Tetesi: Kisa kudai mikataba ya kazi; CCM tawi la mitandaoni watimuana

uzi huu unapaswa kufutwa unashusha hadhi ya jamii forum
 
Kutwa kukaza misuri kumbe wanaenda lesi buku 7...Pumbafuuuu

Sent from my D2303 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kazi gani wanayoifanya???

Kama ni kweli nashauri ipunguze toka 7000 hadi 3000 kwa siku

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
kitengo cha propaganda lumumba kipo kwenye crisis
 
Njaa hizi!! Haya siasa chafu kusifiaa upuuzi wa ma ccm na ufisadi wao sasa njaaa inawatimuaa!! Wataajiri wengine kanda maarum....maana awamu hii visasi na upendeleo kanda maarum!! Taifa limevunjwa kwa upendeleo wa wazi
 
Hatunskazi ndiyo maana tumeamua tupumzike maana jpm Pekee amewakaba koo. Hamuoni mnavyotapatapa?
 
Watetea mafisadi chadema, mtanyooka tu

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hahaha we bado upo tu? VP hizo buku saba bado mnapewa?

from Katesh using Siemens C55
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…