gigapixel
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 297
- 334
Duh! Uzi mrefu kiasi
Mwishoni mwa mwa mwaka 2011 karibia na kipindi cha msimu wa sikukuu nikiwa nasubiri majibu ya mtihani wa kidato cha nne. Nilikuwa naishi na bibi yangu katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini.
Nilikuwa napenda sana kujifanya msela na kuiga uhuni kampani yangu kubwa ilikuwa ni masela kwahiyo bangi, viroba na sigara vilikuwa vinahusika sana pale tunapokuwepo kijiweni
Siku moja tukiwa kijiweni tulikuwa raia wawili tu siku hio alikuja mama mmoja akatupa tenda ya kumsaidia kupakia chupa, vinywaji na mazaga mengine ,(huyo mama alifiwa na mmewe miezi kama miwili nyuma mmewe alikuwa anafanya biashara ya kuuza vinywaji vya kawaida na vileo baada ya kufariki mmewe huyo mama alimua kufunga biashara).
Baada ya kumaliza kupakia kuna vitu vingine aliviacha ambavyo hakua na uhitaji navyo. Katika vitu alivyoviacha kuna boksi moja lilikuwa limejaa viroba vilikuwa vinaitwa double punch (sio double kick) vilikuwa kwenye pakti ya nylon. Yule mama alivyomaliza kupakia vitu vyake na kuondoka mimi nilichukua lile boksi la viroba nikaenda nalo gheto nikalificha lengo la kuficha ilikuwa nikawauzie washkaji wangu jumapili tukienda club
Ilivyofika jumapili tayari nishakula viwalo kwa ajili ya kwenda disko shetani akanibadilisha akili badala ya kuchukua viroba nikawauzie wadau mimi nikachukua chupa ya maji ya lita moja nikachana viroba vyote nikavijaza kwenye chupa japo chupa haikujaa. Nikachukua chupa yangu yenye double punch nikatembea nayo kama nimeshika maji vile mpaka club.
Kuingia club huku nailambalamba ile double punch nikakutana na demu mmoja wa mtaani anaitwa Judy tumecheza ile ya kukaribiana zero distance, yule demu akaniuliza wewe umekunywa nini mbona mdomo wako unanukia kama nanasi.
Mimi bila wasiwasi nikamwambia kilichomo kwenye chupa. Kama masikhara yule demu akaniomba aonje akapiga pafu ndefu kama maji huku anajifanya analalamika kali.
Baada ya sekunde kadhaa akachangamka ile sio kama mwanzo huku anayumba kwa mbali mara anivute, anikalie full vibe.
Mda kidogo kupita Judy akiwa bado na vibe akainga'ng'ania ile chupa yenye vitu hapo ikiwa imebaki kama robo ( chupa ilikuwa ya lita moja) akainywa tena kwa fujo baada ya nusu saa zile mbwembwe zote zikaisha akatulia kimya kama kalala yupo kama hajielewi hivi sio yule wa saa moja nyuma. Baada ya mda kidogo tukiwa tumekaa wote kwenye kochi moja nikahisi tofauti kumcheki vizuri nakuta demu kajichafua kote.
Nikaona hapa ishakua soo nikapotea fasta yale maeneo, kumbe kuna wahuni huku nyuma sijui waliusoma mchezo walichomfanya kwenye vyoo vya club ni zaidi ya aibu....
Kesho yake asubuhi saa 3 kasoro nakuta polisi hawa hapa nikapokelewa na vibao na matusi mpaka kwenye difenda nilipigwa sana polisi.
Kumbe kule hospital demu ananitaja mimi tu huku analia vibaya mno
Ni kesi ya kipumbavu iliyosababisha familia irudi nyuma sana kimaisha na ndo mara yangu ya kwanza kulala lockup tena nikiwa na miaka 17 tu kwa siku 9 sitegemei kama itajirudia tena
Namshukuru sana mshua wangu kwa busara, weledi na ujasiri wake bila yeye sijui ingekuwaje!
