Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Siku niliyokamatwa napiga punyeto na bro:

Wakati nipo shule o-kevel hakuna kitu nilikua nakichukia kama club za masomo. Nakumbuka ilikua kila alhamisi, kilichokuwa kinanifanya nisipende ni maswali mengi kutoka kwa walimu na viongozi wa club husika yaani unapigwa maswali mbele ya madogo na ukikosea kujibu full aibu.
Basi wakulungwa wengi tulikua tunajazana kwenye club za michezo na fema. Mimi nilikua napenda fema coz ya mada nyingi ni za ujana. kule ndo nilipopata ujuzi wa kupiga punyeto. Wale jamaa walikuwa wanagawa na magazeti yao ambayo ndani wanasema njia mojawapo ya kujikinga na ukimwi ni ngono salama mojawapo ni punyeto a.k.a. selfee.

Basi bwana nilikua na mshkaji wangu anaitwa yaseen, huyu bwana anajua stye zote za punyeto na utamu wake, mara akwambie nyingine unapita mkao wa kukata gogo, nyingine unapiga umelala chali na ukikaribia kumwaga unapanua miguu unaanza upya. Hizi style zake zilinikosha kinoma. Huyu bwana alitoa ahadi siku akija kununua pc kitu cha kwanza atajaza video za x mtupu coz ndo starehe yake. Sitasahau kuna siku alikuja geto kuchek x kwenye pc ya bro mvua ikaanza kunyesha akalazimika kutoka hvohvo na mvua kisa anawahi kudowload ( kukumbuka) kabla muda haujapita ili asisahau akadai ili punyeto iwe tamu.

Kupitia huyu jamaa ndio nilikuja kujua kuwa kuna mshkaji wetu alikua mtu wa dini kinoma tena kiongozi alipiga punyeto getoni kwake akazimia akakutwa na bro ake hajitambui, nilicheka kinoma, huyu jamaa tulizoea kumwita kakoba coz alifanana sana na mshkaji mmoja kwenye maigizo ya ITV ya kila jmoc usiku alikuwa anaitwa mjomba kakoba.

Pole pole na mimi nikaanza huu mchezo wa punyeto na full kuapply style za mskaji wangu yaseen the master. Siku zote nilizoea kupigia bafuni, nilikua na mtindo wa kuoga maji ya moto hata kama ni mchana, nyumbani walinishangaa kinoma, kumbe mimi nilikua na lengo langu. Maji ya moto nilikua nayamwagilizia pale nnapokaribia kupiga bao + na lile joto la maji raha yake sio ya nchi hii. Hii style alinipa master wangu yaseen.

Basi bhwana chumbani nilikua nalala na bro sasa kuna siku bro alisema anaenda town nkakumbuka ndo mida sahihi ya kupiga puli coz pc ameiacha. Nkachukua cd yagu ya pilau nkaiweka nkaanza kuangalia baada ya mzuka kupanda nkachukua mafuta nkapaka kwenye mashine nkaanza taratibu kupiga punyeto, nilipata ujasiri wa punyeto ni salama hasa baada ya kushauriwa na fema club shuleni. Sasa ile utamu umekolea mara bro huyu hapa karud gafla na isitoshe mlango sikuufuga, aisee nilistuka balaa nachanganyikiwa nishike kipo nivae nguo coz nilivua zote au nizime pic, so nkabaki tu nimeduwaa sijui la kufanya. Daaah bro alimaind kinoma na isitoshe alikua ananiamini kinoma kila siku ananiona sio mtu wa mambo hayo . Bro ikabid aanze kunishauri kila siku kuwa mchezo huo sio mzuri. Moyoni nilimlaumu sana jamaa yangu yaseen coz alichangia pakubwa kwa mimi kuwa mpiga punyeto maarufu.

Kisa kinachofuata:
nilinusurika kufumaniwa na baba wakati nafanya mapenzi na beki tatu jikoni. Kalituona kadogo kamoja kakaja kusema sebuleni.
Assalam waleykum mwamba!,
 
Mkuu mimi ni mtu wa kupuuzia lugha kali za JF, just relax...

