Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Duh! Uzi mrefu kiasi

Mwishoni mwa mwa mwaka 2011 karibia na kipindi cha msimu wa sikukuu nikiwa nasubiri majibu ya mtihani wa kidato cha nne. Nilikuwa naishi na bibi yangu katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini.

Nilikuwa napenda sana kujifanya msela na kuiga uhuni kampani yangu kubwa ilikuwa ni masela kwahiyo bangi, viroba na sigara vilikuwa vinahusika sana pale tunapokuwepo kijiweni

Siku moja tukiwa kijiweni tulikuwa raia wawili tu siku hio alikuja mama mmoja akatupa tenda ya kumsaidia kupakia chupa, vinywaji na mazaga mengine ,(huyo mama alifiwa na mmewe miezi kama miwili nyuma mmewe alikuwa anafanya biashara ya kuuza vinywaji vya kawaida na vileo baada ya kufariki mmewe huyo mama alimua kufunga biashara).

Baada ya kumaliza kupakia kuna vitu vingine aliviacha ambavyo hakua na uhitaji navyo. Katika vitu alivyoviacha kuna boksi moja lilikuwa limejaa viroba vilikuwa vinaitwa double punch (sio double kick) vilikuwa kwenye pakti ya nylon. Yule mama alivyomaliza kupakia vitu vyake na kuondoka mimi nilichukua lile boksi la viroba nikaenda nalo gheto nikalificha lengo la kuficha ilikuwa nikawauzie washkaji wangu jumapili tukienda club

Ilivyofika jumapili tayari nishakula viwalo kwa ajili ya kwenda disko shetani akanibadilisha akili badala ya kuchukua viroba nikawauzie wadau mimi nikachukua chupa ya maji ya lita moja nikachana viroba vyote nikavijaza kwenye chupa japo chupa haikujaa. Nikachukua chupa yangu yenye double punch nikatembea nayo kama nimeshika maji vile mpaka club.

Kuingia club huku nailambalamba ile double punch nikakutana na demu mmoja wa mtaani anaitwa Judy tumecheza ile ya kukaribiana zero distance, yule demu akaniuliza wewe umekunywa nini mbona mdomo wako unanukia kama nanasi.
Mimi bila wasiwasi nikamwambia kilichomo kwenye chupa. Kama masikhara yule demu akaniomba aonje akapiga pafu ndefu kama maji huku anajifanya analalamika kali.
Baada ya sekunde kadhaa akachangamka ile sio kama mwanzo huku anayumba kwa mbali mara anivute, anikalie full vibe.

Mda kidogo kupita Judy akiwa bado na vibe akainga'ng'ania ile chupa yenye vitu hapo ikiwa imebaki kama robo ( chupa ilikuwa ya lita moja) akainywa tena kwa fujo baada ya nusu saa zile mbwembwe zote zikaisha akatulia kimya kama kalala yupo kama hajielewi hivi sio yule wa saa moja nyuma. Baada ya mda kidogo tukiwa tumekaa wote kwenye kochi moja nikahisi tofauti kumcheki vizuri nakuta demu kajichafua kote.
Nikaona hapa ishakua soo nikapotea fasta yale maeneo, kumbe kuna wahuni huku nyuma sijui waliusoma mchezo walichomfanya kwenye vyoo vya club ni zaidi ya aibu....

Kesho yake asubuhi saa 3 kasoro nakuta polisi hawa hapa nikapokelewa na vibao na matusi mpaka kwenye difenda nilipigwa sana polisi.
Kumbe kule hospital demu ananitaja mimi tu huku analia vibaya mno

Ni kesi ya kipumbavu iliyosababisha familia irudi nyuma sana kimaisha na ndo mara yangu ya kwanza kulala lockup tena nikiwa na miaka 17 tu kwa siku 9 sitegemei kama itajirudia tena

Namshukuru sana mshua wangu kwa busara, weledi na ujasiri wake bila yeye sijui ingekuwaje!

I'm sorry Judy japo sijawahi kukuona tena
 
Duh! Uzi mrefu kiasi

Mwishoni mwa mwa mwaka 2011 karibia na kipindi cha msimu wa sikukuu nikiwa nasubiri majibu ya mtihani wa kidato cha nne. Nilikuwa naishi na bibi yangu katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini.

