Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
hivi hawajasign prenup wale eeh?Jiga kala sana ma pornstars ma club strippers ,casino hookers .
Je yeye ni mfano mzuri
Halafu bey kaganda kwa mchizi au anamlia timing jamaa awe bilionea asepe na nusu ya utajiri
Solange mtoto mzuri sana sijui kwanini haolewiNao kina jayz wamezidi kujiona wako perfect. Jayz alivyopokea kipondo kutoka kwa shemeji yake mbona bey hakuvunja undugu na solange.
Mimi siwapendi.
Mbona kaolewa??Solange mtoto mzuri sana sijui kwanini haolewi
Duh! Kaolewa na nani?Mbona kaolewa??
Jamaa mmoja hivi ana midevuuuu kama osama. Google utamuonaDuh! Kaolewa na nani?
Jigga alimlaga Kim ndo maana Bee ana strong aversion na Kimmr HOV na queen bee walianzaga kujitenga na kanye tangu alipotangaza ndoa na kim.....hawa kwenda hata kwenye harusi japo walialikwa.
ikaja migogoro ya TIDAR kati ya hov na kanye.. ikaishia kwa hov kumlipa kanye more than 15 milion $
ikaja kanye kumdiss hov jukwaani
ikaja hov kumdiss kanye kwenye track
ila chanjo cha yote ni KIM....beyonce na hov hawatak ukaribu wa sana na kim
daaaah kumbe lile njemba lilipita kwa kim..... sem kim naye kama nanililii wa huku kwetu list yake ndefuuuu sanaaaaa 😂😂Jigga alimlaga Kim ndo maana Bee ana strong aversion na Kim
Ila Kim hanaga shida na mtu kabisa, kizuri zaidi kawa mama bora hakuna mfano!huyo unayesema hana mpango na mtu ndio mwaka jana akiwa jukwaani gafla akaanza kulalamika kuwa jay z hajaenda kwenye harusi yake mara oooh jay z hataki watoto wao wahang out pamoja mara oooh mke wako hampendi mke wangu
unaikumbuka hyo show ya kanye west lakin? ambapo ndio ilipelekea jay z kumdiss kanye kwenye wimbo na kufichua mambo mengine kuhusu TIDAR ambayo hata yalikuwa hayajulikani
😂😂😂😂😂 watakwambia tunamwacha mtoto aishi utoto wakeIla Kim hanaga shida na mtu kabisa, kizuri zaidi kawa mama bora hakuna mfano!
Vitoto vyake vizuri anavipigisha pamba, north anavyotokelezea sasa! Kamcheki Blue mara nywele hajachana, mara kapauka mtoto yuko rough sana yule aaagh!
Wanajishaua sana....kujiona miungu watu!Nao kina jayz wamezidi kujiona wako perfect. Jayz alivyopokea kipondo kutoka kwa shemeji yake mbona bey hakuvunja undugu na solange.
Mimi siwapendi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ya kwao hawayaoni lakini[emoji4].
Yani siwapendi kwakweli hata kama hawanijui [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe analiwa na bodyguard. Hii mpya kwanguWanajishaua sana....kujiona miungu watu!
Mbona Bey kadanganya umri, bikra, analalaga na Julius ( bodyguard) anaibaga verses za watu na hamaindiwi? Kinafiki sana kile kimama!
Bey anampenda Hov kufaa...siku akiachika atachekwa mpaka, kwa ajili shauo zake!Jiga kala sana ma pornstars ma club strippers ,casino hookers .
Je yeye ni mfano mzuri
Halafu bey kaganda kwa mchizi au anamlia timing jamaa awe bilionea asepe na nusu ya utajiri
Hiyo siku kuna watu watafanya sherehe na mimi nikiwemo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bey anampenda Hov kufaa...siku akiachika atachekwa mpaka, kwa ajili shauo zake!
Yaani wewe kila utakaloambiwa unaamini bila hta kulifanyia utafiti!! ....au ndyo umbea umekolea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe analiwa na bodyguard. Hii mpya kwangu
Mnafki kweli kweli bey anapenda kuonekana mwema with perfect life. Akiona mwanamke ana ukaribu na jayz bas atamtafutia kisa akae mbali nao.
Umbea inogileYaani wewe kila utakaloambiwa unaamini bila hta kulifanyia utafiti!! ....au ndyo umbea umekolea?
Mmh...mbona kaolewa kitambo tu na mzee mmoja anaitwa IanSolange mtoto mzuri sana sijui kwanini haolewi
Kim hajuagi kukataa...mpole mnoo na ana huruma sana!daaaah kumbe lile njemba lilipita kwa kim..... sem kim naye kama nanililii wa huku kwetu list yake ndefuuuu sanaaaaa [emoji23][emoji23]