Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Hiyo ndo dawa ya mnoko,unasaliti wahuni kwa vipande vya fedha.
 
Hatare Sana.....maisha ya skuli[emoji23][emoji23]
 
Unapiga nyeto huku umevua nguo zote, du we ni konki.
 
Nilidate na mtoto wa polisi enzi hizo yeye alikuwa form 4 nadhani lile funzo nililopata hadi Leo nikiona sketi za shule moyo unaliaa Paaaaa...!! Bila dada yake i was gone for good jela ingenihusu aiseee..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilikuwa Kimasihara?
 
Duuuh mlitisha sana
 
Kipindi tupo form 6 mwanzo mwanzo kabisa kama wadau,washikaj tulioshibana tuliamua kutafuta chumba ambacho kitakuwa karibu na shule ili tusipate hadha ya kugombania daladala asubuh kila siku.

Kweli tukatafuta na hatimae tulipata chumba mita 500 kufika shule. Tukalipia maisha yakaanza.

Sasa tulikaa kama miezi 3 hivi na mitikasi ya shule mara umeingia hapa mara pale lazima uwe na mademu, Na sis advance tulikuwa tunawakula sana o level .

Basi tunachukua videmu vya shule tunaenda kuvikula geto, na vyenyewe vinanogewa vinazoea, vikifika shulen vinawahadithia wenzao. Kwahyo pale shuleni geto letu lilipata umaarufu mkubwa sana ikafikia hatua mpaka walimu wakajua ila tu hawakuamua kulivalia njuga.

Sasa miezi 2 kabla ya necta shule kunakuwa hakuna mpya kila mtu anasongoka kivyake kwa hiyo kwa sisi wa geto swala la kwenda shule lilikuwa ni kujiamulia tu unajikuta week nzima uko geto tu.

Sasa kilichofanya nijute kama muandishi "kuna mshikaji fulan pale shule alikuwa maarufu sana Coz alisoma pale since o level.

Huyu jamaa alikuja kutuomba aje akae geto kwa kwa miezi iliyobaki Baadhi tukamkubalia ila kuna mwana mmoja alitupinga kwa uamuzi tuliouchukua.

Basi siku 2 baada ya kumaliza pepa ya practical siku hyo tumelala mpaka saa 3 asubuhi tukaamua siku hiyo tusiende shule. Ila mim na jamaa yangu tukajadiliana tukasema tuende saa 4. Ilivyofika saa 4 haoo shule.

Tumefika shule ulizia mazingira jamaa wakasema hakukuwa na jipya ila kuna jamaa akatuambia walipewa pepa ya prac. Ah bas jama yang akaniashauri turudi geto nikawa nakaza kumbe machale yalikuwa yananicheza ila napotezea. Basi mwisho wa siku nikakubali tukarudi geto.

Sasa kumbe yule jamaa tuliyemkaribisha mama yake alikuja shule kwaajili ya kesi ya mdogo wake ambaye alikuwa ni kiongozi pale shule, sasa baadae akamuulizia yule mshikaj ikabid atoke MP mmoja ambaye alikuwa mnoko kinoma kwenda kumfata class.

Amefika madarasa ya form 5 karibu na vimbweta akakutana na karatasi ya mtihani wa jamaa inagaragara chini ikabidi auokote akawa anakuja nao darasani kwetu, kabla hajafika darasani kwetu akakutana na dogo fulan wa o level ambaye ni rafiki wa mdogo wake na mshikaji. Ikabidi amuulizie, yule dogo akamjibu yupo geto.

Yule MP hakuja tena darasani akarudi staff kuwapanga wenzake[emoji23][emoji23] wakamchukua yule dogo wakampandisha kwenye ndinga haooo mpaka get. Ila kabla hawajafika geto wakakutana na mshikaji mwenyewe ndo alikuwa anakuja skonga so wakamkamata kirahisi sana. Then wakamwambia awalete geto jamaa alivyokuwa boya akawaleta kweli[emoji23][emoji23]

Ile nyumba, tuliyokuwa tunakaa kulikuwa na geti kubwa na kigeti kidogo, sisi wengine tulikuwa geto jamaa yangu mmoja ni Artist mzuri tu yeye alikuwa anachora picha ya messi namim nakula ngoma taratiib[emoji16][emoji16] kuna jamaa yetu mmoja hivi mkurya yeye mda wote alikuwa kajichimbia maeneo anakula msuli. Na kuna jamaa mwingine alikuwa anadeki choo[emoji23][emoji23] basi hivyo ndo tulivyokamatwa.

Noo kuvaa sare ya shule ni kupakia ndinga na kwenda shule, tumefika kama mita 100 hivi kabla ya kufika shule kilianza kichurachura mpaka shule tumefika shule tulikula doso kali sana kiasi cha kujuta na kutosahau(kama mnavyojua wanajeshi wakisulubu)

Kutokea saa6 tumekuja kuachiwa saa 11 jioni wakati tunapewa vifaa vya kung'olea visiki na kuchimba shimo[emoji23][emoji23]

Nisiku ambayo nilijuta kupuuzia hisia zangu[emoji120][emoji120]
 
Huruma uliniponza kulala na mwanamke nisiyempenda hata kidogo. Nililala na huyu mwanamama huku nikisikitika moyoni na kujuta kwanini nafanya vile, baada ya shoo kuisha yule mwanamama akawa ananichukulia mimi kama mumewe. Alikuwa hachoki kunipigia simu kila mara na kuniambia wajukuu wako wanakuulizia watakuona lini. Kwa kweli nilichoka maana hao wajukuu zake wenyewe hata kuwajuwa nilikuwa siwajuwi. Huruma "shikamoo" huko ulipo, sina hamu.🙌
 
We ulikula mbibi wewe
 
aisee pole sana mkuu, hivi wengine hawafi huko kweli?
 
Kila mbibii ndo akaanza kukuita babu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukila single mother kesho yake akikupigia anakwambia msalimie mwanao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…