Nilikuwa napenda sana kujifanya msela na kuiga uhuni kampani yangu kubwa ilikuwa ni masela kwahiyo bangi, viroba na sigara vilikuwa vinahusika sana pale tunapokuwepo kijiweni

Siku moja tukiwa kijiweni tulikuwa raia wawili tu siku hio alikuja mama mmoja akatupa tenda ya kumsaidia kupakia chupa, vinywaji na mazaga mengine ,(huyo mama alifiwa na mmewe miezi kama miwili nyuma mmewe alikuwa anafanya biashara ya kuuza vinywaji vya kawaida na vileo baada ya kufariki mmewe huyo mama alimua kufunga biashara).

Baada ya kumaliza kupakia kuna vitu vingine aliviacha ambavyo hakua na uhitaji navyo. Katika vitu alivyoviacha kuna boksi moja lilikuwa limejaa viroba vilikuwa vinaitwa double punch (sio double kick) vilikuwa kwenye pakti ya nylon. Yule mama alivyomaliza kupakia vitu vyake na kuondoka mimi nilichukua lile boksi la viroba nikaenda nalo gheto nikalificha lengo la kuficha ilikuwa nikawauzie washkaji wangu jumapili tukienda club

Ilivyofika jumapili tayari nishakula viwalo kwa ajili ya kwenda disko shetani akanibadilisha akili badala ya kuchukua viroba nikawauzie wadau mimi nikachukua chupa ya maji ya lita moja nikachana viroba vyote nikavijaza kwenye chupa japo chupa haikujaa. Nikachukua chupa yangu yenye double punch nikatembea nayo kama nimeshika maji vile mpaka club.

Kuingia club huku nailambalamba ile double punch nikakutana na demu mmoja wa mtaani anaitwa Judy tumecheza ile ya kukaribiana zero distance, yule demu akaniuliza wewe umekunywa nini mbona mdomo wako unanukia kama nanasi.
Mimi bila wasiwasi nikamwambia kilichomo kwenye chupa. Kama masikhara yule demu akaniomba aonje akapiga pafu ndefu kama maji huku anajifanya analalamika kali.
Baada ya sekunde kadhaa akachangamka ile sio kama mwanzo huku anayumba kwa mbali mara anivute, anikalie full vibe.

Mda kidogo kupita Judy akiwa bado na vibe akainga'ng'ania ile chupa yenye vitu hapo ikiwa imebaki kama robo ( chupa ilikuwa ya lita moja) akainywa tena kwa fujo baada ya nusu saa zile mbwembwe zote zikaisha akatulia kimya kama kalala yupo kama hajielewi hivi sio yule wa saa moja nyuma. Baada ya mda kidogo tukiwa tumekaa wote kwenye kochi moja nikahisi tofauti kumcheki vizuri nakuta demu kajichafua kote.
Nikaona hapa ishakua soo nikapotea fasta yale maeneo, kumbe kuna wahuni huku nyuma sijui waliusoma mchezo walichomfanya kwenye vyoo vya club ni zaidi ya aibu....

Kesho yake asubuhi saa 3 kasoro nakuta polisi hawa hapa nikapokelewa na vibao na matusi mpaka kwenye difenda nilipigwa sana polisi.
Kumbe kule hospital demu ananitaja mimi tu huku analia vibaya mno

Ni kesi ya kipumbavu iliyosababisha familia irudi nyuma sana kimaisha na ndo mara yangu ya kwanza kulala lockup tena nikiwa na miaka 17 tu kwa siku 9 sitegemei kama itajirudia tena

Namshukuru sana mshua wangu kwa busara, weledi na ujasiri wake bila yeye sijui ingekuwaje!

