Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sijamaliza kusoma ila pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna upendo hapo mkuu. Upendo na usaliti wapi na wapi?Duniani huwezi kumpata aliyekamilika hayo ndio madhaifu yake. Ishi naye tu mkuu kumpata mwanamke anayekupenda kama huyo ni nadra. Jaribu tu kuwa naye karibu atajiheshimu.
Uko sahihi mkuu, lakini shida kubwa ni muda mchache waliokuwa hawapo pamoja( miezi3) ,Mkuu pole sana kwa mkasa huo! Hata hivyo unapaswa kuwa makini na hizi comments zetu, kuna wetatoa mitazamo na ushauri wao kukuchochea tu uachane na huyo mwenzako sababu tu wana chuki binafs na wanawake kutokana na kuwahi kuumizwa nao!
binafsi sikushauri urudi nyuma, tambua wanawake ni viumbe nyaifu sana kujirahisisha kwa mwanaume pale wanokuwa wanahitaji kuvushwa!
Hahaha . Umenikumbusha mmoja namtafuta na mm sasa amepata kazi sijui ugonvi umeanzia wapi????Kuna rafiki yangu wakati nipo kibaruani kila wikiendi namchukua tunaenda kutembea .siku hizi yeye kapata kibarua Mimi sina ananiambia yupo bize[emoji16][emoji16][emoji16].kazi zinabana simu jumapili Hadi jumapili.
vumilia ndo ukubwa huo.
Ila achana nae anza upya
Kama ni kweli nakushauri umuache tena hafai hugo. Wanawake wapo wengi sana ndugu yangu. Wapo wa kila aina kuliko ukae na mtu usiyejielewa ukaishia kwenda jela bora umuache akaenda zakePoleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sheikh achana na huyo mwanamke
Duuuh, pole broo, ila kuwa makini coz watu wa pole na wenye huruma huwa hawanaga maamuzi, naogopa kama huyo jamaa alimpigia picha za uchi usikute Kesha liwa mpaka 0713,maana ndiyo mchezo wa mjini ck hzPoleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
Kama angelikuwa tayari kuacha kazi kwaajili yako, asingeligawa uchi ili aipate kazi na kukupotezea pindi ukiwa masomoni.Poleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
Endelea na mambo yako utakuja nishukuru baadaePoleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.