuwa in a relationship.

Siku tuliyokutana, mwaka 2015 nilimtembelea rafiki yangu katika mji mwingine wa nchi hiyo ndipo rafiki yangu akanitambulisha kwake. Alionekana kunichangamkia, uso wake ulijaa tabasamu alipoongea nami. Akamuaomba rafiki yangu aniachie namba yake ili tuwe tunawasiliana. Nilifanya hivyo, siku nasafiri kurudi kwangu, nikamtext kumuaga alifurahi akasave namba yangu.

Baada ya kufika kwangu, siku kadhaa mbeleni akaanza kunitafuta, akawa anaipigia simu hadi usiku, analazimisha tuongee masaa mengi, mm sikuwa mtu wa kuongea na simu masaa mengi. Basi ikaenda hivyo, ikafika siku akaniomba tuonane. Alitaka kunitumia nauli ya ndege nisafiri tuonane. Kutokana na ratiba zangu haikuwezekana. Zikapita siku, wiki, akaniambia anakuja kwenye mji wetu.

Kipindi hiko, mimi sikuwa na mpango nae, maana niliona kama hatuendani kwa sababu mimi nilikuwa bishoo tu, na yeye alionekana mtu mwenye kujiheshimu na aliyeshika imani ya dini ya kiislamu. Rafiki zangu, wakawa wananishawishi kuwa huyu mwanamke anakutaka, amefunga safari kwa ajili yako, malizana nae. Ukimuacha arudi kwao hivihivi utakuwa umekosea. Basi ikabidi tutoke dinner na mambo mengine yakaendelea. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu.

Kusema ukweli wa Mungu sikuwahi kupendwa before, kwa namna alivyonipenda huyu mwanamke. Alijitoa sana kwangu. Kila mtu alifahamu ni namna gani alinipenda. Mwanzo sikuwa na hisia nae lakini kutokana na upendo alionionesha, nikaona huruma kumuumiza. Ikabidi niachane na michepuko yote niingie kwenye serious relationship na yeye.

Baadhi ya watu walipiga vita mahusiano yetu. Walikuwa wakimuambia kuwa mimi nilikuwa namchezea tu, hatuendani. Ila hatukujali tukaendelea na mapenzi. Akawa ananiambia nimuoe sababu maisha ni yale yale na yupo tayari kuishi maisha yoyote na mimi. Japo mimi masikini lakini hajanipendea pesa. Tufunge ndoa tuishi kihalali. Basi kutokana na mapenzi yake, ikabidi nibadili mipango yangu sababu sikuwa nimewaza kuoa nikiwa chuo. Nikawapa taarifa wazazi wangu, mwanzoni walipinga ila baadae wakakubali. Nikamtambulisha nyumbani. Mimi sikuwahi kwenda kwao, ila nilikuwa najulikana.

Tukaanza process za uchumba, nikatoa mahari. Alifurahi sana. Mapenzi yalikuwa motomoto. Kila kitu kilienda sawa tukapanga kukirudi likizo nyumbani tufunge ndoa. Ila bahati mbaya au nzuri, dunia ikakumbwa na janga la covid19, mipaka ya nchi mbalimbali ikafungwa, hatukuweza kurudi likizo hivyo ikashindikana kutimiza azma yetu.

Tumedumu kwnye mahusano kwa zaidi ya miaka mitano. Mwaka jana, yeye alimaliza masomo yake, tukaagana. Mimi nilikuwa nimebakisha mwaka mmoja. Akarudi kwao, tukawa tunawasiliana, mapenzi yaliendelea, japo maisha yalibadilika financially sababu familia ziliathirika na janga la uviko. Mapenzi yaliendelea hadi hapo alipopata mchongo wa kazi.

Kuna siku alienda kugonga geti kwenye kampuni fulani, akaacha cv zake, akakutana na kijana mmoja muajiriwa wa hapo ambaye aliahidi kumsaidia kupata kazi. Alifurahi sana alinishirikisha vyote. Siku zikapita yule jamaa akamuambia arekebishe CV yake, akaniambia, mimi nikarekebisha kila kitu huku nikiwa na furaha japo nilikuwa na doubt. Sababu najua hakuna favour ya bure tu Dunia ya sasa. Nilimuonya mchumba wangu, nikamuambia awe makini. Ajaribu kuplay smart apate mchongo. Alinielewa basi michakato ya yeye kupata kazi ikaendelea.

Akaitwa kwenye interview, akapita na akapata kazi. Kipindi chote hiko alikuwa akinishirikisha kila kitu hadi conversations zake na huyo jamaa. Alimsifia kuwa ni mtu wa dini, na ni mwema sana. Baada ya muda kupita, akaanza kubadilika kuwa msiri. Akawa hainishirikishi tena mambo ya kazi. Akapunguza muda wa kunitafuta, nikimtafuta anasema yupo busy. Nikahisi kuna kitu kiaendelea baina yao. Nikawa kila nikimuuliza huwa anamtetea huyo mshkaji ma kusema ni mtu mwenye roho nzuri na amesaidia wengi. Basi tukawa tunagombana mara kwa mara, tunashuluhisha, anadai kazi zinabana, na mm sitaki kumuelewa. Ieleweke ameanza kazi miezi mitatu kabla ya mimi kurudi.