I'm sorry Judy japo sijawahi kukuona tena
Dah pole man hope ulitakiwa umsitiri kama rafiki yako inawezekana ameishajiua huko
 
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza,nilikua nakaa hosteli Basi Kuna mdada tukawa tumezoeana Sana ingawa tulikua tunasoma course tofauti na Mara nyingi alikua anakuja chumbani kwetu,tunapiga stori na roommates wengine au kuangalia movie,alikua ana boyfriend wake Ila yeye anasoma chuo kingine,Sasa sikumoja akaja room tukawa tunaangalia movie tupo Kama wanne hivi Ila yeye alikua busy Sana na simu,baadae anatuambia eti Fulani( huyo boyfriend Sasa) kanitumia message anataka kujiua hivi mtu anayetaka kujiua anasema kweli?, Sisi tukamwambia bwana mtu akitaka kujiua hasemi,utasikia tu amekufa,tukatania pale kila mtu akaendelea na movie,kesho yake natoka darasani mchana nikakutana na bajaji inatoka hosteli kwa nyuma amekaa mdada mwingine halafu yule rafiki yangu kamlalia yaani Kama vile mgonjwa nikawa najiuliza huyu kaugua saa ngapi mbona asubuhi nimemuacha mzima,baadae Sasa wakarudi hosteli analia nikaenda kumuona namuuliza vipi, ananiambia yule boyfriend wake kajiua kweli na hapo ndio ametoka kumuona alipigiwa simu na dada wa marehemu, yaani nilifreeze kwanza kwa muda ,nikatamani masaa yarudi nyuma aniulize Tena lile swali halafu nimpe jibu tofauti dah mpaka leo nikikumbuka huwa naumia Sana.Mpaka leo mtu akianza kuniambia masuala ya kujiua Nampa counseling ya nguvu haijalishi ananitania au vipi maana wengine inakua Ni cry for help.
Daah Depression! Depression!
Sababu haswa ya kujiua ilikuaa ni ipi mkuu?
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Snich sio Mwana,wewe sio mwana.
 
Hongera sana kwa msimamo wako Mkuu, huyo teacher alikua na lengo la kukudharirisha tu. Katika maisha usikubali fedheha ndogo ndogo kama hizo,simama katika msimamo wako na usijutie kamwe.

Kipindi niko Advance Mbalizi Sec hiyo nakumbuka maticha waliniundia mkakati wa kuninasa ili wanifedheheshe mbele ya umati, wakawa hawanipati. Kuna siku wakaniwekea mtego na nikanasa kwenye mtego wao ila nikaona hii fedheha sitoiweza...aisee nilichomoka kama digidigi nikapita nikapaa ukutani kama spider man,na habari ya ile shule kwangu ikaishia hapo.

Ni enzi za kina Maijo, Israel,n.k
Ni kweli kabisa ukizingatia nilikuwa namzidi umri
 
Ankol ilibidi mkeo ajue hili mapema hata kabla hujamuoa. Ili ajue tu kutakuwa na simu za baby mommas, kuna muda utakuwa na watoto wako wengine possibly wakiwa na mama zao n.k. Imagine mtu kukutamkia kuwa angejua kuwa una watoto asingekukubali.

It hurts mnoooo, maana ni dhahiri kuna muda anajuta kuolewa na wewe kwa sababu ya anayoyapitia kwa ajili yako

Weka tu mazingira mazuri ya kuwasiliana na hao wazazi wenzio. Zidi kuongea na mkeo kuwa akusamehe na mshikamane pamoja katika kuwalea watoto wako na wenu; mpeane suggestions bora za kulea watoto. Usijefanya siri kwenye kitu chochote kinachohusu hao watoto wako; itakuwa vita nyingine

Watoto ni baraka, bila kujali wamepatikana kwa wakati au mazingira gani. Sema ndiyo vile wakija nje ya utaratibu; kuna changamoto zitajitokeza tu
Swadakta...
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] poleeeeeh sana.
 
Hongera sana kwa msimamo wako Mkuu, huyo teacher alikua na lengo la kukudharirisha tu. Katika maisha usikubali fedheha ndogo ndogo kama hizo,simama katika msimamo wako na usijutie kamwe.

Kipindi niko Advance Mbalizi Sec hiyo nakumbuka maticha waliniundia mkakati wa kuninasa ili wanifedheheshe mbele ya umati, wakawa hawanipati. Kuna siku wakaniwekea mtego na nikanasa kwenye mtego wao ila nikaona hii fedheha sitoiweza...aisee nilichomoka kama digidigi nikapita nikapaa ukutani kama spider man,na habari ya ile shule kwangu ikaishia hapo.

Ni enzi za kina Maijo, Israel,n.k
Ulikuwa mtego gani?
 
