Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Daaah, jamaa akaenda kusema ulikuwa unabakwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahhahaha ngwiii ng'wiiiiii..Nishakujua..nikuulize kitu?? wewe jina lako halisi linaanzia na herufi G.. bishaa!
 
Sitakaa nimpeleke boarding mwanangu mdogo maana uonevu wa kule hapana

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nimeishia comment ya 132 ya Demi, ngoja nitoe juto langu badae Tena niwarudie.

Nlikuwa na urafiki na jamaa mmoja kutoka Mwanza kwa jina la Emmanuel, Alikuwa mbele darasa Moja lakini tulikuwa maswahiba.

Jamaa alikuwa mcheshi na mtu wa kunichangamkiaa mara tunapoonana, salamu za kisela kama TMK family.

Kama mnavojua urafiki wa chuo mara nyingi unaisha au kupungua mkimaliza chuo.
Basi jamaa mawasiliano yetu yakawa hafifu, na nikubal kuwa jamaa ndiye aliyekuwa akinitafuta mara nyingi.

Tukapotezeana kwa muda takriban mwaka hivi, SIKU JAMAA YANGU ANANIAMBIA YULE RAFIKI YAKO ALIFARIKI kwa matatizo ya Uti wa mgongo.

Nliumia sana nikakumbuka kuna muda we have to swallow our prides ,TAFUTENI RAFIKI ZENU MUWAJULIE HALI HUWEZI JUA NINI KINAMFANYA ASIKUTAFUTE pengine ashafariki we unakaa kusema Hadi ye anitafute.

MAJUTO NI MABAYA SANA.

Good night
 
Uko sahihi, pole.
 
haha hili tukio mbona kama lakwangu tu but nchi ndio tofauti haha, dah kazi kweli kweli, pia najutia sababu nilipoteza kazi nayoipenda sana na ya pesa nzuri kwa tamaa za kijinga.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Wenzio sisi tumekuwa ma MAJOR wewe umetolewa utoro
I'm happy for you Kamanda na pia hongera sana kwa kufika hizo level.

Naamini pia kilichokufikisha hapo ni uvumilivu. Na binadamu huwa tunavumilia vitu tunavyovipenda.

Nikijiona nashindwa kabisa kuvumilia vitu fulani kwenye maisha yangu, basi najua hivyo vitu havipo kwa ajili yangu, na bila kupoteza muda nina-achana navyo very quick. Kwa sababu in the long run, vitakuja kunigharimu zaidi.

Sijawahi kujutia ku.quit Jeshi ila nina appreciate sana watu wake. Waliokubali ku give up uhuru wao wa maisha ya kawaida kwa ajili ya maslai mapana ya Nchi yao. Kongole sana kwenu maana kazi za watu sio lelemama!
 
Peleka kwenye uzi wa kuliwa kimasihara[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…