Tetesi: Kisa kudai mikataba ya kazi; CCM tawi la mitandaoni watimuana

Tetesi: Kisa kudai mikataba ya kazi; CCM tawi la mitandaoni watimuana

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Kuna taarifa nimepenyezewa na rafiki yangu Wa karibu kuwa kuna sintofahamu imeibuka baina ya vijana Wa tawi LA ccm mitandaoni, baada ya baadhi yao kutaka wapewe mikataba ya kazi wanayoifanya badala ya kuendelea kuifanya kama kazi ya kujitolea au isiyo rasmi

Kawa taarifa zaidi imebainika kuwa vijana hao kwa muda mrefu wamekuwa wakilipwa kiasi cha shilingi 7000 kwa Sikh na kiwango hico kimedumu kwa miaka kadhaa bila mabadiliko.

Mtu huyo hakupenda kutaja ID zinazotumiwa na baadhi ya walitimuliwa Bali elieleza kuwa kuna baadhi ya waliokuwa watetezi makini Wa chama hamutawaona tena.
kama hii hali ni kweli basi vijana pande zote wameanza kujitambua na kudai haki pale inapobidi.

hongereni buku 7
 
Watetea mafisadi chadema, mtanyooka tu

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
All in all I like the idea "Tawi la Mitandaoni"

Tumezoea matawi ya mitaani na Diaspora ila ku formalize "mitandaoni" kama Tawi ni idea nzuri sana na ingependeza ikifahamika kabisa hata na viongozi/uongozi wake
 
Back
Top Bottom