Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nasubiriNitakuja na simulizi ya baba mwenye nyumba yangu bythen aliyetapeliwa hizi mambo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna ile hadithi fupi ya mchina na ununuzi wa mbwa kwa wanakijiji.
Kwakuwa wachina inaaminika ni walaji wazuri wa mbwa,aliaminika kama muwekezaji kweli anakusanya mbwa kwa ajili ya kusafirisha kwenda kwao china.
Akatangaza kwa wanakijiji ananunua mbwa kwa 25000 kila mmoja,watu wakatafuta sana mbwa,walipoanza kuadimika huku wote akiwakusanya akapandisha bei mpaka 50000,watu wakaenda mpaka vijiji jirani kutafuta mbwa,wakawaleta.akawapa hiyo hela.aliposikia kwamba mbwa wameadimika mpaka vijiji jirani,hapa ndipo wanakijiji walipigwa sasa.
Aliondoka na kwenda kijiji cha mbali kabisa wasikomfahamu akaweka mawakala wake kisha akawakabidhi wale mbwa,kisha akarudi kijijini na kutangaza"sasa ananunua kila mbwa mmoja laki mbili.lakini kwanza anapeleka waliopo kwao china.wafamye kukusanya mbwa akija ni mwendo wa laki mbili mbli kwa kila [emoji240].
Wanakijiji walizurula kama mbwa kutafuta mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].wakafika mpaka kwa mawakala waleeee wa mchina,na kununua wale mbwa kwa mpaka laki sabini 170000,lakini waliporudi kumsubiri mchina,walimsubiri kweli kweli hakutokea.
NOTE:hizi biashara za aina hiyo,sarafu,mercury,birika,.ni kweli zipo.
Ila wajanja wachache wenye akili nyingi wametumia fulsa,mpaka kuweka na wanamazingaombwe huko kucheza na akili za mteja,ila matokeo yake siku zote huwa ni hasi kiuchumi.
Channel gani?Ungekuwa karibu ningekufanyia interview katika kipindi changu cha simulizi za maisha. YouTube
Hii stori ni nzuri mno.
ya rangi au maziwa?Hii chai
😂😂😂😂
Usisahau kuni tag kaka mkubwaNitakuja na simulizi ya baba mwenye nyumba yangu bythen aliyetapeliwa hizi mambo
Maarifa gani? Mbona wewe umeandika "Wanahangamia" au na wewe umekosa maarifa na je umehangamia!!!![emoji2][emoji2]
Sijajua tatizo linakuwa wapi kwa hao madogo. Yupo dogo mmoja naye hivo hivo kila neno la A anaweka H.[emoji23] kuna dogo huwa namwambia abadili kuandika H katika neno ambalo halipo katika kutamka ila imeshindikana
Kwa mfano Halikwenda, kila neno linapoanzia na A yeye lazima aweke H
Subiri usiku kukiwa kumetuliaTuletee mkuu itutoe ushamba
Alisikika mzee mmoja mwenye mamviElimu elimu elimu
Hiyo ni nyeupe ya kiwandani ni kitu cha kawaida,chupa ya dawa ya sindano 2.5kgNilishawahi simuliwa story kama yako namna kupata Mercury na jamaa mmoja wa huko handeni Tanga inawezekana Kuna kaukweli fulani. Kama Mercury inasaidia katika mchakato wa kupata dhahabu pure wenda Kuna ukweli mana vyote hivi vinapatikana kwa nguvu ya giza.