Uzi nishausahau ila ID yako naikumbuka kwa sababu nimeshawahi kuishi Ipinda Kyela kando kando na njia ya kwenda Kasumulu border...
Umenikumbusha hilo border 🤔
 
Napamban ila wap.saiv Sina confidence Kwa wadada nikiwa alone Ngoma inasimama kama ukuni ila nikiwa Dem Ngoma inagoma *****
Shauri zako hata ukija ukioa mke anasepa zake
 
Nilikua na mpenzi wangu tulipendana sana ila aliniboa siku 1 tukazinguana sana hasa mimi nilikasirka kupita maelezo,nikakaa baadae halmashauri yangu ya kichwa ikaniambia "huyu demu ni malaya muache"

basi nikawa namtafutia sababu nimuache,kuna siku nimekaa mahali nikaona anapita na mwanaume wanatembea mdogo mdogo kuelekea kwao,mimi nikainuka nikaunga tela kwanyuma nione wanaelekea wapi na watapitia wapi.

Basi wakaingia uchochoro flani kagiza kalikua kameingia wakasimama wakawa wanaagana kwa kuongea tu ila maongezi hayaishi,mimi uvumilivu wakufata nyuma kwa kujificha ficha ili wasinione kama bodyguard ukanishinda,Nikatokea Paap kama mzimu.

nikamwambia kwanza yule jamaa,Oya sepaaa Jamaa akaniogopa kweli akasepaa,nikabaki na dem,kwakua tulikua tumegombana akawa ananijibu shit,namuuliza huyu NANI ananiambia "haikuhusu" asee nilimzabua zabua,pga makofi.

Nikampokonya simu ili niende ikagua,nikamwambia leo kila mwanaume wako humu naenda kumuua,ngoja nikawatafute. Hapo nishampiga sanaaa.Huyoo nikasepa na simu yake.

Kufika home simu haikua na password, (haya ma pattern ma password yameanza kutumika hivi karbuni tu) zamani watu wengi simu hazkua na password.

Nikaanza kupekua, kweli mtoto wa kike kutongozwa n kawaida sana, basi nikakuta chatting za wanaume wakimtongoza,ila na yeye alikua akiwakataa tena kwa kuwambia ana mpenzi wake anampenda sana na akawa anawatajia jina kabisa.

Jina ni langu Movies Store convo ya kwanza,nikatoka nikaingia ya pili nikakuta mwingine dem msimamo n ule ule hata atokeee mwanaume gani chni ya jua hawezi muachanisha na Movies Store.

nikaingia na nyingine na nyingine,kuna moja ikanimaliza kabisa n msg ya Asubuhi tu,ya siku hyo nlompokonya simu, Alikua anachat na dada ake sijui rafiki anamwambia leo inaenda wiki Movies Store hatuongei tumegombana,nateseka mwenzako sijui nafanyaje jaman, Rafki ake huyo anamwambia usijali mtakua sawa Tu kesho nitakusaidia kuongea nae, Dem akamshukuru sio kawaida.

Nikaanza kujutia kwann nilimpga mtoto wa watu kumbe ananipenda hvyo,Basi nikaendelea ku search nikaingia sehemu ya NOTEBOOK ya simu nikakuta malengo yake kwangu,jamani dada alinipenda yule sio kwa niliyoyakuta. Plan zake za kuja nifanyia kitu kwenye birthday yangu ya huo mwaka,mambo ni mengi mengi.

Nilijiona mkosaji mkubwa nikifkiria kpgo nlichomshushia yule mpenzi wangu,wakati naendelea pekua pekua simu yake ikaita nikapokea kumbe ni yeye kapga, akaniambia Movies Store baki na hiyo simu milele siitaki tena wala sitaki kukuona na wewe.

Niliomba msamaha wa kila aina ila ndio tayari nilimpoteza yule dada kwao n mwanza nataman siku 1 nirudi mwanza nikamtafute walau nimsalimie nimuone tena. Nikikuta kaolewa sawa tuu ila kama n urofa maishani niliowahi ufanya ni kumpoteza yule binti kwa sababu zangu za kijinga jingaaaa.

