Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
 
Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mnooo yaan khaaaah
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
Hahahahaahahah
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
Dah inauma mbaya
 
Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
We mwana pamoja na Cayafas hamuendi mhinguni
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
Kupona na miwaya ni kumshukuru Mungu tu, kuna wahuni kibao hawapati, mwana mara moja tu kaungwa
 
Nilifaulu A Level moja ya shule bora Mkoani kilimanjaro, Kipindi hicho ndo nipo maskani nafanya maandalizi ya kununua baadhi ya vitu ili niweze kusafiri siku inayofuata, Nakumbuka nilikuwa nimepiga mishe mishe nyingi sana kitaa tangu nilivyomaliza form 4 nikajichanga kununua simu ya elfu 40 ya button , kipindi hicho ni simu nzuri sana yenye display ya visamaki vikiwa vinatambaa, pia nikanunua baadhi ya vitu vya muhimu vya shule kama sabuni, viatu, sare nk. na hela ikawa imeshakata, nikabaki na hela ya ada nikaamua kuiweka kwenye simu ili nikifika Moshi niweze kuitoa nikalipie shuleni.

Sikuwahi kufika Moshi kabla, na Mzee hakunipeleka kwani alikuwa anasumbuliwa sana na miguu kipindi hicho, Ikabidi nikomae mwenyewe nianze safari, bahati nzuri nikawa nimepata connection ya mawasiliano na bro mmoja aliyemaliza shule kabla yetu hivyo alipangiwa shule ninayoenda mimi , yeye alikuwa form 6. Akaanza kunielekeza baadhi ya vitu na kipi nifanye nikifika moshi. Haya Safari ikaanza, nilikuwa natokea Dodoma, Kipindi hicho unapitia kwanza Singida kabla ya kujengwa hii barabara ya shortcut ya babati. Safari imeanza vizuri tu tukafika Singida fresh, tukapiga tea dakika 10 tukaingia tena kwenye basi hadi babati, nafika babati tukaambiwa tuna dakika 10 za kula msosi, Nimekula fresh nikaingia kwenye basi nikae, kujisachi sion simu, nikakumbuka niliiweka mfuko wa shati, akili ikanijia na nikajua hapa nimeshapigwa. Kumwambia konda sioni simu akazidi kukazia ,dogo hapa ushaibiwa, Sio sehemu nzuri sana, pole sana...Daaah nikakumbuka laini ilikuwa ni mpya na namba sikuikariri, na nilishaweka hela ya ada, kichwa kikaanza kuniuma. Isitoshe namba ya yule jamaa nikawa nimeipoteza na sikuwa nimeikariri. Nilisafiri kwa mawazo sana siku ile. Nikafika Moshi usika kama saa 2 hivi, mfukoni nina elfu 4, nikaulizia magari yanayoenda shuleni, nikaambiwa huwa yanaenda mwisho saa 2 usiku kwahiyo nilishachelewa, ni nje ya mji kidogo. Dah, ikabidi niombe hifadhi kwenye basi nilale ili kesho niondoke, hapo nishaazima simu sana kumpigia mzee tangu mchana simu yake haipatikani, nikawa chakula cha mbu usiku ule.
Asubuhi nikaelekezwa magari ya shuleni na nikafanikiwa kufika shuleni kwa kulia sana na konda maana nauli ilipelea, sasa shuleni walimu wakawa wanagoma kunipokea sina ada sina godoro, kila napojaribu kuwaelezea mkasa ulionikuta wakawa wanahisi ninatunga, baada ya kuhangaika nao sana wakaniruhusu. Nakumbuka niliishi maisha magumu sana, mahitaji mengi yaliisha mixer madeni ya shuleni nikawa sina amani kabisa. Likizo time sikutaka kwenda home kabisa nilikosa hata nauli, tukabaki mimi na wenzangu (hasa wanafunzi waliokuwa wakiishi mikoa ya mbali kama kigoma na mwanza,) tukawa tunamsaidia mwalimu wa economics kulima shamba lake na kupanda, namshukuru sana likizo yote tulitumia shambani, alikuwa anatulipa vizuri sana na alikuwa mkarimu sana yule mwalimu (RIP), tulivyofungua Shule shida zote zikawa zimeisha nikafanikiwa kupunguza madeni na pia ile hela iliyokuwa kwenye laini voda waliirudisha kwani nilienda kurenew laini, kuna bro yule wa shulen alikuwa na namba yangu, hivyo kurenew ikawa simple sana, nikawa don sasa shulen hadi wanafunzi wakashangaa.
Ila nilijutia sana kuipoteza simu yangu, niliitumia siku moja tu, na niliitafuta kwa hela ya jasho langu😞
We mwizi uliyeniibia simu babati kama upo humu Mataccor yako

YNWA
 
Mim mpaka leo najuta kuwahadithia washkaj zangu namna nilivyomla jimama la miaka 45+.

