Kunguru hafugiki achana naye huyo hafaiPoleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunguru hafugiki achana naye huyo hafaiPoleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano...
Dah aisee ni ngumu Sana kumrudia Mwanamke msaliti.AseeHicho kipengele cha mimba ndicho kidonge kichungu zaidi kumeza.
Hebu jaribu kuwaza mwanamke wako ambaye wewe unampa hadhi ya umalikia na cheo cha umakamo akitoka mama yako anaamua kwa utashi wake, kuanza mazoea na mwanaume mwingine tena kwa usiri. Anakubali kuwa karibu nae...
🤣🤣🤣🤣 alooohPole sana, hayanaga muongozo...
😎😎🤣🤣🤣🤣 aloooh
Mle shoo kwanza zile za kibaharia kisha piga chini, ushahidi wa voicenote akikiri hilo la kuliwa papuchi usisahau, huyo ni aina ya mademu wanaoliwa na wengi maisha yao yote. Kuwa mrahisi hasa kuwaamini watu haraka sana na huruma iliopitiliza, huruma ni umalaya usiokikomo na imani ni kukosa selfu defense-thinking na decisions.Poleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
Binti huyu ni yeye ndiye aliyenitafuta na kuonesha kuvutiwa na mimi. Hakuwa mrembo, ila alionekana ni mwenye imani ya dini sana na mpole. Wakati huo mimi nilikuwa playboy sina muda wala sikuwa in a relationship.
Siku tuliyokutana, mwaka 2015 nilimtembelea rafiki yangu katika mji mwingine wa nchi hiyo ndipo rafiki yangu akanitambulisha kwake. Alionekana kunichangamkia, uso wake ulijaa tabasamu alipoongea nami. Akamuaomba rafiki yangu aniachie namba yake ili tuwe tunawasiliana. Nilifanya hivyo, siku nasafiri kurudi kwangu, nikamtext kumuaga alifurahi akasave namba yangu.
Baada ya kufika kwangu, siku kadhaa mbeleni akaanza kunitafuta, akawa anaipigia simu hadi usiku, analazimisha tuongee masaa mengi, mm sikuwa mtu wa kuongea na simu masaa mengi. Basi ikaenda hivyo, ikafika siku akaniomba tuonane. Alitaka kunitumia nauli ya ndege nisafiri tuonane. Kutokana na ratiba zangu haikuwezekana. Zikapita siku, wiki, akaniambia anakuja kwenye mji wetu.
Kipindi hiko, mimi sikuwa na mpango nae, maana niliona kama hatuendani kwa sababu mimi nilikuwa bishoo tu, na yeye alionekana mtu mwenye kujiheshimu na aliyeshika imani ya dini ya kiislamu. Rafiki zangu, wakawa wananishawishi kuwa huyu mwanamke anakutaka, amefunga safari kwa ajili yako, malizana nae. Ukimuacha arudi kwao hivihivi utakuwa umekosea. Basi ikabidi tutoke dinner na mambo mengine yakaendelea. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu.
Kusema ukweli wa Mungu sikuwahi kupendwa before, kwa namna alivyonipenda huyu mwanamke. Alijitoa sana kwangu. Kila mtu alifahamu ni namna gani alinipenda. Mwanzo sikuwa na hisia nae lakini kutokana na upendo alionionesha, nikaona huruma kumuumiza. Ikabidi niachane na michepuko yote niingie kwenye serious relationship na yeye.
Baadhi ya watu walipiga vita mahusiano yetu. Walikuwa wakimuambia kuwa mimi nilikuwa namchezea tu, hatuendani. Ila hatukujali tukaendelea na mapenzi. Akawa ananiambia nimuoe sababu maisha ni yale yale na yupo tayari kuishi maisha yoyote na mimi. Japo mimi masikini lakini hajanipendea pesa. Tufunge ndoa tuishi kihalali. Basi kutokana na mapenzi yake, ikabidi nibadili mipango yangu sababu sikuwa nimewaza kuoa nikiwa chuo. Nikawapa taarifa wazazi wangu, mwanzoni walipinga ila baadae wakakubali. Nikamtambulisha nyumbani. Mimi sikuwahi kwenda kwao, ila nilikuwa najulikana.