Tangu na hiyo siku nikiwa na mpenzi wangu Hata asimame na mwanaume nitakaa pembeni waongee wamalize,sishiki simu yake,naheshimu watu anao wasiliana nao ki ufupi mpenzi wangu hata nikute kabebwa mgongoni na mwanaume mwingine mimi sitosema kitu,nitanyamaza ntamwambia "baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"
Ungekutana na goma kama mimi aiseee tungekula sahani moja, ningekunyoosha
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
Kipindi hicho hakuba Oxygen wala wasap
 
Nilifaulu A Level moja ya shule bora Mkoani kilimanjaro, Kipindi hicho ndo nipo maskani nafanya maandalizi ya kununua baadhi ya vitu ili niweze kusafiri siku inayofuata, Nakumbuka nilikuwa nimepiga mishe mishe nyingi sana kitaa tangu nilivyomaliza form 4 nikajichanga kununua simu ya elfu 40 ya button , kipindi hicho ni simu nzuri sana yenye display ya visamaki vikiwa vinatambaa, pia nikanunua baadhi ya vitu vya muhimu vya shule kama sabuni, viatu, sare nk. na hela ikawa imeshakata, nikabaki na hela ya ada nikaamua kuiweka kwenye simu ili nikifika Moshi niweze kuitoa nikalipie shuleni.

Sikuwahi kufika Moshi kabla, na Mzee hakunipeleka kwani alikuwa anasumbuliwa sana na miguu kipindi hicho, Ikabidi nikomae mwenyewe nianze safari, bahati nzuri nikawa nimepata connection ya mawasiliano na bro mmoja aliyemaliza shule kabla yetu hivyo alipangiwa shule ninayoenda mimi , yeye alikuwa form 6. Akaanza kunielekeza baadhi ya vitu na kipi nifanye nikifika moshi. Haya Safari ikaanza, nilikuwa natokea Dodoma, Kipindi hicho unapitia kwanza Singida kabla ya kujengwa hii barabara ya shortcut ya babati. Safari imeanza vizuri tu tukafika Singida fresh, tukapiga tea dakika 10 tukaingia tena kwenye basi hadi babati, nafika babati tukaambiwa tuna dakika 10 za kula msosi, Nimekula fresh nikaingia kwenye basi nikae, kujisachi sion simu, nikakumbuka niliiweka mfuko wa shati, akili ikanijia na nikajua hapa nimeshapigwa. Kumwambia konda sioni simu akazidi kukazia ,dogo hapa ushaibiwa, Sio sehemu nzuri sana, pole sana...Daaah nikakumbuka laini ilikuwa ni mpya na namba sikuikariri, na nilishaweka hela ya ada, kichwa kikaanza kuniuma. Isitoshe namba ya yule jamaa nikawa nimeipoteza na sikuwa nimeikariri. Nilisafiri kwa mawazo sana siku ile. Nikafika Moshi usika kama saa 2 hivi, mfukoni nina elfu 4, nikaulizia magari yanayoenda shuleni, nikaambiwa huwa yanaenda mwisho saa 2 usiku kwahiyo nilishachelewa, ni nje ya mji kidogo. Dah, ikabidi niombe hifadhi kwenye basi nilale ili kesho niondoke, hapo nishaazima simu sana kumpigia mzee tangu mchana simu yake haipatikani, nikawa chakula cha mbu usiku ule.
Asubuhi nikaelekezwa magari ya shuleni na nikafanikiwa kufika shuleni kwa kulia sana na konda maana nauli ilipelea, sasa shuleni walimu wakawa wanagoma kunipokea sina ada sina godoro, kila napojaribu kuwaelezea mkasa ulionikuta wakawa wanahisi ninatunga, baada ya kuhangaika nao sana wakaniruhusu. Nakumbuka niliishi maisha magumu sana, mahitaji mengi yaliisha mixer madeni ya shuleni nikawa sina amani kabisa. Likizo time sikutaka kwenda home kabisa nilikosa hata nauli, tukabaki mimi na wenzangu (hasa wanafunzi waliokuwa wakiishi mikoa ya mbali kama kigoma na mwanza,) tukawa tunamsaidia mwalimu wa economics kulima shamba lake na kupanda, namshukuru sana likizo yote tulitumia shambani, alikuwa anatulipa vizuri sana na alikuwa mkarimu sana yule mwalimu (RIP), tulivyofungua Shule shida zote zikawa zimeisha nikafanikiwa kupunguza madeni na pia ile hela iliyokuwa kwenye laini voda waliirudisha kwani nilienda kurenew laini, kuna bro yule wa shulen alikuwa na namba yangu, hivyo kurenew ikawa simple sana, nikawa don sasa shulen hadi wanafunzi wakashangaa.
Ila nilijutia sana kuipoteza simu yangu, niliitumia siku moja tu, na niliitafuta kwa hela ya jasho langu[emoji20]
We mwizi uliyeniibia simu babati kama upo humu Mataccor yako