Yaan mpaka leo wakimuona lazima wanizingue halaf jimama lenyewe halivungi likiniona na washkaj lazima lije[emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana aisee
 
Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
Sasa hapa unajutia nini mkuu?

Kumbe ndio maana ulikua unakimbia mitihani.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilifaulu A Level moja ya shule bora Mkoani kilimanjaro, Kipindi hicho ndo nipo maskani nafanya maandalizi ya kununua baadhi ya vitu ili niweze kusafiri siku inayofuata, Nakumbuka nilikuwa nimepiga mishe mishe nyingi sana kitaa tangu nilivyomaliza form 4 nikajichanga kununua simu ya elfu 40 ya button , kipindi hicho ni simu nzuri sana yenye display ya visamaki vikiwa vinatambaa, pia nikanunua baadhi ya vitu vya muhimu vya shule kama sabuni, viatu, sare nk. na hela ikawa imeshakata, nikabaki na hela ya ada nikaamua kuiweka kwenye simu ili nikifika Moshi niweze kuitoa nikalipie shuleni.

Sikuwahi kufika Moshi kabla, na Mzee hakunipeleka kwani alikuwa anasumbuliwa sana na miguu kipindi hicho, Ikabidi nikomae mwenyewe nianze safari, bahati nzuri nikawa nimepata connection ya mawasiliano na bro mmoja aliyemaliza shule kabla yetu hivyo alipangiwa shule ninayoenda mimi , yeye alikuwa form 6. Akaanza kunielekeza baadhi ya vitu na kipi nifanye nikifika moshi. Haya Safari ikaanza, nilikuwa natokea Dodoma, Kipindi hicho unapitia kwanza Singida kabla ya kujengwa hii barabara ya shortcut ya babati. Safari imeanza vizuri tu tukafika Singida fresh, tukapiga tea dakika 10 tukaingia tena kwenye basi hadi babati, nafika babati tukaambiwa tuna dakika 10 za kula msosi, Nimekula fresh nikaingia kwenye basi nikae, kujisachi sion simu, nikakumbuka niliiweka mfuko wa shati, akili ikanijia na nikajua hapa nimeshapigwa. Kumwambia konda sioni simu akazidi kukazia ,dogo hapa ushaibiwa, Sio sehemu nzuri sana, pole sana...Daaah nikakumbuka laini ilikuwa ni mpya na namba sikuikariri, na nilishaweka hela ya ada, kichwa kikaanza kuniuma. Isitoshe namba ya yule jamaa nikawa nimeipoteza na sikuwa nimeikariri. Nilisafiri kwa mawazo sana siku ile. Nikafika Moshi usika kama saa 2 hivi, mfukoni nina elfu 4, nikaulizia magari yanayoenda shuleni, nikaambiwa huwa yanaenda mwisho saa 2 usiku kwahiyo nilishachelewa, ni nje ya mji kidogo. Dah, ikabidi niombe hifadhi kwenye basi nilale ili kesho niondoke, hapo nishaazima simu sana kumpigia mzee tangu mchana simu yake haipatikani, nikawa chakula cha mbu usiku ule.
Asubuhi nikaelekezwa magari ya shuleni na nikafanikiwa kufika shuleni kwa kulia sana na konda maana nauli ilipelea, sasa shuleni walimu wakawa wanagoma kunipokea sina ada sina godoro, kila napojaribu kuwaelezea mkasa ulionikuta wakawa wanahisi ninatunga, baada ya kuhangaika nao sana wakaniruhusu. Nakumbuka niliishi maisha magumu sana, mahitaji mengi yaliisha mixer madeni ya shuleni nikawa sina amani kabisa. Likizo time sikutaka kwenda home kabisa nilikosa hata nauli, tukabaki mimi na wenzangu (hasa wanafunzi waliokuwa wakiishi mikoa ya mbali kama kigoma na mwanza,) tukawa tunamsaidia mwalimu wa economics kulima shamba lake na kupanda, namshukuru sana likizo yote tulitumia shambani, alikuwa anatulipa vizuri sana na alikuwa mkarimu sana yule mwalimu (RIP), tulivyofungua Shule shida zote zikawa zimeisha nikafanikiwa kupunguza madeni na pia ile hela iliyokuwa kwenye laini voda waliirudisha kwani nilienda kurenew laini, kuna bro yule wa shulen alikuwa na namba yangu, hivyo kurenew ikawa simple sana, nikawa don sasa shulen hadi wanafunzi wakashangaa.

YNWA
Na wewe hapa unajutia nini sasa?
Mashabiki wa Liverpool mkoje lakini?
 
NAIROBI

Kipindi fulani nimepata mchongo Nairobi, Kenya.

Kwenye kampuni moja hivi inajihusisha na mauzo ya mfumo fulani wa Computer [Sitasema ni System gani].

