Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa,nilikuwaga na kisimu changu Nokia kipindi hiko) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia mimi hapa sikuja kuolewa nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita tena kwenye corridor maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?halafu nikawa namkunjia sura ile kihuni kwamba mimi siyo wa mchezo mchezo....wee nilijuta!!!miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta wamama waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokitaka mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea (nilikuwa nakimbia kimbia situlii sehemu moja kwa kuogopa kukamatwa) alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.
dah naumwa ila nimecheka sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mara nyingi sipend kukoment huwa nasoma tu ila jambo ninalojuta mpaka kifo changu ni mamayangu mdogo alikua anaiita mziwanda japo mimi kwetu ni mtoto wa 3 kuzaliwa tupo wa 4 kifupi tulikua tunapendana sana hata jando yangu ya kwanza nilipata nikiwa kwake,

Kipind anaumwa nilikua nishakua mkubwa lakin bado tu close sana sasa sijui ni uoga na kuamini atapona nipata taarifa mama yako mdogo mpendwa wako anasema ukamsalimie hospital nikasema nitaenda akitoka (kosa kubwa sana nilifanya japo niliamini atapona nitaenda kumchek akiwa mzima)
Nilikua sipend kwenda kumuangalia mgonjwa nilikua kama naona kama namkejel hiv so nikasema akitoka nitaenda kumchek tuu)

Alikua anauza viatu vya kimasai na kabla hajapelekwa hospital mama yangu mzazi (dada yake mkubwa) alienda kumsalimia akampa pair moja anipe.

Huwez kuamini baada ya siku kadhaa kama siku 3 akafarik BILA KWENDA KUMUONA MUHIMBILI HOSPITAL.

Hili jambo huwa linaniuma sana sana sana nikikumbuka wema wake kwangu na nilichofanya huwa najuta sana yan nataman siku zingerudi nyuma huwa nikiona picha zake na kukumbuka wema wake kwangu huwa najuta najuta najuta
Nyie acheni tu
 
Mara nyingi sipend kukoment huwa nasoma tu ila jambo ninalojuta mpaka kifo changu ni mamayangu mdogo alikua anaiita mziwanda japo mimi kwetu ni mtoto wa 3 kuzaliwa tupo wa 4 kifupi tulikua tunapendana sana hata jando yangu ya kwanza nilipata nikiwa kwake,

Kipind anaumwa nilikua nishakua mkubwa lakin bado tu close sana sasa sijui ni uoga na kuamini atapona nipata taarifa mama yako mdogo mpendwa wako anasema ukamsalimie hospital nikasema nitaenda akitoka (kosa kubwa sana nilifanya japo niliamini atapona nitaenda kumchek akiwa mzima)
Nilikua sipend kwenda kumuangalia mgonjwa nilikua kama naona kama namkejel hiv so nikasema akitoka nitaenda kumchek tuu)

Alikua anauza viatu vya kimasai na kabla hajapelekwa hospital mama yangu mzazi (dada yake mkubwa) alienda kumsalimia akampa pair moja anipe.

Huwez kuamini baada ya siku kadhaa kama siku 3 akafarik BILA KWENDA KUMUONA MUHIMBILI HOSPITAL.

Hili jambo huwa linaniuma sana sana sana nikikumbuka wema wake kwangu na nilichofanya huwa najuta sana yan nataman siku zingerudi nyuma huwa nikiona picha zake na kukumbuka wema wake kwangu huwa najuta najuta najuta
Nyie acheni tu
Pole Sana ..inauma Sana..
Na Mimi Kuna Bibi yake mke wangu..alikuwa ananipenda Sana..aliugua akatwambia niende nimuone lakini sikwenda..baada ya muda akafariki bila Mimi kwenda kumuona..inaniuma Hadi Leo..nilikosea Sana..
 