YNWA
Mwl wetu wa Economic Umbwe Sec?
 
Nilikua na mpenzi wangu tulipendana sana ila aliniboa siku 1 tukazinguana sana hasa mimi nilikasirka kupita maelezo,nikakaa baadae halmashauri yangu ya kichwa ikaniambia "huyu demu ni malaya muache"

basi nikawa namtafutia sababu nimuache,kuna siku nimekaa mahali nikaona anapita na mwanaume wanatembea mdogo mdogo kuelekea kwao,mimi nikainuka nikaunga tela kwanyuma nione wanaelekea wapi na watapitia wapi.

Basi wakaingia uchochoro flani kagiza kalikua kameingia wakasimama wakawa wanaagana kwa kuongea tu ila maongezi hayaishi,mimi uvumilivu wakufata nyuma kwa kujificha ficha ili wasinione kama bodyguard ukanishinda,Nikatokea Paap kama mzimu.

nikamwambia kwanza yule jamaa,Oya sepaaa Jamaa akaniogopa kweli akasepaa,nikabaki na dem,kwakua tulikua tumegombana akawa ananijibu shit,namuuliza huyu NANI ananiambia "haikuhusu" asee nilimzabua zabua,pga makofi.

Nikampokonya simu ili niende ikagua,nikamwambia leo kila mwanaume wako humu naenda kumuua,ngoja nikawatafute. Hapo nishampiga sanaaa.Huyoo nikasepa na simu yake.

Kufika home simu haikua na password, (haya ma pattern ma password yameanza kutumika hivi karbuni tu) zamani watu wengi simu hazkua na password.

Nikaanza kupekua, kweli mtoto wa kike kutongozwa n kawaida sana, basi nikakuta chatting za wanaume wakimtongoza,ila na yeye alikua akiwakataa tena kwa kuwambia ana mpenzi wake anampenda sana na akawa anawatajia jina kabisa.

Jina ni langu Movies Store convo ya kwanza,nikatoka nikaingia ya pili nikakuta mwingine dem msimamo n ule ule hata atokeee mwanaume gani chni ya jua hawezi muachanisha na Movies Store.

nikaingia na nyingine na nyingine,kuna moja ikanimaliza kabisa n msg ya Asubuhi tu,ya siku hyo nlompokonya simu, Alikua anachat na dada ake sijui rafiki anamwambia leo inaenda wiki Movies Store hatuongei tumegombana,nateseka mwenzako sijui nafanyaje jaman, Rafki ake huyo anamwambia usijali mtakua sawa Tu kesho nitakusaidia kuongea nae, Dem akamshukuru sio kawaida.

Nikaanza kujutia kwann nilimpga mtoto wa watu kumbe ananipenda hvyo,Basi nikaendelea ku search nikaingia sehemu ya NOTEBOOK ya simu nikakuta malengo yake kwangu,jamani dada alinipenda yule sio kwa niliyoyakuta. Plan zake za kuja nifanyia kitu kwenye birthday yangu ya huo mwaka,mambo ni mengi mengi.

Nilijiona mkosaji mkubwa nikifkiria kpgo nlichomshushia yule mpenzi wangu,wakati naendelea pekua pekua simu yake ikaita nikapokea kumbe ni yeye kapga, akaniambia Movies Store baki na hiyo simu milele siitaki tena wala sitaki kukuona na wewe.

