MWANAMKE WA KIHA
Wkt npo kdato cha 5 nlimpenda mdada mmoja muha black beauty hv,saut tamu, hips htr. Nikamtongoza kachomoa na alihama shule, nlikuja kutana nae tuko chuo mi udom ye udsm nikatongoza tena akatick uzuri nlikua naish dsm. Nikaanza chakata mbususu we sjui ilikuaje maisha yng yalibadilika yakawa ya hovyo sn chuo nikawa sieleweka kila wkend npo dar kwa demu, mbaya zaid yule mdada akaniteka nikawa sina saut kwake nlikuwa radhi nimkabz boom mi niishi kwa kuungaunga tu. Hakika aliniteka sku 1 alinambia hana hela ya kula nimtumie na mi kwny akaunt nlibakiwa na elf 20 tu nikamtumia yote, nikabak kuungaunga na kumsumbua mzee wng. Baada ya kama sku 2 udsm wakapata boom, huku udom bado nikamwambia niazme elf 50 bs we mdada alinitukana hv TAFUTA MWANAUME AKUFIRE AKUPE HIYO HELA niliumia sn nikanyenyekea na kuomb msamaha wkt mi ndo nimetukanwa ili asiniache. Najuta sn kudate na yule mdada nlizaa nae binti ambaye kafanana na mimi kila ktu mpk kutembea.