Tukaanza process za uchumba, nikatoa mahari. Alifurahi sana. Mapenzi yalikuwa motomoto. Kila kitu kilienda sawa tukapanga kukirudi likizo nyumbani tufunge ndoa. Ila bahati mbaya au nzuri, dunia ikakumbwa na janga la covid19, mipaka ya nchi mbalimbali ikafungwa, hatukuweza kurudi likizo hivyo ikashindikana kutimiza azma yetu.
Tumedumu kwnye mahusano kwa zaidi ya miaka mitano. Mwaka jana, yeye alimaliza masomo yake, tukaagana. Mimi nilikuwa nimebakisha mwaka mmoja. Akarudi kwao, tukawa tunawasiliana, mapenzi yaliendelea, japo maisha yalibadilika financially sababu familia ziliathirika na janga la uviko. Mapenzi yaliendelea hadi hapo alipopata mchongo wa kazi.
Kuna siku alienda kugonga geti kwenye kampuni fulani, akaacha cv zake, akakutana na kijana mmoja muajiriwa wa hapo ambaye aliahidi kumsaidia kupata kazi. Alifurahi sana alinishirikisha vyote. Siku zikapita yule jamaa akamuambia arekebishe CV yake, akaniambia, mimi nikarekebisha kila kitu huku nikiwa na furaha japo nilikuwa na doubt. Sababu najua hakuna favour ya bure tu Dunia ya sasa. Nilimuonya mchumba wangu, nikamuambia awe makini. Ajaribu kuplay smart apate mchongo. Alinielewa basi michakato ya yeye kupata kazi ikaendelea.
Akaitwa kwenye interview, akapita na akapata kazi. Kipindi chote hiko alikuwa akinishirikisha kila kitu hadi conversations zake na huyo jamaa. Alimsifia kuwa ni mtu wa dini, na ni mwema sana. Baada ya muda kupita, akaanza kubadilika kuwa msiri. Akawa hainishirikishi tena mambo ya kazi. Akapunguza muda wa kunitafuta, nikimtafuta anasema yupo busy. Nikahisi kuna kitu kiaendelea baina yao. Nikawa kila nikimuuliza huwa anamtetea huyo mshkaji ma kusema ni mtu mwenye roho nzuri na amesaidia wengi. Basi tukawa tunagombana mara kwa mara, tunashuluhisha, anadai kazi zinabana, na mm sitaki kumuelewa. Ieleweke ameanza kazi miezi mitatu kabla ya mimi kurudi.
Basi kuna siku nikambana, akakiri kuwa alikuwa ananificha ni kwamba alikuwa alikuwa akikopwa hela na huyo jamaa ila hakunishirikisha, mara walikutana sehemu hakunishirikisha ila hakuna linaloendelea baina yao zaidi ya kazi. Basi mm nikasema ngoja nirudi maana hazijabaki siku nyingi.
Mungu si Asumani, nimerudi nyumbani salama, amekuja kunipokea airport. Mambo yakaenda fresh. Baada ya siku mbili nikiwa nae, naona texts zikiingia anaficha simu. Nikagundua anajaribu kunificha kitu. Baadae nachukua simu yake kusoma text, nakuta amefuta texts zote. Kumuuliza anababaika. Nikambana aniambie ukweli, nikamuambia akiniambia ukweli nitamsamehe na tutaendelea na mapenzi yetu.
