Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Nilikua natafuta comment yako mkuu, hatimae nimeiona!
 
Nakumbka mara ya kwanza, nazamia ulaya nlikua nmelamalza 4m4 2016, nikatafta pesa hivo nkatafta namna nzur ya kusafr lengo kuu ilkua kwenda china , sababu Abroad is my hobby,

Nlipata nauli kamili ya kwenda china na nikaanza kwa kwenda Ethiopia, Addis Ababa,then nkakaa hapo sku chache then nkakutana na bint niliemuamini na ni mwenyeji sana huku china(Shenzhen)

Ikawa rahs kupata visa, lengo langu ilkua kwenda china kuchek Dili za biznez hasa ya nguo, so nlikua na mtaji mdg, na mm nlikua mzoefu wa mitumba toka mdg, had skul nlikua pumzko la sa4 nafunga kamba na kutandaza nguo zangu so nlikua nauzoefu wa ndan ya nchi.
Bas safar ikafana na nimara ya kwanza kusafr kwa chopa, Boeing ,

Bas tukafka nkafikia kwake,
Ofcoz Alikua mwenyj na alinishaur mtaji wangu niweke kwa mifumo ya china kweny mtandao hivo nkafata kila anacho nishaur, nakumbka tulilala ila skujua kesho nainza vp coz sjawah muona huyo bnt had now na Chinese police walinikamata kwa tuhuma ya kete,
Na bnt pia alikmatwa, story n ndef but nlipitia magum katka umr mdg ,

Kwa sasa nipo tz na chna naenda sana na china za uingereza nmeburuza sana, ile ilinifundisha kutoamn mtu na pia ilinipa chachu zaid, na nlijalaum mwnzo ila kwa sasa naona ilikua kama subtopic nzur kwangu, nkiwa na mda ntashusha story yote china na had kurd bongo.
 
Mjita anastahili tusi la ziada[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
akafie mbele kule
 
Hahahaha uzi unatembea ama wa kimasihala vile
 
Niliwahi kuchapwa bakora wakati nipo form one kwa kosa nisilofanya.

Nilisingiziwa nimebadili herufi ya jibu wakati nimeenda kubadili marks za somo la History. Nilishindwa kujitetea kwa Kiingereza nilipoulizwa kama nimebadili muda huo ninapeleka. Kwa woga nikasema Yes🤣 kilichofuata ni historia

Mwalimu Msigwa na mwenzako Mwakaje Imma kamwe sitowasahau.

Hii ilikuwa mwisho wa kufuata marks hata nikiwa nimeonewa sikuwahi omba marks tena
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nicheke kwanza Mdogo wangu nikikumbuka najiona Kama fala..mamaeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan sasa?
 


😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…