Mirror 14
Member
- Feb 18, 2023
- 11
- 10
Wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina elimu ya sekondari kidato cha nne
Nilihitimu 2017 lakini sikubahatika kuendelea na elimu ya advance, mimi ni mkubwa kwenye familia ya watoto wanne
Dhumni la kuja kwenu, ninaomba mwenye uwezo wa kunichangia japo chochote ili niweze jiendeleza na elimu ya veta ili nipate license
Kwani nimekua nikijishughulisha na ajira ambayo mwisho wa mwezi ninapata malipo ya 130,000
Ambayo yote hua inaishia kuhudumia wadogo zangu kwa chakula na nauli za kila siku za kwenda shule,
Na kushindwa na kubaki na chochote kwani familia yetu ipo na mama tu baba ameshaitelekeza familia mwaka wa nne sasa
Wakuu naombeni mnichangie japo nijiendeleze nipate license maana kuna taasisi iliniahidi nikipata license itaniajiri na kunilipa 450,000 kila mwezi
Nimejaribu kukopa sehemu mbalimbali lakini watu wanakosa kuniamini kutokana sina kipato cha kuwarejeshea pesa yao pia nimejaribu kwa baadhi ya ndugu waniendeleze lakini baadhi wananiahidi tu mwaka wa pili sasa bila kutimiza ahadi zao
Naombeni member wenzangu mwenye chochote aweze kunichangia ili namimi niweze kujiondoa kwenye hili dimbwi la umasikini,kwani ninaamini humu jf kuna watu wema tu watakaoweza kuguswa
Kiasi cha kusoma veta na kupata license ni shilingi 280,000, nichangieni ndugu zangu maana option niliobakiza ni hii tu maana mtu wa taasisi aliyeniahidi kazi ameniambia anataka aende kujiendeleza na masomo sasa ni muda mrefu sijapata license ambacho ndio kigezo cha kuajiliwa,hivyo akienda masomoni nitakosa tena tumaini la kupata kazi kwenye hiyo taasisi
Natanguliza shukrani kwa yeyote aliyeguswa kwa namna yeyote ile japo si kwa kunitumia pesa 🙏🙏
Namba ya kunichangia ni
0678265762
Nilihitimu 2017 lakini sikubahatika kuendelea na elimu ya advance, mimi ni mkubwa kwenye familia ya watoto wanne
Dhumni la kuja kwenu, ninaomba mwenye uwezo wa kunichangia japo chochote ili niweze jiendeleza na elimu ya veta ili nipate license
Kwani nimekua nikijishughulisha na ajira ambayo mwisho wa mwezi ninapata malipo ya 130,000
Ambayo yote hua inaishia kuhudumia wadogo zangu kwa chakula na nauli za kila siku za kwenda shule,
Na kushindwa na kubaki na chochote kwani familia yetu ipo na mama tu baba ameshaitelekeza familia mwaka wa nne sasa
Wakuu naombeni mnichangie japo nijiendeleze nipate license maana kuna taasisi iliniahidi nikipata license itaniajiri na kunilipa 450,000 kila mwezi
Nimejaribu kukopa sehemu mbalimbali lakini watu wanakosa kuniamini kutokana sina kipato cha kuwarejeshea pesa yao pia nimejaribu kwa baadhi ya ndugu waniendeleze lakini baadhi wananiahidi tu mwaka wa pili sasa bila kutimiza ahadi zao
Naombeni member wenzangu mwenye chochote aweze kunichangia ili namimi niweze kujiondoa kwenye hili dimbwi la umasikini,kwani ninaamini humu jf kuna watu wema tu watakaoweza kuguswa
Kiasi cha kusoma veta na kupata license ni shilingi 280,000, nichangieni ndugu zangu maana option niliobakiza ni hii tu maana mtu wa taasisi aliyeniahidi kazi ameniambia anataka aende kujiendeleza na masomo sasa ni muda mrefu sijapata license ambacho ndio kigezo cha kuajiliwa,hivyo akienda masomoni nitakosa tena tumaini la kupata kazi kwenye hiyo taasisi
Natanguliza shukrani kwa yeyote aliyeguswa kwa namna yeyote ile japo si kwa kunitumia pesa 🙏🙏
Namba ya kunichangia ni
0678265762