Hapo ndo akakiri kuwa alianzisha mahusiano na yule jamaa, wakafanya hadi mambo yao bila kinga hata, na akapata na ujauzito ikabidi autoe. Kuumuliza why amenifanyia hivyi vyote after all we have been thru. Anasema eti jamaa alikuwa anatumia force, anamtishia kuwa atamuharibia kwa bosi na atakosa kazi. Hivyo hakuwa na jinsi.
Inavyoonekana ni kwamba jamaa alifanikiwa kumteka na kucontrol akili yake, so akawa anamtumia. Akakiri kuwa jamaa alimpiga hadi picha ya uchi akawa anamtishia ataisambaza kazini kote. Kiukweli niliishiwa nguvu, sikutegemea kama angeweza kufanya yote hayo. Kutokana na kunipenda sana, na kuwa mtu wa imani, ilipelekea mm kumuamini sana hapo kabla. Japo moja ya udhaifu wake aliokuwa nao muda mrefu ni kuamini watu kirahisi na huruma iliyopitiliza. Yani hata kuibiwa kwake ilikuwa rahisi sana.
Sijui hata nifanye nini kwa sasa.
Cha kushangaza after yote hayo, bado ananililia nimsamehe tuendelee na process za ndoa yetu. Anadai yupo tayari kuacha kazi. Mimi nimemuambia bora aniache, ili ibaki kuwa siri, nisimuharibie status yake Ila bado anasumbua. Amelia njiani na kupiga goti barabarani kiasi cha kuzua mshangao kwa wapita njia eti anaomba nimsamehe.
Kila mtu anafahamu kuhusu mahusiano yetu. Nashindwa jinsi gani ni-deal na hii situation. Cha kushanganza yote hayo yametokea within 3 months only. Naombeni ushauri wenu wakuu. Do you think this woman deserves forgiveness? What about familia yake, niwaambie kilichotoea wanirudishie mahari yangu au nifanyeje? Asanteni.
Poleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
Binti huyu ni yeye ndiye aliyenitafuta na kuonesha kuvutiwa na mimi. Hakuwa mrembo, ila alionekana ni mwenye imani ya dini sana na mpole. Wakati huo mimi nilikuwa playboy sina muda wala sikuwa in a relationship.
Siku tuliyokutana, mwaka 2015 nilimtembelea rafiki yangu katika mji mwingine wa nchi hiyo ndipo rafiki yangu akanitambulisha kwake. Alionekana kunichangamkia, uso wake ulijaa tabasamu alipoongea nami. Akamuaomba rafiki yangu aniachie namba yake ili tuwe tunawasiliana. Nilifanya hivyo, siku nasafiri kurudi kwangu, nikamtext kumuaga alifurahi akasave namba yangu.
Baada ya kufika kwangu, siku kadhaa mbeleni akaanza kunitafuta, akawa anaipigia simu hadi usiku, analazimisha tuongee masaa mengi, mm sikuwa mtu wa kuongea na simu masaa mengi. Basi ikaenda hivyo, ikafika siku akaniomba tuonane. Alitaka kunitumia nauli ya ndege nisafiri tuonane. Kutokana na ratiba zangu haikuwezekana. Zikapita siku, wiki, akaniambia anakuja kwenye mji wetu.
Kipindi hiko, mimi sikuwa na mpango nae, maana niliona kama hatuendani kwa sababu mimi nilikuwa bishoo tu, na yeye alionekana mtu mwenye kujiheshimu na aliyeshika imani ya dini ya kiislamu. Rafiki zangu, wakawa wananishawishi kuwa huyu mwanamke anakutaka, amefunga safari kwa ajili yako, malizana nae. Ukimuacha arudi kwao hivihivi utakuwa umekosea. Basi ikabidi tutoke dinner na mambo mengine yakaendelea. Hapo ndo ulikuwa mwanzo wa mahusiano yetu.