Basi kuna siku nikambana, akakiri kuwa alikuwa ananificha ni kwamba alikuwa alikuwa akikopwa hela na huyo jamaa ila hakunishirikisha, mara walikutana sehemu hakunishirikisha ila hakuna linaloendelea baina yao zaidi ya kazi. Basi mm nikasema ngoja nirudi maana hazijabaki siku nyingi.

Mungu si Asumani, nimerudi nyumbani salama, amekuja kunipokea airport. Mambo yakaenda fresh. Baada ya siku mbili nikiwa nae, naona texts zikiingia anaficha simu. Nikagundua anajaribu kunificha kitu. Baadae nachukua simu yake kusoma text, nakuta amefuta texts zote. Kumuuliza anababaika. Nikambana aniambie ukweli, nikamuambia akiniambia ukweli nitamsamehe na tutaendelea na mapenzi yetu.

Hapo ndo akakiri kuwa alianzisha mahusiano na yule jamaa, wakafanya hadi mambo yao bila kinga hata, na akapata na ujauzito ikabidi autoe. Kuumuliza why amenifanyia hivyi vyote after all we have been thru. Anasema eti jamaa alikuwa anatumia force, anamtishia kuwa atamuharibia kwa bosi na atakosa kazi. Hivyo hakuwa na jinsi.

Inavyoonekana ni kwamba jamaa alifanikiwa kumteka na kucontrol akili yake, so akawa anamtumia. Akakiri kuwa jamaa alimpiga hadi picha ya uchi akawa anamtishia ataisambaza kazini kote. Kiukweli niliishiwa nguvu, sikutegemea kama angeweza kufanya yote hayo. Kutokana na kunipenda sana, na kuwa mtu wa imani, ilipelekea mm kumuamini sana hapo kabla. Japo moja ya udhaifu wake aliokuwa nao muda mrefu ni kuamini watu kirahisi na huruma iliyopitiliza. Yani hata kuibiwa kwake ilikuwa rahisi sana.
Sijui hata nifanye nini kwa sasa.

Cha kushangaza after yote hayo, bado ananililia nimsamehe tuendelee na process za ndoa yetu. Anadai yupo tayari kuacha kazi. Mimi nimemuambia bora aniache, ili ibaki kuwa siri, nisimuharibie status yake Ila bado anasumbua. Amelia njiani na kupiga goti barabarani kiasi cha kuzua mshangao kwa wapita njia eti anaomba nimsamehe.

Kila mtu anafahamu kuhusu mahusiano yetu. Nashindwa jinsi gani ni-deal na hii situation. Cha kushanganza yote hayo yametokea within 3 months only. Naombeni ushauri wenu wakuu. Do you think this woman deserves forgiveness? What about familia yake, niwaambie kilichotoea wanirudishie mahari yangu au nifanyeje? Asanteni.
Yes she deserve,suluhisheni na muanze upya

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Piga chini huyo hakufai.Alikuwa na hisia na Jamaa wa kazini ndio Maana akampa bila ndomu.Tena na wewe ungeenda kula Sehemu unajua umeliwa.Asee yataka moyo asee
 
IMG_2534.jpg
 
Umeongea mengi ya msingi,lakini kama wewe ni Mwanamme Vaa uhusika wa mwenzetu huyo.Ki ukweli Mwanamke anayekupenda Kwa dhati hawezi kufanya Ujinga wa aina hiyo.Mwanamke msaliti ni Malaya tu,Tabia haina dawa,atamuoa ataliwa nje kama Mwanzoni kwenye uchumba.Matokeo Yake ni kuumizana tu.
Huyo ni kuachwa tu,Wanaume Huwa tunadanganyika Sana kirahisi na machozi ya Wanawake.Lakini ki ukweli Mwanamke chozi lake sio la kuliamini.
Yeye hajawahi kusaliti katika kipindi chote cha uchumba?
 
Wengi wamekushauri kile ambacho wewe mwenyewe unakisupport kupitia replies zako then It's a big YES,do what it's a rightful.
 
