Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Assalam waleykum mwamba!,
 
Mkuu mimi ni mtu wa kupuuzia lugha kali za JF, just relax...

Uzi nishausahau ila ID yako naikumbuka kwa sababu nimeshawahi kuishi Ipinda Kyela kando kando na njia ya kwenda Kasumulu border...
Umenikumbusha hilo border 🤔
 
Napamban ila wap.saiv Sina confidence Kwa wadada nikiwa alone Ngoma inasimama kama ukuni ila nikiwa Dem Ngoma inagoma *****
Shauri zako hata ukija ukioa mke anasepa zake
 
Ungekutana na goma kama mimi aiseee tungekula sahani moja, ningekunyoosha
 
Kipindi hicho hakuba Oxygen wala wasap
 
Mwl wetu wa Economic Umbwe Sec?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda wa kucheza umeisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda wa kucheza umeisha.
 
Mafala ndio waliwao.
 
Hapo hakuna ufala wote,nilikuwa nafuatilia M12 ukilinganisha na laki moja lazima utatoa ,sema ndo hivyo bwana Chawa alikuwa na nia ovu.
Huyo jamaa si mwema hata kidogo alimliza jamaa yangu laki sita, jamaa amehangaika kumpata kwa polisi ikawa ngumu ila alisema amerudi kwenye Miungu yake , sasa sijui anaishi au yalishamkuta maana mda kidogo dili zake sizisikii tena kwa waliwao
 
Noma sanaaa,Mkuu.
 
Huyo jamaa si mwema hata kidogo alimliza jamaa yangu laki sita, jamaa amehangaika kumpata kwa polisi ikawa ngumu ila alisema amerudi kwenye Miungu yake , sasa sijui anaishi au yalishamkuta maana mda kidogo dili zake sizisikii tena kwa waliwao
Mohamed Chawa mjinga sana,halafu kama Mimi nilimtafuta mwenyewe baada ya kupewa namba na mtu niliyekuwa namuamini.Ila pale PSSF walinambia Kuna mtu wanamhisi ila alikuwa likizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…