Kusema ukweli wa Mungu sikuwahi kupendwa before, kwa namna alivyonipenda huyu mwanamke. Alijitoa sana kwangu. Kila mtu alifahamu ni namna gani alinipenda. Mwanzo sikuwa na hisia nae lakini kutokana na upendo alionionesha, nikaona huruma kumuumiza. Ikabidi niachane na michepuko yote niingie kwenye serious relationship na yeye.
Baadhi ya watu walipiga vita mahusiano yetu. Walikuwa wakimuambia kuwa mimi nilikuwa namchezea tu, hatuendani. Ila hatukujali tukaendelea na mapenzi. Akawa ananiambia nimuoe sababu maisha ni yale yale na yupo tayari kuishi maisha yoyote na mimi. Japo mimi masikini lakini hajanipendea pesa. Tufunge ndoa tuishi kihalali. Basi kutokana na mapenzi yake, ikabidi nibadili mipango yangu sababu sikuwa nimewaza kuoa nikiwa chuo. Nikawapa taarifa wazazi wangu, mwanzoni walipinga ila baadae wakakubali. Nikamtambulisha nyumbani. Mimi sikuwahi kwenda kwao, ila nilikuwa najulikana.
Tukaanza process za uchumba, nikatoa mahari. Alifurahi sana. Mapenzi yalikuwa motomoto. Kila kitu kilienda sawa tukapanga kukirudi likizo nyumbani tufunge ndoa. Ila bahati mbaya au nzuri, dunia ikakumbwa na janga la covid19, mipaka ya nchi mbalimbali ikafungwa, hatukuweza kurudi likizo hivyo ikashindikana kutimiza azma yetu.
Tumedumu kwnye mahusano kwa zaidi ya miaka mitano. Mwaka jana, yeye alimaliza masomo yake, tukaagana. Mimi nilikuwa nimebakisha mwaka mmoja. Akarudi kwao, tukawa tunawasiliana, mapenzi yaliendelea, japo maisha yalibadilika financially sababu familia ziliathirika na janga la uviko. Mapenzi yaliendelea hadi hapo alipopata mchongo wa kazi.
Kuna siku alienda kugonga geti kwenye kampuni fulani, akaacha cv zake, akakutana na kijana mmoja muajiriwa wa hapo ambaye aliahidi kumsaidia kupata kazi. Alifurahi sana alinishirikisha vyote. Siku zikapita yule jamaa akamuambia arekebishe CV yake, akaniambia, mimi nikarekebisha kila kitu huku nikiwa na furaha japo nilikuwa na doubt. Sababu najua hakuna favour ya bure tu Dunia ya sasa. Nilimuonya mchumba wangu, nikamuambia awe makini. Ajaribu kuplay smart apate mchongo. Alinielewa basi michakato ya yeye kupata kazi ikaendelea.
Akaitwa kwenye interview, akapita na akapata kazi. Kipindi chote hiko alikuwa akinishirikisha kila kitu hadi conversations zake na huyo jamaa. Alimsifia kuwa ni mtu wa dini, na ni mwema sana. Baada ya muda kupita, akaanza kubadilika kuwa msiri. Akawa hainishirikishi tena mambo ya kazi. Akapunguza muda wa kunitafuta, nikimtafuta anasema yupo busy. Nikahisi kuna kitu kiaendelea baina yao. Nikawa kila nikimuuliza huwa anamtetea huyo mshkaji ma kusema ni mtu mwenye roho nzuri na amesaidia wengi. Basi tukawa tunagombana mara kwa mara, tunashuluhisha, anadai kazi zinabana, na mm sitaki kumuelewa. Ieleweke ameanza kazi miezi mitatu kabla ya mimi kurudi.
Basi kuna siku nikambana, akakiri kuwa alikuwa ananificha ni kwamba alikuwa alikuwa akikopwa hela na huyo jamaa ila hakunishirikisha, mara walikutana sehemu hakunishirikisha ila hakuna linaloendelea baina yao zaidi ya kazi. Basi mm nikasema ngoja nirudi maana hazijabaki siku nyingi.