Najuta kuishi bila wazazi, najuta kulelewa. Nimepigwa sana pasipo na kosa na kaka zangu watoto wa baba yangu mlezi, kwa kujazwa uongo na mama yao.
Ila nimejifunza sana, ni mnyenyekevu na msikivu, shida walinipa uoga mno.

Tunasahau, ila nilikua kwa kudra za Mungu tu. Na finally, I'm the best! 👍💯
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)😣😣

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU 😭😭....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii 😭😭

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah 😭😭

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana 🤣🤣🤣🤣
Sema ulistahili mkuu 😂😂

Unaanzaje kuwasnitch wanaharakati
 
Well kuna kisa kingine tena yani issue moja hadi leo inanichoma sana pia na kutokujua pia ilinicost sana sana.

Basi mwaka flani nyuma kidogo nilipokua nimemaliza form 6, nikapata kazi moja ya muda somewhere hapa Dsm na nikasema nitaenda chuo mwaka mwingine wacha nifanye hii job kwanza sababu ilikua inalipa poa sana so sikutaka kuiacha tu na pesa zote hizo, basi that time nikawa naishi kwa brother angu mmoja around banana na ni sababu ilikua karibu na job nikasema nitakaa kwa muda, brother alikua anaishi na mwanamke wake mzuri sana, ila walikua hawajazaa but huyo mwanamke ako na mtoto wake, basi hiyo nyumba wamepanga ziko nyumba 3 ndani ya fensi moja, sasa hizo nyumba mbili wamepanga hao single mother nyumba moja, ingine ni mmama tu ako na mtoto wake.mmoja na house girl ila mwanaume wake huwa anakuja mala moja moja na anapesa (ni mume wa mtu so ye ni mchepuko tu ulipangishiwa nyumba nzima).

Hao wamama walikua wambea vibaya sana yani wao hata ukikaa nao like 2 minutes utajua mtaa mzima nini kinaendelea, so walikua mala nyingi wako tu nyumbani , sku moja wakaniambia unajua huyo shemeji yako hampendi huyo unaemwita kaka ako, hampendi na ndio maana hamzalii mtoto, kila mala amapata mimba anatoa, wakanipa hadi ushuuda kua wao.ndo humsaidia hata kumsafisha akinywa madawa yake ya kutoa mimba ikitoka, waliongea sana na mimi maneno yakaniingia. Basi hakuna kitu nachukia kama watu wanaotoa mimba, nikaanza kumchukia kidogo kidogo yule shemeji wakati nilikua nampenda sana hata alihisi kuna kitu i think, pia alikua na roho nzuri sana yule dada ila nikamchukia na nikiona wanagombana hata siwi upande wake tena like before, basi one day kweli kumbe alikua na mimba ila wao wawili tu na mumewe ndio wanajua, basi kumbe mimba tena ilitoka akiwa ndani, akapigia simu friends wake na shangazi yake wakaja kumsaidia, me nimetoka job hapo nakuta hali ndo hivo analia kwa uchungu, nakumbuka niliongea maneno mengi sana that day, nae alikua na hasira mbaya hiyo tukagombana hivo hivo akiwa mgonjwa namtuhumu anatoa mimba makusudi kama hamtaki si amuache, tuligombana sana hadi akanifukuza home, wale wamama wambea walikua nnje wanaskiza nilipotoka wananipongeza , mpaka wakanipa room kwao nikalala sababu ilikua usiku ila yule bro alikua hajarudi, nikaona kwenye dirisha shemeji katoa vitu vyangu vilivyobaki akavichoma moto hapo analia kwa uchungu na hasira, kumbe bwana anamatatizo tu ya kiafya na mimi nilikua sijui thats why mimba hua zinatoka pia.

Tukaachana me nikaenda kwa my friend mwingine alikua ashaanza chuo IFM alikua amepanga nyumba somewhere. Basi after like 1 year ushapita yule bro akanicall shemeji yako amejifungua mtoto wa kiume, nikampongeza hapo bado hatuongei na yule shemeji hata sikumpigia hata simu.