Niliomba msamaha wa kila aina ila ndio tayari nilimpoteza yule dada kwao n mwanza nataman siku 1 nirudi mwanza nikamtafute walau nimsalimie nimuone tena. Nikikuta kaolewa sawa tuu ila kama n urofa maishani niliowahi ufanya ni kumpoteza yule binti kwa sababu zangu za kijinga jingaaaa.

Tangu na hiyo siku nikiwa na mpenzi wangu Hata asimame na mwanaume nitakaa pembeni waongee wamalize,sishiki simu yake,naheshimu watu anao wasiliana nao ki ufupi mpenzi wangu hata nikute kabebwa mgongoni na mwanaume mwingine mimi sitosema kitu,nitanyamaza ntamwambia "baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda wa kucheza umeisha.
 
Nilikua na mpenzi wangu tulipendana sana ila aliniboa siku 1 tukazinguana sana hasa mimi nilikasirka kupita maelezo,nikakaa baadae halmashauri yangu ya kichwa ikaniambia "huyu demu ni malaya muache"

basi nikawa namtafutia sababu nimuache,kuna siku nimekaa mahali nikaona anapita na mwanaume wanatembea mdogo mdogo kuelekea kwao,mimi nikainuka nikaunga tela kwanyuma nione wanaelekea wapi na watapitia wapi.

Basi wakaingia uchochoro flani kagiza kalikua kameingia wakasimama wakawa wanaagana kwa kuongea tu ila maongezi hayaishi,mimi uvumilivu wakufata nyuma kwa kujificha ficha ili wasinione kama bodyguard ukanishinda,Nikatokea Paap kama mzimu.

nikamwambia kwanza yule jamaa,Oya sepaaa Jamaa akaniogopa kweli akasepaa,nikabaki na dem,kwakua tulikua tumegombana akawa ananijibu shit,namuuliza huyu NANI ananiambia "haikuhusu" asee nilimzabua zabua,pga makofi.

Nikampokonya simu ili niende ikagua,nikamwambia leo kila mwanaume wako humu naenda kumuua,ngoja nikawatafute. Hapo nishampiga sanaaa.Huyoo nikasepa na simu yake.

Kufika home simu haikua na password, (haya ma pattern ma password yameanza kutumika hivi karbuni tu) zamani watu wengi simu hazkua na password.

Nikaanza kupekua, kweli mtoto wa kike kutongozwa n kawaida sana, basi nikakuta chatting za wanaume wakimtongoza,ila na yeye alikua akiwakataa tena kwa kuwambia ana mpenzi wake anampenda sana na akawa anawatajia jina kabisa.

Jina ni langu Movies Store convo ya kwanza,nikatoka nikaingia ya pili nikakuta mwingine dem msimamo n ule ule hata atokeee mwanaume gani chni ya jua hawezi muachanisha na Movies Store.

nikaingia na nyingine na nyingine,kuna moja ikanimaliza kabisa n msg ya Asubuhi tu,ya siku hyo nlompokonya simu, Alikua anachat na dada ake sijui rafiki anamwambia leo inaenda wiki Movies Store hatuongei tumegombana,nateseka mwenzako sijui nafanyaje jaman, Rafki ake huyo anamwambia usijali mtakua sawa Tu kesho nitakusaidia kuongea nae, Dem akamshukuru sio kawaida.

Nikaanza kujutia kwann nilimpga mtoto wa watu kumbe ananipenda hvyo,Basi nikaendelea ku search nikaingia sehemu ya NOTEBOOK ya simu nikakuta malengo yake kwangu,jamani dada alinipenda yule sio kwa niliyoyakuta. Plan zake za kuja nifanyia kitu kwenye birthday yangu ya huo mwaka,mambo ni mengi mengi.

Nilijiona mkosaji mkubwa nikifkiria kpgo nlichomshushia yule mpenzi wangu,wakati naendelea pekua pekua simu yake ikaita nikapokea kumbe ni yeye kapga, akaniambia Movies Store baki na hiyo simu milele siitaki tena wala sitaki kukuona na wewe.

Niliomba msamaha wa kila aina ila ndio tayari nilimpoteza yule dada kwao n mwanza nataman siku 1 nirudi mwanza nikamtafute walau nimsalimie nimuone tena. Nikikuta kaolewa sawa tuu ila kama n urofa maishani niliowahi ufanya ni kumpoteza yule binti kwa sababu zangu za kijinga jingaaaa.