Mungu si Asumani, nimerudi nyumbani salama, amekuja kunipokea airport. Mambo yakaenda fresh. Baada ya siku mbili nikiwa nae, naona texts zikiingia anaficha simu. Nikagundua anajaribu kunificha kitu. Baadae nachukua simu yake kusoma text, nakuta amefuta texts zote. Kumuuliza anababaika. Nikambana aniambie ukweli, nikamuambia akiniambia ukweli nitamsamehe na tutaendelea na mapenzi yetu.
Hapo ndo akakiri kuwa alianzisha mahusiano na yule jamaa, wakafanya hadi mambo yao bila kinga hata, na akapata na ujauzito ikabidi autoe. Kuumuliza why amenifanyia hivyi vyote after all we have been thru. Anasema eti jamaa alikuwa anatumia force, anamtishia kuwa atamuharibia kwa bosi na atakosa kazi. Hivyo hakuwa na jinsi.
Inavyoonekana ni kwamba jamaa alifanikiwa kumteka na kucontrol akili yake, so akawa anamtumia. Akakiri kuwa jamaa alimpiga hadi picha ya uchi akawa anamtishia ataisambaza kazini kote. Kiukweli niliishiwa nguvu, sikutegemea kama angeweza kufanya yote hayo. Kutokana na kunipenda sana, na kuwa mtu wa imani, ilipelekea mm kumuamini sana hapo kabla. Japo moja ya udhaifu wake aliokuwa nao muda mrefu ni kuamini watu kirahisi na huruma iliyopitiliza. Yani hata kuibiwa kwake ilikuwa rahisi sana.
Sijui hata nifanye nini kwa sasa.
Cha kushangaza after yote hayo, bado ananililia nimsamehe tuendelee na process za ndoa yetu. Anadai yupo tayari kuacha kazi. Mimi nimemuambia bora aniache, ili ibaki kuwa siri, nisimuharibie status yake Ila bado anasumbua. Amelia njiani na kupiga goti barabarani kiasi cha kuzua mshangao kwa wapita njia eti anaomba nimsamehe.
Kila mtu anafahamu kuhusu mahusiano yetu. Nashindwa jinsi gani ni-deal na hii situation. Cha kushanganza yote hayo yametokea within 3 months only. Naombeni ushauri wenu wakuu. Do you think this woman deserves forgiveness? What about familia yake, niwaambie kilichotoea wanirudishie mahari yangu au nifanyeje? Asanteni.
Bro Kuna kitabu nilisomaga ndani ya hicho kitabu kuna mahali kulikua na jamaa anampa ushauri aliyefunga ndoa na nukuu tu "Shida haipo kwenye kuipanda/kuikwea nguzo ya chuma iliyopakwa mafuta,shida ipo kwenye kuendelea kuwa juu kileleni kwa wakati wote wa mahusiano,Kupanda nguzo ni mara moja ila kwenye kuendelea kuwa juu kileleni ni swala jingine"
Hivyo Basi nakupa ushauri kwa namna ya kuuliza majibu utakayo pata utajua nini cha kufanya.
Ndani Kabisa ya moyo wako kuna mapenzi/upendo umebakia?
Je kama wewe ungekua kwenye situation yake ungeweza resist vishawishi ?
Sababu ya yeye kufanya hayo kusaliti ni nini?
Je, katika mahusiano yenu ya miaka mitano haujawahi kusaliti ?
Kuanzisha mahusiano na kumrekebisha huyo uliye naye toka kitambo ambaye nadhani mengi mliyajenga pamoja na mli plan?
Je, anaonyesha kujutia kitendo chake?
Je, anaweza akarudia tena alichokifanya kwenye future?