Mara nyingi sipend kukoment huwa nasoma tu ila jambo ninalojuta mpaka kifo changu ni mamayangu mdogo alikua anaiita mziwanda japo mimi kwetu ni mtoto wa 3 kuzaliwa tupo wa 4 kifupi tulikua tunapendana sana hata jando yangu ya kwanza nilipata nikiwa kwake,

Kipind anaumwa nilikua nishakua mkubwa lakin bado tu close sana sasa sijui ni uoga na kuamini atapona nipata taarifa mama yako mdogo mpendwa wako anasema ukamsalimie hospital nikasema nitaenda akitoka (kosa kubwa sana nilifanya japo niliamini atapona nitaenda kumchek akiwa mzima)
Nilikua sipend kwenda kumuangalia mgonjwa nilikua kama naona kama namkejel hiv so nikasema akitoka nitaenda kumchek tuu)

Alikua anauza viatu vya kimasai na kabla hajapelekwa hospital mama yangu mzazi (dada yake mkubwa) alienda kumsalimia akampa pair moja anipe.

Huwez kuamini baada ya siku kadhaa kama siku 3 akafarik BILA KWENDA KUMUONA MUHIMBILI HOSPITAL.

Hili jambo huwa linaniuma sana sana sana nikikumbuka wema wake kwangu na nilichofanya huwa najuta sana yan nataman siku zingerudi nyuma huwa nikiona picha zake na kukumbuka wema wake kwangu huwa najuta najuta najuta
Nyie acheni tu
Umenikumbusha kisa cha binti mmoja aliyefariki mwanzoni mwa mwaka huu wa 2022, siku za nyuma kabla ya kifo chake alionyesha dalili za kunipenda sana kimapenzi na nilijua ila sikutaka kuingia mkenge sababu ameolewa na jamaa yake nafahamiana naye japo hatuko karibu sana.

Yule binti alipoona sielewi somo siku moja akajifanya amelewa, akasema yote ya moyoni kuhusu mimi, nilimsikiliza na nilielewa kiasi gani anamaanisha ila bado nikapuuza sababu ameolewa.

Wiki kadhaa baadaye akafariki kwenye ajali, huwa nawaza mengi sana. Ni kama alijua atakufa, bahati nzuri alikufa akiwa ameshatua mzigo wa moyo, imebaki siri kubwa, siri kati yangu na marehemu. Kila nikimuona mwanaye namkumbuka sana mama yake.

Ni miezi sita sasa, endelea kupumzika mama Ade***ina. Hata ungekuwa hai sikuwa na namna ya kukusaidia ulikuwa mke wa mtu nami mume wa mtu.
 
Niliwahi pita na nguruwe kwenye pikipiki mbele ya Msikiti dah tulichapana sana na madogo wa msikitini pale. Wakanizidia bahati raia wakajaa. Ila nilizongwa sana. Nilichapika sana
[emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha kisa cha binti mmoja aliyefariki mwanzoni mwa mwaka huu wa 2022, siku za nyuma kabla ya kifo chake alionyesha dalili za kunipenda sana kimapenzi na nilijua ila sikutaka kuingia mkenge sababu ameolewa na jamaa yake nafahamiana naye japo hatuko karibu sana.

Yule binti alipoona sielewi somo siku moja akajifanya amelewa, akasema yote ya moyoni kuhusu mimi, nilimsikiliza na nilielewa kiasi gani anamaanisha ila bado nikapuuza sababu ameolewa.

Wiki kadhaa baadaye akafariki kwenye ajali, huwa nawaza mengi sana. Ni kama alijua atakufa, bahati nzuri alikufa akiwa ameshatua mzigo wa moyo, imebaki siri kubwa, siri kati yangu na marehemu. Kila nikimuona mwanaye namkumbuka sana mama yake.

Ni miezi sita sasa, endelea kupumzika mama Ade***ina. Hata ungekuwa hai sikuwa na namna ya kukusaidia ulikuwa mke wa mtu nami mume wa mtu.
Hamna cha kujutia hapo. Ulifanya uamuzi sahihi.
 