I'm sorry Judy japo sijawahi kukuona tena
Mwishoni mwa mwa mwaka 2011 karibia na kipindi cha msimu wa sikukuu nikiwa nasubiri majibu ya mtihani wa kidato cha nne. Nilikuwa naishi na bibi yangu katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini.
Nilikuwa napenda sana kujifanya msela na kuiga uhuni kampani yangu kubwa ilikuwa ni masela kwahiyo bangi, viroba na sigara vilikuwa vinahusika sana pale tunapokuwepo kijiweni
Siku moja tukiwa kijiweni tulikuwa raia wawili tu siku hio alikuja mama mmoja akatupa tenda ya kumsaidia kupakia chupa, vinywaji na mazaga mengine ,(huyo mama alifiwa na mmewe miezi kama miwili nyuma mmewe alikuwa anafanya biashara ya kuuza vinywaji vya kawaida na vileo baada ya kufariki mmewe huyo mama alimua kufunga biashara).
Baada ya kumaliza kupakia kuna vitu vingine aliviacha ambavyo hakua na uhitaji navyo. Katika vitu alivyoviacha kuna boksi moja lilikuwa limejaa viroba vilikuwa vinaitwa double punch (sio double kick) vilikuwa kwenye pakti ya nylon. Yule mama alivyomaliza kupakia vitu vyake na kuondoka mimi nilichukua lile boksi la viroba nikaenda nalo gheto nikalificha lengo la kuficha ilikuwa nikawauzie washkaji wangu jumapili tukienda club
Ilivyofika jumapili tayari nishakula viwalo kwa ajili ya kwenda disko shetani akanibadilisha akili badala ya kuchukua viroba nikawauzie wadau mimi nikachukua chupa ya maji ya lita moja nikachana viroba vyote nikavijaza kwenye chupa japo chupa haikujaa. Nikachukua chupa yangu yenye double punch nikatembea nayo kama nimeshika maji vile mpaka club.
Kuingia club huku nailambalamba ile double punch nikakutana na demu mmoja wa mtaani anaitwa Judy tumecheza ile ya kukaribiana zero distance, yule demu akaniuliza wewe umekunywa nini mbona mdomo wako unanukia kama nanasi.
Mimi bila wasiwasi nikamwambia kilichomo kwenye chupa. Kama masikhara yule demu akaniomba aonje akapiga pafu ndefu kama maji huku anajifanya analalamika kali.
Baada ya sekunde kadhaa akachangamka ile sio kama mwanzo huku anayumba kwa mbali mara anivute, anikalie full vibe.
Mda kidogo kupita Judy akiwa bado na vibe akainga'ng'ania ile chupa yenye vitu hapo ikiwa imebaki kama robo ( chupa ilikuwa ya lita moja) akainywa tena kwa fujo baada ya nusu saa zile mbwembwe zote zikaisha akatulia kimya kama kalala yupo kama hajielewi hivi sio yule wa saa moja nyuma. Baada ya mda kidogo tukiwa tumekaa wote kwenye kochi moja nikahisi tofauti kumcheki vizuri nakuta demu kajichafua kote.
Nikaona hapa ishakua soo nikapotea fasta yale maeneo, kumbe kuna wahuni huku nyuma sijui waliusoma mchezo walichomfanya kwenye vyoo vya club ni zaidi ya aibu....
Kesho yake asubuhi saa 3 kasoro nakuta polisi hawa hapa nikapokelewa na vibao na matusi mpaka kwenye difenda nilipigwa sana polisi.
Kumbe kule hospital demu ananitaja mimi tu huku analia vibaya mno
Ni kesi ya kipumbavu iliyosababisha familia irudi nyuma sana kimaisha na ndo mara yangu ya kwanza kulala lockup tena nikiwa na miaka 17 tu kwa siku 9 sitegemei kama itajirudia tena
Namshukuru sana mshua wangu kwa busara, weledi na ujasiri wake bila yeye sijui ingekuwaje!
I'm sorry Judy japo sijawahi kukuona tena