Mwisho
nataka nikwambie kuanzisha mahusiano mngine sio kitu kigumu lakini hautapata amani hata kwnye mahusiano mapya utakayo anza,Waswahili wanasema uking'atwa na nyoka hata ukiona jani unastuka,dhambi ya usaliti ya huyo mwanamke itakuathiri hata kwnye mahusiano mengine.Unaweza ukaamua kumpa physiological torture ambayo akiweza kuivumilia utaendelea nae.
But rafiki yangu wewe ndo unayemjua huyo mwanamke kuliko mtu mwingine sisi niwashauri tu!Mwisho wasiku wewe ndo ulikua nae!Pengine aliteleza na atajifunza na anaweza kuwa bora sana kuliko ukianza na mwingine ambae anaweza rudia hicho hicho .Mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe,wewe unamjua zaidi kuliko mwingine yoyote fanya maamuzi kwa busara ila kumbuka wewe unaweza mtengeneza akawa bora
Umeongea mengi ya msingi,lakini kama wewe ni Mwanamme Vaa uhusika wa mwenzetu huyo.Ki ukweli Mwanamke anayekupenda Kwa dhati hawezi kufanya Ujinga wa aina hiyo.Mwanamke msaliti ni Malaya tu,Tabia haina dawa,atamuoa ataliwa nje kama Mwanzoni kwenye uchumba.Matokeo Yake ni kuumizana tu.Bro Kuna kitabu nilisomaga ndani ya hicho kitabu kuna mahali kulikua na jamaa anampa ushauri aliyefunga ndoa na nukuu tu "Shida haipo kwenye kuipanda/kuikwea nguzo ya chuma iliyopakwa mafuta,shida ipo kwenye kuendelea kuwa juu kileleni kwa wakati wote wa mahusiano,Kupanda nguzo ni mara moja ila kwenye kuendelea kuwa juu kileleni ni swala jingine"
Hivyo Basi nakupa ushauri kwa namna ya kuuliza majibu utakayo pata utajua nini cha kufanya.
Ndani Kabisa ya moyo wako kuna mapenzi/upendo umebakia?
Je kama wewe ungekua kwenye situation yake ungeweza resist vishawishi ?
Sababu ya yeye kufanya hayo kusaliti ni nini?
Je, katika mahusiano yenu ya miaka mitano haujawahi kusaliti ?
Kuanzisha mahusiano na kumrekebisha huyo uliye naye toka kitambo ambaye nadhani mengi mliyajenga pamoja na mli plan?
Je, anaonyesha kujutia kitendo chake?
Je, anaweza akarudia tena alichokifanya kwenye future?
Mwisho
nataka nikwambie kuanzisha mahusiano mngine sio kitu kigumu lakini hautapata amani hata kwnye mahusiano mapya utakayo anza,Waswahili wanasema uking'atwa na nyoka hata ukiona jani unastuka,dhambi ya usaliti ya huyo mwanamke itakuathiri hata kwnye mahusiano mengine.Unaweza ukaamua kumpa physiological torture ambayo akiweza kuivumilia utaendelea nae.
But rafiki yangu wewe ndo unayemjua huyo mwanamke kuliko mtu mwingine sisi niwashauri tu!Mwisho wasiku wewe ndo ulikua nae!Pengine aliteleza na atajifunza na anaweza kuwa bora sana kuliko ukianza na mwingine ambae anaweza rudia hicho hicho .Mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe,wewe unamjua zaidi kuliko mwingine yoyote fanya maamuzi kwa busara ila kumbuka wewe unaweza mtengeneza akawa bora
Utamuua ndugu yetu huyu kwa preshaHicho kipengele cha mimba ndicho kidonge kichungu zaidi kumeza.
Hebu jaribu kuwaza mwanamke wako ambaye wewe unampa hadhi ya umalikia na cheo cha umakamo akitoka mama yako anaamua kwa utashi wake, kuanza mazoea na mwanaume mwingine tena kwa usiri. Anakubali kuwa karibu nae. Anakubali kupokea maneno ya ushawishi ya jamaa. Anaridhia kushawishika na anashawishika kwa maana kukubali jamaa aingie kwenye milango yake ya fahamu na kuanza kuwa na umuhimu.
