Tetesi: Kisa kudai mikataba ya kazi; CCM tawi la mitandaoni watimuana

Tetesi: Kisa kudai mikataba ya kazi; CCM tawi la mitandaoni watimuana

Ni ajira kamili na meneja mwajiri alikuwa Nape , kumbuka kuna yale majina 46 ya mtandaoni yaliyoombewa ajira za ukuu wa wilaya .
Hao wakina jingalao& co Ltd wamechoka kusafishaa vyoo vya lumu---

Ova
 
Mtoa post sijui umevurugwa? Unatumia mb zako kuleta Uzi wa kijinga jinga hivi?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa nimepenyezewa na rafiki yangu Wa karibu kuwa kuna sintofahamu imeibuka baina ya vijana Wa tawi LA ccm mitandaoni, baada ya baadhi yao kutaka wapewe mikataba ya kazi wanayoifanya badala ya kuendelea kuifanya kama kazi ya kujitolea au isiyo rasmi

Kawa taarifa zaidi imebainika kuwa vijana hao kwa muda mrefu wamekuwa wakilipwa kiasi cha shilingi 7000 kwa Sikh na kiwango hico kimedumu kwa miaka kadhaa bila mabadiliko.

Mtu huyo hakupenda kutaja ID zinazotumiwa na baadhi ya walitimuliwa Bali elieleza kuwa kuna baadhi ya waliokuwa watetezi makini Wa chama hamutawaona tena.
kama hii hali ni kweli basi vijana pande zote wameanza kujitambua na kudai haki pale inapobidi.

hongereni buku 7
Hahahahaha, naona Dkt Magufuli kawakalia kooni. Nilimsikia jana yule mwenye njaa Pascal Mayalla akiomba radhi wana CCM na upuuzi wake wa kupewa kitu kidogo na kumsifia nyeupe. Sisi tunachapa kazi wala hatulipwi. CCM ipo moyoni. Na uzuri sasa wapinzani mmeshakwisha kabisa, yaani mpo hoi bin taaban. cc Mwanahabari Huru na wanafiki wote.
 
Hahahahaha, naona Dkt Magufuli kawakalia kooni. Nilimsikia jana yule mwenye njaa Pascal Mayalla akiomba radhi wana CCM na upuuzi wake wa kupewa kitu kidogo na kumsifia nyeupe. Sisi tunachapa kazi wala hatulipwi. CCM ipo moyoni. Na uzuri sasa wapinzani mmeshakwisha kabisa, yaani mpo hoi bin taaban. cc Mwanahabari Huru na wanafiki wote.

teh teh teh! Lumumba tawi la mtandaoni mmeshikwa pabaya na mmeumbuliwa leo
 
Mkuu hiyo misukule huwa yanikera sana hadi sometimes najuta kuwa mtz kwa ujinga wanaoufanya humu jf
Aisee ni kweli Mkuu ila mimi nimejifunza kupuuza baadhi ya mambo kwa usalama wangu nisije kupata stroke bure, hivyo jitahidi kuwapuuza tu

"Tecno Whatever "
 
Hahahahaha, naona Dkt Magufuli kawakalia kooni. Nilimsikia jana yule mwenye njaa Pascal Mayalla akiomba radhi wana CCM na upuuzi wake wa kupewa kitu kidogo na kumsifia nyeupe. Sisi tunachapa kazi wala hatulipwi. CCM ipo moyoni. Na uzuri sasa wapinzani mmeshakwisha kabisa, yaani mpo hoi bin taaban. cc Mwanahabari Huru na wanafiki wote.


Zanziber nako kimenuka

ff497b0f4dfb0938ff92922d88b631ef.jpg



Swissme
 
Back
Top Bottom