JKT

Katika harakati za kutafuta Ugali nilijikuta nimeomba kujiunga na jeshi la JKT. Nikatupiwa Kigoma, kule Bulombora 821KJ.

Nikapigishwa jaramba na kulishwa vumbi huku nikitazama ziwa Tanganyika kwa ukaribu kabisa lililozungukwa na mawese ya kutosha. Ruka Juu, Kanyaga Chini kwa nguvu mpaka mguu utoke nje ya kiatu.


Mikesha ilivyozidi nikaona hapa nitakufa. Nikaanza harakati za kutafuta nafasi ya kulala vizuri maana zile Dakika 5 unazopewa za kulala hazitoshi kabisa. Nikaanza kutafuta machimbo. Wenzangu wakienda mkesha, mimi najipeleka porini. Siku nyingine nakutana na ma afande na wao wamedoji kwenda lindo wananitimua najikuta nimerudi kulala uvunguni.

Tabia yangu ya kujizoesha kulala ikaanza kunigharimu. Ikafika mahali nikawa siwezi kabisa kwenda kukesha hata siku moja. Nikaanza kuona hadi uvivu wa kwenda kulala mbali na anga letu. Nakumbuka nilikua Eagle Coy.

Siku hiyo nimelala uvunguni nakoroma kabisa, saa ngapi afande asiingie ndani kutafuta watoro. Si akaniskia navyokoroma kule chini ya kitanda. Dah sitasahau hiyo kipigo niliyopewa. Nakumbuka al manusura nipoteze jicho. Maana vile vitanda vimechomelewa kwaiyo kuna kama vichuma flani hivi kama nondo vimejitokeza kwa juu, alinibamiza kichwa kwenye kile kitanda ile nondo ikachubua kidogo pembeni ya jicho.

Sijui nilipata wapi ujasiri nikamsukuma pembeni nikasogeza kioo cha dirisha nikarukia nje nikaanza kukimbia huku nachechemea machozi yananitoka ya kutosha. Jamaa nadhani aliniangalia navyokimbia kwa tabu akanionea huruma akaamua kuachana na mimi huku akisema "Nitakuua Mbwa Wewe".

Nilivyofika walipo wenzangu kwenye mkesha nikapokelewa tena na adhabu za kubiringita na kukwepa ndege za kivita. Dah.. nilihisi mwisho wangu umefika, nikasema kwa sauti "Nakufa" huku machozi yanatoka ili hata jamaa anionee huruma lakini wapi. Yeye kakazana kunioshea na kunifanya mfano kwa wengine. Saiyo pumzi imekata, maumivu kila mahali, machozi yameshatoka mpaka yamekauka, siwezi kuongea tena. Ni kwa Neema za Allah pekee nilifanikiwa kuona tena Jua siku iliyofuata maana nilikua nahisi kabisa nakufa. Hali yangu ilikua mbaya sana!

Sikuwahi kujuta kwenye maisha yangu kama hiyo siku. Nililaani uamuzi wangu wa kwenda huko. Kile kitu kilinikaa sana moyoni kwa muda mrefu. Niliona kabisa huku sio kwangu. Course ilivyoisha, wakati wengine wanasikilizia kwenda JWTZ na Polisi, mimi nikaandaa nauli yangu, nikavizia ule muda tunaotumwa kwenda town...nikatorokea huko mazima na nikaapa sitarudi tena. Ikawa imeisha hiyo!

Kwa kweli mambo ya Jeshi yana watu wake. I was not one of them!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa,nilikuwaga na kisimu changu Nokia kipindi hiko) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia mimi hapa sikuja kuolewa nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita tena kwenye corridor maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?halafu nikawa namkunjia sura ile kihuni kwamba mimi siyo wa mchezo mchezo....wee nilijuta!!!miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta wamama waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokitaka mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea (nilikuwa nakimbia kimbia situlii sehemu moja kwa kuogopa kukamatwa) alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.