Anakubali kutongozwa na jamaa na kumpa nafasi. Anakubali jamaa kumtengenezea mazingira ya kwenda kumla na yeye akijua anakubali kuyaingia. Anapanga nae miadi, anakubali kwenda location jamaa anayompa kuwa wakutane.
Anafika, akijua wazi hiyo siku anakwenda kuliwa na hiki kitendo ni haramu kwa mahusiano yake na nafsi yake ila anakubali kuendelea.
Jamaa anamsogelea na kuanza kumpapasa, demu anajifanya kuzuga kama hataki huku anakubali kushikwa na kulainika. Taratibu anaanza kumuachia jamaa amfanye anachotaka na mwisho wake ana surrender mwili kwa jamaa afanye yoyote kumpa raha.
Jamaa anaanza kujinafasi. Anamgeuza anavyotaka..... (Mwanamke wako huyo ndugu) anamlamba mwili, ana nyonya chuchu na shingo. Anaanza kumla mate kwa ugwadu na kupitisha ulimi wake ndani na nje ya midomo ya mwanamke wako.
Mwanamke wako anaanza mvua jamaa suruali na boksa akiitafuta ile kitu. Jamaa anaanza vuta chupi binti ananyanyuka kupa access ya kuitoa..... Ikibidi anamalizia mwenyewe kuitoa.
Jamaa anaendelea kuipapasa. Ikiwa tayari anaiingiza yote na mwanamke wako anamtazama jamaa usoni kwa macho ya huba na utamu. Jamaa anaanza kuingiza na kuitoa huku mwanamke wako akisikilizia utamu. Zoezi linaendelea huku mwanamke wako akitoa milio ya mahaba na kutii amri ya kila mkao jamaa anaomuweka ili mradi tu asiache kuendelea kumpa dushe kule kwake. Jamaa anapeleka moto mikao tofauti huku wakibadilishana mate kila dakika na kuangaliana machoni kwa mahaba na ugwadu wa hali ua juu wakitweta na jasho la mahaba likiwalowanisha mbwa hawa.
Wanakwenda sambamba hadi mwanamke wako anafika kileleni na kupiga ukelele huku akimkumbatia jamaa kwa nguvu sana wakati jamaa akiendelea kumwaga uno. Dakika chache baadae mwanamke wako akianza kupata speed tena ya kufika juu jamaa na yeye anamjulisha kuwa linakuja, wanaambiana kwa sauti ya mahaba kuwa wamwage pamoja na kazi inaanza kupanda kilima kwa pamoja. Mwanamke wako kwa utamu anapiga ukelele wa raha na jamaa wakati huo huo kwa migurumo kama simba na ushuzi juu anaachia kojo ndani ya mkeo fyaaaaaaaaaaaaaaaaaaah mkeo anajibu Yeeeeeeeeeeeeeeeeeees beeeeeeib......
Na kumzawadia bonge la deep kiss. Kisha puuuuuh wanajitupa kitandani kisha demu wako anamlalia kifuani na kumtazama yale macho ya umeniweza. Kisha wanapumzika na baadae wanakwenda bafuni kuoga pamoja. Then huko kuna mengine kama haya watafanya naomba nisikuumize zaidi kukupa details zake tuishie hapa.
Sasa jiulize halafu huyu mwanamke anakuja kwako baada ya kumbaini anakwambia ooooh nililazimishwa, ooooh alinitishia sijui nini na nini. Sasa hebu wazia namna utakuwa popoma kumkubalia au kumuelewa huyu mtu na namna atakuona mjinga kwake na kukutafutia tukio kubwa zaidi ya hilo.
Haya makitu usikie tu ila usifanyiwe unaweza tia mtu panga bila kujua