Tangu na hiyo siku nikiwa na mpenzi wangu Hata asimame na mwanaume nitakaa pembeni waongee wamalize,sishiki simu yake,naheshimu watu anao wasiliana nao ki ufupi mpenzi wangu hata nikute kabebwa mgongoni na mwanaume mwingine mimi sitosema kitu,nitanyamaza ntamwambia "baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda wa kucheza umeisha.
 
Kuna kipindi nilikuwa nafuatilia FAO LA kukosa kazi Kibaha PSSF,nikawasiliana na sister mmoja akanambia Kuna mtu anaitwa Mohamed Chawa nimpigie anaweza kunisaidia kuzipata.Jamaa akahoji ni sh ngapi nilipotata milioni kadhaa yeye akadakia ni kweli akaongeza na Malaki kadhaa,nikajua hapa nimepata mpunga wangu.Akanambia niandae laki ya kumpa mhasibu halafu kesho yake nifuate check yangu.Machale yalinicheza aliposema niwekee kwenye tigo pesa kabisa halafu niende ofisini,nikaweka ila sikutaka kutuma hadi niingie ndani niangalie situation.Wakati nakaribia kuingia nikaone nisije kuharibu nikamtumia nikaingia ndani.Yule bwana Chawa akanambia ingia Kaa subiri.Ghafla akapiga akanambia niongeze 27,500 nikamwambia Sina akasema sawa.Baada ya dakika kadhaa namba haipatikani.Ikabidi niulizie kwa wamama wa pale ofisini,wakastuka wakasema umetapeliwa.Wakadai huyo mtu wanamtafuta,ikabidi twende polisi Kitengo cha Cyber,baada nikaona polisi watataka pesa nikamwambia basi ngoja nifanye nimetoa sadaka.Mohamed Chawa kama upo hai,niombe msamaha au shupaa uviko 19 iondoke na Wewe.
Mafala ndio waliwao.
 
Hapo hakuna ufala wote,nilikuwa nafuatilia M12 ukilinganisha na laki moja lazima utatoa ,sema ndo hivyo bwana Chawa alikuwa na nia ovu.
Huyo jamaa si mwema hata kidogo alimliza jamaa yangu laki sita, jamaa amehangaika kumpata kwa polisi ikawa ngumu ila alisema amerudi kwenye Miungu yake , sasa sijui anaishi au yalishamkuta maana mda kidogo dili zake sizisikii tena kwa waliwao
 
Part 2

Siku ile baada ya kudhurumiwa niliumia saana sana hasa kwa kuwa hela haikuwa yangu pia hali ya uchumi mtaani kugumu. Basi bwana, kufika jioni dogo akanichek kupata mrejesho wa betri lake, ikabidi nimwambie yule jamaa kafunga kaenda msibani so atarud after siku tatu na kununua sehemu nyingine ni bei sana. Nashukuru dogo alinielewa japo kishingo upande.

Ishu ya kudhurumiwa iliniima saana sanaa sana ilifika kipindi nipo busy na mambo mengine lakini moyoni unakuwa kama kuna kitu hvi hakiko sawa ukikumbuka unagundua hela yako imeenda kiboya. Hivo nkapanga mikakati narudishaje pesa yangu niliyodhurumiwa hadi kwa wakati ule usiku sikujua nn ntafanya.

