mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wakalime sasaa
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wakina jingalao& co Ltd wamechoka kusafishaa vyoo vya lumu---Ni ajira kamili na meneja mwajiri alikuwa Nape , kumbuka kuna yale majina 46 ya mtandaoni yaliyoombewa ajira za ukuu wa wilaya .
Aisee! Umejikakamua ajabu. Angalia usitoe haja mkuu. Hivi bado mnagawiwa bando? Nhinhinhinhiiii! Funny!Watetea mafisadi chadema, mtanyooka tu
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo misukule huwa yanikera sana hadi sometimes najuta kuwa mtz kwa ujinga wanaoufanya humu jfHahaha nimecheka sana
"Tecno Whatever "
Wewe bado hujafukuzwa??Chadema wamefanya ufisad gani???Chadema na ufisadi ni kama nzi kwny kidonda
Tafadhali kabla sijachelewa naomba muongeze JINGALAONi hawa akina Barbarosa,Lizaboni,Troll jf na Elitwege hawa ni wapumbavu tu acha watimuane
Hahahahaha, naona Dkt Magufuli kawakalia kooni. Nilimsikia jana yule mwenye njaa Pascal Mayalla akiomba radhi wana CCM na upuuzi wake wa kupewa kitu kidogo na kumsifia nyeupe. Sisi tunachapa kazi wala hatulipwi. CCM ipo moyoni. Na uzuri sasa wapinzani mmeshakwisha kabisa, yaani mpo hoi bin taaban. cc Mwanahabari Huru na wanafiki wote.Kuna taarifa nimepenyezewa na rafiki yangu Wa karibu kuwa kuna sintofahamu imeibuka baina ya vijana Wa tawi LA ccm mitandaoni, baada ya baadhi yao kutaka wapewe mikataba ya kazi wanayoifanya badala ya kuendelea kuifanya kama kazi ya kujitolea au isiyo rasmi
Kawa taarifa zaidi imebainika kuwa vijana hao kwa muda mrefu wamekuwa wakilipwa kiasi cha shilingi 7000 kwa Sikh na kiwango hico kimedumu kwa miaka kadhaa bila mabadiliko.
Mtu huyo hakupenda kutaja ID zinazotumiwa na baadhi ya walitimuliwa Bali elieleza kuwa kuna baadhi ya waliokuwa watetezi makini Wa chama hamutawaona tena.
kama hii hali ni kweli basi vijana pande zote wameanza kujitambua na kudai haki pale inapobidi.
hongereni buku 7
Kati ya hao uliowataja mmoja atakuwa huyu Elitwege anafanana nao hadi andikaj yakeOngezea hapo akina sumu, simiyu yetu, T2015ccm nk, wote hao njaa zimewakimbiza.
Huyo ndio mgonjwa ambaye yupo mahututi hata hajielewi mimi ningekuwa na ndugu kama hilo naliweka liwe msukule wa biasharaTafadhali kabla sijachelewa naomba muongeze JINGALAO
kumewaka huko lizabon anatuhumiwa kuhujumu uchumi wa tawi kwa kula pesa zaq posho
Mtoa post sijui umevurugwa? Unatumia mb zako kuleta Uzi wa kijinga jinga hivi?
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha, naona Dkt Magufuli kawakalia kooni. Nilimsikia jana yule mwenye njaa Pascal Mayalla akiomba radhi wana CCM na upuuzi wake wa kupewa kitu kidogo na kumsifia nyeupe. Sisi tunachapa kazi wala hatulipwi. CCM ipo moyoni. Na uzuri sasa wapinzani mmeshakwisha kabisa, yaani mpo hoi bin taaban. cc Mwanahabari Huru na wanafiki wote.
Aisee ni kweli Mkuu ila mimi nimejifunza kupuuza baadhi ya mambo kwa usalama wangu nisije kupata stroke bure, hivyo jitahidi kuwapuuza tuMkuu hiyo misukule huwa yanikera sana hadi sometimes najuta kuwa mtz kwa ujinga wanaoufanya humu jf
TeteteteteNi hawa akina Barbarosa,Lizaboni,Troll jf na Elitwege hawa ni wapumbavu tu acha watimuane
TeteteteteWakalime sasaa
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha, naona Dkt Magufuli kawakalia kooni. Nilimsikia jana yule mwenye njaa Pascal Mayalla akiomba radhi wana CCM na upuuzi wake wa kupewa kitu kidogo na kumsifia nyeupe. Sisi tunachapa kazi wala hatulipwi. CCM ipo moyoni. Na uzuri sasa wapinzani mmeshakwisha kabisa, yaani mpo hoi bin taaban. cc Mwanahabari Huru na wanafiki wote.