Mfumo ulikua umekamilika kisawasawa kulingana na namna ulivyokua unafanya kazi katika kutimiza mahitaji ya wateja. Kwaiyo bei yake ilikua imechangamka kidogo lakini makampuni yalilipia bila shida kwa sababu ya namna ambavyo mfumo uliwarahisishia kazi.

Sasa huo mfumo ulikua una ada zake za kila mwaka (annual subscriptions fees) ambazo nazo ni kubwa kidgo kwa wale wateja ambao bado wanaendelea kutumia huo mfumo. Ila kwa wale ambao wameshindwa kulipia, mfumo unafungwa (license ina expire) hadi watakapolipia tena.

Mimi na Jamaa yangu mmoja tukaona fursa kwa wale ambao wanashindwa kuendelea kutumia mfumo kwa sababu ya gharama zake kuwa kubwa. Tukaingia mzigoni kucheza na lile file la license (lilikua limesukwa na lugha ya Delphi) mpaka tukafanikiwa kujua namna ya kulichezesha ili mfumo uendelee kufanya kazi. NB: Hiki sio kitu kizuri, Usijaribu utafungwa!

Kampuni ilikua ina milikiwa na wazungu, kwaiyo sisi tunatumwa kufanya marketing, installations na trainings kwa wateja. Pia tulikua tunafanya support kwa wale wanaokutana na changamoto za mfumo hata baada ya kuanza kuutumia. Kwaiyo tulikua tunajua A2Z ya wateja wote ambao tulikua tunafanya nao kazi vizuri.

Sasa basi, baaada ya kufanikiwa kucheza (crack) na license file, tukaanza kuwa approach wateja waliokua wanatumia mfumo halafu wakashindwa kuendelea nao kimya kimya na kuwapa offer ya punguzo la bei na namna wanavyotakiwa kufanya malipo (tukabadilisha hadi zile payments methods, mpunga uwe unaingia kwetu). Duh, ujanja ujanja sio kitu kizuri ila anyway I have learnt my lessons!

Sio siri jamaa walikua wanatulipa vizuri sana plus allowance za kukidhi mahitaji ila ndoivo tamaa haina aibu. Tukaanza kupiga hela, chezea discount wewe! Wateja wote waliokua wamekufa wakafufuka na mtonyo tukawa tunapokea sisi. Si tukajisahau...asalaaaaleee. Siku moja mteja mmoja akawa amekwama kufanya kitu kwenye mfumo sasa ile kututafuta mimi sikua online, jamaa yangu naye alikua anakula bata kama kawaida yake maana illikua ni siku ya jumapili kama leo. Heheee

Saa ngapi yule mteja asitafute contacts za mzungu aanze kuwasiliana naye na wakati sisi tulisha update taarifa zake kwenye mfumo wa CRM kuwa ni Dead Customer. Si akafunguka kuwa alikua anatumia mfumo toka kitambo tu na alikua anawasiliana na sisi...duuuh

Wazungu wakatusubiri Juma3 Ofisini. Hatuna hili wala lile. Tuko na hangover zetu. Kwa namna salamu zilivyokua zinapokelewa ofisini na namna tulivyokua tunapewa zile weird looks nikajua kuna kitu hakiko sawa hapa. Machale yakanicheza kidgo lakini haikusaidia.

Nikashangaa mimi na jamaa tu ndio tunaitwa kwenye kikao cha dharura. Duuuh tukavuliwa nguo vibaya sana. Heshima yote tuliyokua tumejijengea ofisini pale ikayeyuka yooote! Kumbe hadi emails zimeshatumwa kwa wateja wote kuwa sisi sio wafanyakazi wa pale tena, sisi hata hatujui. Kumbe tumeshatolewa kila mahali wafanyakazi wote wanajua hata hatuelewi.


Tukanyang'anywa kila kitu cha ofisi. Kazi hakuna. Nikapewa siku mbili tu za kubaki kwa kenyatta zaidi ya hapo nikionekana nadhurura ni ndani. Na hiyo pia ni kama favor tu nilipewa maana wangeamua kwenda mahakamani ilikua ni ndani moja kwa moja.


Dah niliteseka sana baada ya hapo. Kwa sababu connections zote nilizokua nazo zilikua zinatokana na kazi za hao jamaa na wameshachafua hali ya hewa kila mahali. Nilisota sana kupata kazi nyingine.

Kuna kipindi nikaanza kukumbuka maisha niliyokua naishi pale Ruaka Dah.. Nikawa najuta sana. Nikaweka nadhiri rasmi sitakaa nijihusishe na illegals tena!


Na hilo likawa funzo langu!
Pole sana Mkuu. Ila kwenye maisha hayahaya tuliyonayo, bila unyonyaji, cheating, wizi, kurefusha mkono n.k kufanikiwa ni kugumu mno. Cha msingi ukizipata hata kama ni za wizi ziwekeze vyema.
 
Back
Top Bottom