[emoji23][emoji23][emoji23]hii story sitochoka kucheka
 
MWANAMKE WA KIHA
Wkt npo kdato cha 5 nlimpenda mdada mmoja muha black beauty hv,saut tamu, hips htr. Nikamtongoza kachomoa na alihama shule, nlikuja kutana nae tuko chuo mi udom ye udsm nikatongoza tena akatick uzuri nlikua naish dsm. Nikaanza chakata mbususu we sjui ilikuaje maisha yng yalibadilika yakawa ya hovyo sn chuo nikawa sieleweka kila wkend npo dar kwa demu, mbaya zaid yule mdada akaniteka nikawa sina saut kwake nlikuwa radhi nimkabz boom mi niishi kwa kuungaunga tu. Hakika aliniteka sku 1 alinambia hana hela ya kula nimtumie na mi kwny akaunt nlibakiwa na elf 20 tu nikamtumia yote, nikabak kuungaunga na kumsumbua mzee wng. Baada ya kama sku 2 udsm wakapata boom, huku udom bado nikamwambia niazme elf 50 bs we mdada alinitukana hv TAFUTA MWANAUME AKUFIRE AKUPE HIYO HELA niliumia sn nikanyenyekea na kuomb msamaha wkt mi ndo nimetukanwa ili asiniache. Najuta sn kudate na yule mdada nlizaa nae binti ambaye kafanana na mimi kila ktu mpk kutembea.
Asee mapenzi ni ufala
 
Nakumbuka mwaka 2018 nlipewa ada 3M ili nikaanze chuo PASIANSI MWANZA
Mhuni nkaweka ada mfukoni, nkafka mwanza nkapanga geto,nunua godoro, gesi na mahitaj mengne kama milioni ikaisha, nkabaki na 2M
Nkaanza kubet naweka stake ya lak 5 kwa game 4 tofauti, nakumbuka nlishinda shinda had mtaji kufika 4M, nkanunua pkpk King lion 1,nkawa napga boda pale buzuruga shule, kipind cha likizo nkawa naenda home kama kawa, sasa ikafka hatua mda wa kumalza chuo ukafka maana cozi ni mwaka mmoja, mzee akaniambia niende kuna mkubwa mmoj yupo ngorongoro anahitaj chet changu, hapo mhuni sijui ata definition ya elephant, kilichotokea mungu pekee ndo anajua, nlibadili line ya sim, had mwaka 2021, ndo nkaenda home nkiwa nipo stable financially, matusi hadi kupelekwa polisi,ila saiv mamb yameisha japo naumia maan mdgo angu alisoma pasiansi na saiv n askar game ngorongor ila mm bado nakomaa na mtaa, USIJARIBU KULA ADA,,, sorry kwa uandish mbovu
 
Nakumbuka mwaka 2018 nlipewa ada 3M ili nikaanze chuo PASIANSI MWANZA
Mhuni nkaweka ada mfukoni, nkafka mwanza nkapanga geto,nunua godoro, gesi na mahitaj mengne kama milioni ikaisha, nkabaki na 2M
Nkaanza kubet naweka stake ya lak 5 kwa game 4 tofauti, nakumbuka nlishinda shinda had mtaji kufika 4M, nkanunua pkpk King lion 1,nkawa napga boda pale buzuruga shule, kipind cha likizo nkawa naenda home kama kawa, sasa ikafka hatua mda wa kumalza chuo ukafka maana cozi ni mwaka mmoja, mzee akaniambia niende kuna mkubwa mmoj yupo ngorongoro anahitaj chet changu, hapo mhuni sijui ata definition ya elephant, kilichotokea mungu pekee ndo anajua, nlibadili line ya sim, had mwaka 2021, ndo nkaenda home nkiwa nipo stable financially, matusi hadi kupelekwa polisi,ila saiv mamb yameisha japo naumia maan mdgo angu alisoma pasiansi na saiv n askar game ngorongor ila mm bado nakomaa na mtaa, USIJARIBU KULA ADA,,, sorry kwa uandish mbovu
Umetisha sana mzee
 
Back
Top Bottom