Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Hii umekopi na kupaste katika movie moja hivi ya kichina. Hivi hivi umebadili tu majina ya maeneo. Sikumbuki ile movie inaitwaje ni ya comedy. Na nlijua lazima watakuja watu waanze kuuza chai humu. Movie ipo hivi hivi kila kitu. Kasoro majina na hiyo michezo wenyewe walitumia yule mtu anayekaa chini anajifanya kilema kumbe kakunja mguu pale kwenye goti kaweka kofia. The rest ni story hiyo hiyo mpaka kuvua sweta, kushuka kwa mbele kwenye daladala...kuja rudi kumchapa mapanga ya ubapa.kuchukua pochi n.k
 
Na ujitahido sana uwe unavaa smart kila unapotoka home...
Na style ya nywele iwe smart
 
Watu wafukunyuku,kaitoa huko majina kaweka ya Rock City, anyway tumeburudika.
 
Jaribu kuwa smart acha uchafu, we ulifanana na hao masela waliokamatwa
 
***** eti uwiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila si tulipigwa wote braza,,,nipo huku ukerewe Kama vp njoo unipige
 
Unajua humu tunakutana watu wenye uzoefu mbalimbali...unaweza ukaongea kitu ukidhani watu hawafahamu kumbe wanafahamu... Jamaa ameniacha hoi sana. Hakutegemea kabisa....
Watu wafukunyuku,kaitoa huko majina kaweka ya Rock City, anyway tumeburudika.
Ju
 
Aiseh yani apo ndo unajkta unajutia kitu afu bado hjakikamlisha
 
Napamban ila wap.saiv Sina confidence Kwa wadada nikiwa alone Ngoma inasimama kama ukuni ila nikiwa Dem Ngoma inagoma *****
Nyeto sio sababu mkuu tatizo ni kuhamisha hisia na kupoteza kujiamini, mimi nilikua mtu pisi sana tena sanaa na yeto napiga na show nafanya ya maana,
Kuwahi kukojoa kwa mwanaume sio tatizo wengi wetu hawajui kisa matangazo ya wauza dawa ndio yanatuzingua,
Unaeza kuwahi ukajipa dk kadhaa ukaendelea kama pumzi imekata au km nguvu zipo unaunganisha,
Huna tatizo mkuu ni wewe kucheza na hisia zako tu.
Pia nakushauri umtafute demu anaekuelewa mwelezee ukweli kua uko na shida ya kutojiamini sababu ya kupiga nyeto sana unataka kuacha so akuvumilie urudi kwa ubora wako hata ikitokea ukefeli hutajiskia vibaya atakufikiriaje bali atakua anakufariji mwisho unajikuta unajiamini unakua kamili.
 
Funzo: usifanye maamuzi ukiwa na nyege
 
[emoji23][emoji23][emoji23] bao la sekunde mbili, madhara yake sasa...
 
Mimi nakumbuka kipindi nasoma darasa la tano na Dada yangu alikuwa kidato cha kwanza .siku moja Dada alitutoroka ndani akaenda kulala kwa mwanaume asubui saa 12 akarudi huku mzee hajui basi pale mimi so nikamsemelea kwa mzee aisee mzee alimtandika sister hadi akazimia Baadae akafufuka , kumbe Dada alikuwa na mimba kidogo Sasa kutoka na kipigo ile mimba ikaharibika Akapelekwa hospital daah aisee Dada akafariki hilo naumia hadi leo bora nisinge sema na Baba nae akafungwa Jela miak 9 bahati zuri alotolewa kwa msamaha wa Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…