Kisa mgongano wa kisiasa; Jay Z na Beyonce wajiweka mbali na Kanye West

Kisa mgongano wa kisiasa; Jay Z na Beyonce wajiweka mbali na Kanye West

mr HOV na queen bee walianzaga kujitenga na kanye tangu alipotangaza ndoa na kim.....hawa kwenda hata kwenye harusi japo walialikwa.

ikaja migogoro ya TIDAR kati ya hov na kanye.. ikaishia kwa hov kumlipa kanye more than 15 milion $

ikaja kanye kumdiss hov jukwaani

ikaja hov kumdiss kanye kwenye track

ila chanjo cha yote ni KIM....beyonce na hov hawatak ukaribu wa sana na kim
Jigga alimlaga Kim ndo maana Bee ana strong aversion na Kim
 
huyo unayesema hana mpango na mtu ndio mwaka jana akiwa jukwaani gafla akaanza kulalamika kuwa jay z hajaenda kwenye harusi yake mara oooh jay z hataki watoto wao wahang out pamoja mara oooh mke wako hampendi mke wangu

unaikumbuka hyo show ya kanye west lakin? ambapo ndio ilipelekea jay z kumdiss kanye kwenye wimbo na kufichua mambo mengine kuhusu TIDAR ambayo hata yalikuwa hayajulikani
Ila Kim hanaga shida na mtu kabisa, kizuri zaidi kawa mama bora hakuna mfano!

Vitoto vyake vizuri anavipigisha pamba, north anavyotokelezea sasa! Kamcheki Blue mara nywele hajachana, mara kapauka mtoto yuko rough sana yule aaagh!
 
Ila Kim hanaga shida na mtu kabisa, kizuri zaidi kawa mama bora hakuna mfano!

Vitoto vyake vizuri anavipigisha pamba, north anavyotokelezea sasa! Kamcheki Blue mara nywele hajachana, mara kapauka mtoto yuko rough sana yule aaagh!
😂😂😂😂😂 watakwambia tunamwacha mtoto aishi utoto wake
 
Nao kina jayz wamezidi kujiona wako perfect. Jayz alivyopokea kipondo kutoka kwa shemeji yake mbona bey hakuvunja undugu na solange.

Mimi siwapendi.
Wanajishaua sana....kujiona miungu watu!

Mbona Bey kadanganya umri, bikra, analalaga na Julius ( bodyguard) anaibaga verses za watu na hamaindiwi? Kinafiki sana kile kimama!
 
Wanajishaua sana....kujiona miungu watu!

Mbona Bey kadanganya umri, bikra, analalaga na Julius ( bodyguard) anaibaga verses za watu na hamaindiwi? Kinafiki sana kile kimama!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe analiwa na bodyguard. Hii mpya kwangu

Mnafki kweli kweli bey anapenda kuonekana mwema with perfect life. Akiona mwanamke ana ukaribu na jayz bas atamtafutia kisa akae mbali nao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe analiwa na bodyguard. Hii mpya kwangu

Mnafki kweli kweli bey anapenda kuonekana mwema with perfect life. Akiona mwanamke ana ukaribu na jayz bas atamtafutia kisa akae mbali nao.
Yaani wewe kila utakaloambiwa unaamini bila hta kulifanyia utafiti!! ....au ndyo umbea umekolea?
 
Back
Top Bottom