Kesho yake mchana nkapada gari hadi pale pale kwa wachezesha bahati nasibu, lengo lilikuwa niende nisome mazingira tena nimezurumiwaje kiboya vile tena laki. Laki yangu ilikuwa inaniuma kinoma na isitoshe nimemdanganya dogo so baada ya siku tatu anategemea nimtumie betri lake na isitoshe dogo ananiamini kinoma.nilishukia kituo kinaitwa pamba road sheli. Mdogo mdogo hadi pale kufika tu pale nkasimama kuchek wahusika nkakuta yule mdada aliyeshinda begi ndo anagawa tiket yule niliyechanga nae hela ni msaidizi ndo nkagundua huu ni mchezo hakuna bahati nasibu wala nini hapa, kuwaona pale kichwa kikazidi kujaa sumu. Wale watu bhana kumbe wana mabaunsa nkaona hapa nkileta fujo ntajikuta nipo polisi so nikawa mpole. Sasa kumbe yule mdada tuliyechanga nae hela alinijua akasema kwa nguvu "kuna wengine wamerudi kufanya fujo baada ya kuliwa jana" basi mabaunsa wakaja wakanifukuza baada ya kuoneshwa kuwa ni mimi na isitoshe ni kweli jana nilitaka kufanya fujo baada ya kudhurumiwa. Nkajua hapa kitumbua kishaingia mchanga, wakanifukuza pale nkatoka lakini nikawa najua mchawi wangu ni yupi ni yule dada aliyenichongea kwa mabaunsa.

Nkatoka pale nmejaa sumu kinoma, nkaenda zangu kamanga "Bismark rock" kuna kabustani pale kwa wenyeji wa mwanza washapafahamu, nkalipia jero nkakakaa kwenye nyasi napunga upepo wa ziwa huku natafakari nini cha kufanya.

Kichwani likaja wazo nilisema nipambane nao siwawezi kwanza wana mabaunsa, niende polisi siwezi, inamaana polisi hawajui kuwa hawa jamaa ni matapeli? Nkajisemea hapa nadeal na huyu mdada aliyenichongea anajifanya mwema kumbe ni snichi. Sasa ikawa muda wa kupanga mikakati namna ya kurudisha pesa yangu.

Njia ya kwanza nkawaza nimvamie nimnyang'anye simu na hela nkaona ntaitiwa mwizi nkasema hapa lazima nijue anakaa wapi kwanza ndipo mambo mengine yaendelee.

Sasa baada ya kurudi home ilikuwa mwanzo wa mwezi na mimi ndo nakusanya hela ya maji, tunapokaa tupo wapangaji wengi kidogo, nkakusanya hela ya maji kama laki na 30 hvi nkaenda kulipa 60 na 70 nkanunua betri la dogo nkamtumia. Nkachonga na jamaa anaekujaga kukata maji kama hujamaliza deni coz tulikuwa tunafahamiana nae kiasi na namba zake nilikua nazo coz kuna msala ashawahi nisaidia, nkamuahidi baada ya wiki mbili hvi ntakuwa nshamaliza deni so likitokea lolote anisitiri coz wapangaji wenzangu wanajua bill ishalipwa yote.

Nkapanga mikakati, mkakati wa kwaza ni kubadili mwonekano ili nikirudi pale nisijulikane kirahisi, hivo nilienda kunyoa nyele zoote na ndevu yaani full para coz nilikua na nyele ndefu na madevu mengi. Kiukweli nilibadilika saana hadi demu wangu alisema hajazoea kuniona vile, pia washkaji wengine walinisahau kabisa, nilifanya hvi ili nisigundulike hata nikimfatilia yule dada anapokaa hata tukipanda daladala moja asihisi chochote.

Katika maisha mimi huwa naamini kuwa tunaishi mara moja tu so ninachoamini, jambo likiumiza kama umeamua kusamehe basi samehe kama kulipiza kisasi, lipiza coz maisha ni kma maji yanayo toka mlimani kwenda bondeni yakipita hayarudi tena kwa kifupi tunaishi mara moja tu, punguza majuto katika maisha. falsafa hii ndio chanzo cha kujiita "MTAMAUSHI" kwa waliosoma somo la kiswahili vizuri levo ya chuo na advance wanaelewa nini maana ya falsaha hii ya ndugu E kezilahabi kma sijakosea.