One day kama after 3 month yule bro tena usiku akanipigia akiwa na hudhuni kuu , akaniambia aisee shemeji yako hatunae tena, niliogopa sana nikamuuliza what happened akasema miaka yote shemeji yako ana kisukari, tena kikali sana na anaishi kwa hayo ma insulin, akasema jana yake waliendesha gari hadi morogoro kulikua na msiba wa babu wa huyo mwanamke so wakawachukua na ndugu baadhi wakaenda nao, walipofika shemeji akakumbuka amesahau kubeba insulin, na akamwambia please ninunulie insulin huku tafadhari manake nina stress ila bro akasema haina shida tutawahi kurudi (ubahili japo anasema aliona.mbona huwa anaweza kukaa hata 4 days au wiki nzima bila kuchoma so akaona kawaida tu hakuna kitu kitatokea in 24 hours) wakasema kesho yake wawahi kurudi (alikua muslim family so walizika siku hiyo hiyo) basi akasema asubuhi yake wameamka fresh tu akiwa mzima ila huyo bro kumbe alimgombeza sana wakafokezana na according tu doctor kumbe alikua haruhusiwi hata kua na stress sababu hiyo inapandisha sukari yake kwa haraka sana anaweza kufa, kumbe sukari ilipanda na alikua hana insulin, wakawasha gari kurudi Dar na kwenye gari wanasema alikua fresh tu, wamefika wanaita maili moja akasema wacha nilale, akalala, hadi wanafika ubungo bado amelala , sasa wanawashusha watu wengine walikua kwenye gari wanamuamsha haamki, kumbe ashakufa kitambo ni wa baridi na kaacha katoto kachanga ka 3 month, nikakumbuka lile tukio nilomfanyia na kumbe halikua kosa lake mimba kutoka ila ni sababu ya kisukari, nikaja kujua kumbe yeye ndio alikua hata anataka mtoto sana sana ila anashindwa na hicho kitu kimemuuma miaka mingi, hadi leo najiskia vibaya sana, nikaja kuangalia account yangu ya facebook nikakuta kumbe alinitafutaga kunijulia hali few days ago na akanipigia pia ila number ikawa haipatikani as nilimblock, aisee shemeji.nisamehe sana , hii kitu hadi leo inaniuma sana, sikupata nafasi ya kumuomba samahani eeeh Mungu i hope umenisamehe kwa hili. Alikua anakisukari thats why hata nilipomuapset wale wamama walinipia simu after two days amelazwa hospital. God forgive me kwa kile nilifanya[emoji20].

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Wale wamama Ni wapumbafuuu sna
 
Yamenikuta km yako mi ni mwaka mmoja nyuma tena mke wangu na nina watoto nae tumegombana kwa kisa kdgo tu nikamludisha kwao amekaa km mwaka kwao lkn tunaendelea na mausiano yetu km kawaida siku ya tarehe 1 mwenzi wa 10 saa kumi 11 nampigia cm anapokea mtoto analia ananiambia baba njoo kanisani mama kaanguka nampigia mkubwa wao ananiambi njoo anaendelea vzr yupo hospital nafika naambiwa amefariki njiani.HAWA POPOTE ULIPO JUA BADO NAKUPENDA JAPO NINA MKE MWINGINE NA MTOTO WA KIUME AMBAE MI NAWEWE HATUKUBAHATOKA KUMPATA ILA MAISHA YA WOTOTO NI MAZURI SN MKUBWA YUPO CHANG'OMBE ANAINGIA KIDATO CHA SITA MWINGINE YUPO KIDATO CHA KWANZA NA G YUPO DARASA LA PILA ILA YULE MWANAMKE ULIEMCHUKIA NDO AMEKUWA MKE WANGU NA ANALEA WATOTO VZR PAKA NDUGU ZAKO WANAMWONA KM NDUGU YAO
Enemy of my enemy is my friend.. Pole na hongera
 
Najuta kuishi bila wazazi, najuta kulelewa. Nimepigwa sana pasipo na kosa na kaka zangu watoto wa baba yangu mlezi, kwa kujazwa uongo na mama yao.
Ila nimejifunza sana, ni mnyenyekevu na msikivu, shida walinipa uoga mno.

Tunasahau, ila nilikua kwa kudra za Mungu tu. Na finally, I'm the best! [emoji106][emoji817]
Very sorry , I feel your pain
 
Back
Top Bottom