Mkuu pole sana kwa mkasa huo! Hata hivyo unapaswa kuwa makini na hizi comments zetu, kuna wetatoa mitazamo na ushauri wao kukuchochea tu uachane na huyo mwenzako sababu tu wana chuki binafs na wanawake kutokana na kuwahi kuumizwa nao!
binafsi sikushauri urudi nyuma, tambua wanawake ni viumbe nyaifu sana kujirahisisha kwa mwanaume pale wanokuwa wanahitaji kuvushwa!
Kuna watu sasa hivi ni MaDED. RAS, RCs, DCs, mawaziri au wabunge, lakini akifunulia leo njia ya maisha yake alikopita, amegawa na kusaliti kwingi mno!
Hivyo sio jambo la ajabu kabisa kwa huyo mtu wako! Kumbuka statement moja umeiandika katika paragraph flani hapo juu kwamba Katika dunia ya sasa Hakuna Favour ya bure!
Mpaka hapo tayari ulionyesha kuyatambua mazingira alikokuwa anapita huyo mkeo mtarajiwa! After all inaonyesha wazi kuwa mtu wako hakuwa mzoefu na mambo ya mapenzi, wala udanganyifu katika mapenzi, zaidi alikuwa mshamba wa aina flani hivi! Hii ndio sabababu alikamata mimba za bila kutegemea, siajabu hakujijua kama atashika mimba, vinginevyo asingekubali kabisa kwa mazingira mlokuwa nayo kuelekea kufunga ndoa! Vivyo ivyo ndio sababu alishindwa kukuchenga hata wewe na ukaweza kuyadaka mahusiano yake mapema kiasi hiko, Wapo wazowefu anaweza kukubania siri na akazaa hadi na mtoto katikati ya ndoa na usijuwe!
Kwa hivyo kwa vile ameshakiri makosa yake na amekuomba radhi nakusihi msamehe tu na muendelee mbele kuna watu wanaweza kukuona mjinga lakini hakuna mwanamke atakuja kukupenda na kukuheshimu kama huyo!
Hebu jiulize hivi kwa mfano ukimuacha huyo alafu ukapata mwanamke mwingine ambaye tayari ana kazi lakini alipata kazi hiyo kwa njia hiyohiyo ya kuhonga mapenzi na hata kutoa ujauzito wa boss wake , mbona itakuwa ni yaleyale? nakusihi muowe huyo ndiye wa ubavu wako!
 
Mkuu pole sana kwa mkasa huo! Hata hivyo unapaswa kuwa makini na hizi comments zetu, kuna wetatoa mitazamo na ushauri wao kukuchochea tu uachane na huyo mwenzako sababu tu wana chuki binafs na wanawake kutokana na kuwahi kuumizwa nao!
binafsi sikushauri urudi nyuma, tambua wanawake ni viumbe nyaifu sana kujirahisisha kwa mwanaume pale wanokuwa wanahitaji kuvushwa!
Kuna watu sasa hivi ni MaDED. RAS, RCs, DCs, mawaziri au wabunge, lakini akifunulia leo njia ya maisha yake alikopita, amegawa na kusaliti kwingi mno!
Hivyo sio jambo la ajabu kabisa kwa huyo mtu wako! Kumbuka statement moja umeiandika katika paragraph flani hapo juu kwamba Katika ya sasa Hakuna Favour ya bure!
Mpaka hapo tayari ulionyesha kuyatambua mazingira alikokuwa anapita huyo mkeo mtarajiwa! After all inaonyesha wazi kuwa mtu wako hakuwa mzoefu na mambo ya mapenzi, wala udanganyifu katika mapenzi, zaidi alikuwa mshamba wa aina flani hivi! Hii ndio sabababu alikamata mimba za bila kutegemea, siajabu hakujijua kama atashika mimba, vinginevyo asingekubali kabisa kwa mazingira mlokuwa nayo kuelekea kufunga ndoa! Vivyo ivyo ndio sababu alishindwa kukuchenga hata wewe na ukaweza kuyadaka mahusiano yake mapema kiasi hiko, Wapo wazowefu anaweza kukubania siri na akazaa hadi na mtoto katikati ya ndoa na usijuwe!
Kwa hivyo kwa vile ameshakiri makosa yake na amekuomba radhi nakusihi msamehe tu na muendelee mbele kuna watu wanaweza kukuona mjinga lakini hakuna mwanamke atakuja kukupenda na kukuheshimu kama huyo!
Hebu jiulize hivi kwa mfano ukimuacha huyo alafu ukapata mwanamke mwingine ambaye tayari ana kazi lakini alipata kazi hiyo kwa njia hiyohiyo ya kuhonga mapenzi na hata kutoa ujauzito wa boss wake , mbona itakuwa ni yaleyale? nakusihi muowe huyo ndiye wa ubavu wako!
We muadilifu mdhulumiwa ni mjinga lakin umeongea vitu vizuri kama nimekuelewa hivi.ila huyu mwanamke amekosea sana.anstahili kuachwa.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
We muadilifu mdhulumiwa ni mjinga lakin umeongea vitu vizuri kama nimekuelewa hivi.ila huyu mwanamke amekosea sana.anstahili kuachwa.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe Je parle kama nimeongea vitu vizuri ujinga wangu ukoa wapi!? Mie nimejaribu kumpanua mawazo maana wanaume wengi tunaotosa wanawake kwasababu za usaliti huwa tanajikuta tunaoa wasaliti zaidi kuliko hata yule ulomuacha ila tu unakuwa hujui historia yake!
 
Sasa wewe Je parle kama nimeongea vitu vizuri ujinga wangu ukoa wapi!? Mie nimejaribu kumpanua mawazo maana wanaume wengi tunaotosa wanawake kwasababu za usaliti huwa tanajikuta tunaoa wasaliti zaidi kuliko hata yule ulomuacha ila tu unakuwa hujui historia yake!
Hapo nimekusifia mzee sijamaanisha mjinga hiyo unayodhani ww

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom