Kisa mgongano wa kisiasa; Jay Z na Beyonce wajiweka mbali na Kanye West

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe analiwa na bodyguard. Hii mpya kwangu

Mnafki kweli kweli bey anapenda kuonekana mwema with perfect life. Akiona mwanamke ana ukaribu na jayz bas atamtafutia kisa akae mbali nao.
Inasemekana K ya kim ina ulimbo bey hataki kim amkaribie jay

Si unajua jay huwa hazifumbii macho K za watoto wazuri.

Na vile Kim nyuma yuko mbwiii na sura anayo walah hata mimi ningenasa

Washkaji walio hit "inshu" ya Kim hadi leo waiota

Kanye kapewa katangaza ndoa kabisa


Hahahahah kuna wanawake ukimgusa tu imekula kwako utanogewa hadi uuone ulimwengu ni wako tu hata kama huyo mwanamke ana mabalaa kiasi gani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe analiwa na bodyguard. Hii mpya kwangu

Mnafki kweli kweli bey anapenda kuonekana mwema with perfect life. Akiona mwanamke ana ukaribu na jayz bas atamtafutia kisa akae mbali nao.
Wee kinaliwa na Julius kitambo tuu....unakumbuka kipindi kile wanataka kumwagana? Basi Hov si analalaga na mastrippers kuna mmoja alimkoleza na nini sijui, akachota mamilioni kwenye acc ya Bee akamnunulia ghorofa! Unaambiwa ukibahatika kulala na Jigga ujue una gholofa jamaa linahonga balaa!....Malaya wake wote kawatoa kimaisha ( halafu hela za kuhonga Malaya zake anachotaga kwenye acc ya Bee tu coz ana access[emoji23] [emoji23] )

Kati ya wote huwa anayemfaidi Hov na Riri asee! Akimtaka hata saa kumi usiku anaenda lala kwake, ndo maana Bee anamuogopa Rihanna kufaa coz anajua mume wake anampenda sana!

Hiyo ndoa Bey ndo anang'ang'ania tu, no true love from Hov!
 
Hiyo siku kuna watu watafanya sherehe na mimi nikiwemo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha...mkuu utaitwa mchawi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

On a serious note Bey ana mahater wengi tu japo anajifanya anapendwa na kila mtu[emoji15] ...kuanzia keri hilson, Jordan sparks, Kim, kelly, etc
 
Hive Jay bado ana manage Rihana?
 
Kanye can live without 'em. I'm not a fan of Kim/ Kanye neither Beyonce/Jayz but who are they to matter in Kanye's life!
Kanye can still be an america's president in 2020 if he'll want to sababu walomweka Trump ndo watamweka Kanye pia.
 
Jiga kala sana ma pornstars ma club strippers ,casino hookers .

Je yeye ni mfano mzuri

Halafu bey kaganda kwa mchizi au anamlia timing jamaa awe bilionea asepe na nusu ya utajiri
Iv jiga bado hajafikisha 1 bil USD dollar?
 
Lkn Jay-Z nayeye si kuna video(cctv) ilionyesha akipigwa teke kwny lift na yule demu mdogo ake beyonce(Solange),yeye huo ni mfano gani kwa watoto wake.
 
Beyoncee aache ubaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…