Tuachane na falsafa, baada ya kubadili mwonekano nkarudi tena pale pale kwa wanapochezesha bahati nasibu lakini awamu hii nilirudi jioni saa 10:30. Nilikaa pembeni kidogo walikua wanakaanga chipsi, nkaagiza chipsi na soda nikawa nakula taratibu nkivizia wafunge. Baada ya kumaliza kula nkaagiza soda nyingine nkaanza kunywa taratibu, kweli bhana saa 11: 30 hvi wakawa wamefunga wanakusanya kila kitu pale wakakutana pembeni kama kimduala hvi wakagawana hela ndo nilipojua kumbe wanapiga mkwanja mrefu. Hela alikuwa anagawa kiongozi wao, baada ya kugawana wakaanza kusepa wengine kwenye gari lililobeba vyombo wengine kwa miguu, target yangu ilikua ni yuje mdada tu. Akatoka pale mdogo mdogo akaingia sokoni mimi nyuma yake ila kwa mbali na umakini mkubwa sana asijue lolote. Yule dada alinunua vitu vichache pele akaenda kupanda gari. Baada ya kufika kwenye gari alikaa siti ya mbele kwa dereva nilichofurahi ni kwamba alikuwa kumbe anakaa njia ambayo namimi naishi huko hvo alinipunguzia garama ya usafiri coz niliapa kokote anakokaa nitamfata tu. Basi bhana baada ya abiria kujaa nkajisogeza pale nikakaa ndani ya daladala gari likaondoka likapita kituo ninachoshukiaga mimi hadi kama vituo 5 mbele yule dada akashuka. mimi sikushuka, gari lilipoanza kuondoka limetembea mita chache nkamwambia konda anishushe nilikua nimejisahau kweli nilishushwa ila kwa matusi na misonyo kibao ya konda kwamba sipo makini kumbe nilipanga iwe hvo. Baada ya kushuka tu nilianza kwenda kituoni kumchek yule dada, nikamwona kwa mbali anatembea. Nilikua nmevaa sweta jeusi nikavua nkabaki na shati tu nilifanya hvo asikumbuke kama tumepanda wote daladala kama aliniona. nilimfatilia hadi anapokaa nkapajua uzuri nyumba ilikua imejitenda kidogo na njia ina kichaka na uchochoro kidogo.

Baada ya kujua anapokaa nilirudi zangu geto kusubiri nifanye revange yangu, baada ya siku kadhaa saa 12:00 nipo kituoni namsubiri mfukoni nina bonge la panga. Saa moja na dk kadhaa nkamwona kashuka nikatangulia mbele coz yeye alipita kununua mhindi choma pale standi. Kwa wakati ule nilikua nakumbuka ile kauli yake ya "kuna wengine wamerudi kufanya fujo baada ya kuliwa" hii kauli iliniuma sana. Sikuwa na lengo la kumdhuru ila tu nirudishe hela yangu tu.

Baada ya kutangulia mbele nnkaanza kutudi nilikotoka tukakutana jiani nkachomoa panga. Nkamwambia naomba hela zangu, akauliza hela ipi? nilimpa ubapa wa mgongoni nkamwambia ukipiga kelele umekwisha, alitetemeka yule dada sijapata ona. nkamwambia leo nimekufata na huku mnapenda kudhurumu watu mbwa nyie. lete mkoba akawa anabisha nkampa bapa la pili akaachia nkazama kwenye mkona nkatoa simu na hela nkasepa zangu mbio uchochoroni nkamwacha anali na isitoshe watu hawakuwepo .Njiani nkadaka boda hadi karibu na geto nkashuka. Nilipofika home kuhesabu nkakuta hela kma 70 hvi simu, nkawafata wahuni kesho yake nkawauzia kama 50 ilikua smartphone. Nkalipa deni la maji na usumbufu.

Inayofuata:
Fema club walisababisha nikamatwe na bro nikiwa napiga punyeto kisa ile kauli yao ya punyeto ni njia salama, ntawalete kisa soon
Noma sanaaa,Mkuu.
 
Huyo jamaa si mwema hata kidogo alimliza jamaa yangu laki sita, jamaa amehangaika kumpata kwa polisi ikawa ngumu ila alisema amerudi kwenye Miungu yake , sasa sijui anaishi au yalishamkuta maana mda kidogo dili zake sizisikii tena kwa waliwao
Mohamed Chawa mjinga sana,halafu kama Mimi nilimtafuta mwenyewe baada ya kupewa namba na mtu niliyekuwa namuamini.Ila pale PSSF walinambia Kuna mtu wanamhisi ila alikuwa likizo.
 
Back
Top Bottom