mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyo ndio mgonjwa ambaye yupo mahututi hata hajielewi mimi ningekuwa na ndugu kama hilo naliweka liwe msukule wa biashara
brain is the beautiful part of the body.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyo ndio mgonjwa ambaye yupo mahututi hata hajielewi mimi ningekuwa na ndugu kama hilo naliweka liwe msukule wa biashara
uzi huu unapaswa kufutwa unashusha hadhi ya jamii forumKuna taarifa nimepenyezewa na rafiki yangu Wa karibu kuwa kuna sintofahamu imeibuka baina ya vijana Wa tawi LA ccm mitandaoni, baada ya baadhi yao kutaka wapewe mikataba ya kazi wanayoifanya badala ya kuendelea kuifanya kama kazi ya kujitolea au isiyo rasmi
Kawa taarifa zaidi imebainika kuwa vijana hao kwa muda mrefu wamekuwa wakilipwa kiasi cha shilingi 7000 kwa Sikh na kiwango hico kimedumu kwa miaka kadhaa bila mabadiliko.
Mtu huyo hakupenda kutaja ID zinazotumiwa na baadhi ya walitimuliwa Bali elieleza kuwa kuna baadhi ya waliokuwa watetezi makini Wa chama hamutawaona tena.
kama hii hali ni kweli basi vijana pande zote wameanza kujitambua na kudai haki pale inapobidi.
hongereni buku 7
Kwani ccemu bado ina wanachama ?
When a beautiful part is damaged you become a mad like the guys discussed above[emoji3][emoji3][emoji3]
brain is the beautiful part of the body.
Hahaha we bado upo tu? VP hizo buku saba bado mnapewa?Watetea mafisadi chadema, mtanyooka tu
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app